Hasara za kuwa baba wa kambo

Hasara za kuwa baba wa kambo

Mnatumia nguvu nyingi kuongelea haya mambo

Hebu yafikirie haya

1.Mwanamke kufiwa na mumewe akiwa katika umri mdogo kwahiyo asiolewe tena?

2.Ndoa zenye migogoro,kwahiyo asiachike avumilie mateso asiolewe kwingine?

3.kuzalishwa katika umri mdogo kisha kutelekezwa kwahiyo huyu asiolewe tena kisa ana m(wa)toto?

Wapo wives material kibao ambao ni single mother ,wanaolewa na NDOA zinaendelea vizuri tu,tunao mitaani na tunaona.
Kaoe wewe Baba huruma...yeye hataki kwanini umlazimishe
 
Mnatumia nguvu nyingi kuongelea haya mambo
Hii style yako ya kuingia katika mjadala inaonyesha umeichukuliaje hii mada. It means umeona ni mada negative au potofu of which that makes u part of the problem yourself.
Hebu yafikirie haya

1.Mwanamke kufiwa na mumewe akiwa katika umri mdogo kwahiyo asiolewe tena?
Hadi leo huwa najiuliza watu mnaowatetea single mothers huwa mna ajenda gani ya siri na kazi hii ya shetani. Hawa ni aina ya wanajamii ambao hata vitabu vya MUNGU vimewatambua kama malaya au makahaba.

Hivi wewe kweli kabisa unamlinganisha single mother na Widow (mjane)?🤔

Single (msimbe)mother ni mwanamke ambaye kwa hiyari yake amechagua kuanza mahusiano batili kwasababu zake binafsi aidha za kiuchumi ili kujipatia kipato au kwasababu za kukosa maadili tu kulala na wanaume ambao hawajarasimishwa kwao kwaajiri ya ndoa takatifu.

Widow(Mjane) huyu ni mwanamke ambaye aliingia mahusiano rasmi kisha mume wake akafariki ndipo yeye akabakia mwenyewe na watoto. Vitabu vya dini vinamtambua huyu na vinasema asaidiwe.

Kitendo cha kuwachanganya hawa wawili ambao ni tofauti lengo ni kupotosha na kuficha uovu huu wa kisasa ambao unatakiwa kukemewa kwa bidii na nguvu kubwa.
Single mother ni tatizo na sio jambo la kuachia lipite tu eti kwasababu wakisemwa wanaumia. Sisi hatuna haja nao ila tunahaja ys kutokomeza uovu wao.
2.Ndoa zenye migogoro,kwahiyo asiachike avumilie mateso asiolewe kwingine?
Msingi wa ndoa zenye migogoro ukifuatilia kwa kina utagundua ni kuanzisha mahusiano nje ya utaratibu. Ni nadra sana kwa binti bikra ambaye mwanaume alienda kwa wazazi wake kwa heshima na haja ya kuomba ridhaa ya kuishi nae.

Tatizo mnajadili uhalisia kama bongo movie. Unatengeneza taswira kichwani halafu unaiamini kuwa ndio uhalisia. Mahusiano mengi yenye migogoro mengi yana elements zifuatazo:
1. Mwanaume ni mume wa mtu mwenye migogoro na mkewe halali wa ndoa then mwanamke akaingilia kati ili aolewe. Mgogoro lazima utokee.
2. Kubeba ujauzito kabla ya mahusiano kuwa rasmi.
3. Mwanamke kupenda mwanaume badala ya kutii na kumheshimu jambo ambalo ni kinyume na maagizo ya mwenyezi MUNGU.
4. Kuingia ndoani na mihemuko aidha ya kingono wakiamini kwenye ndoa ni 90% shughuli za kitandani tu, kutaka kuwa couple ya maonyesho ya mitandao, mihemuko ya kitrauma na kadhalika.

Ukipata mgogoro kawaone wataalamu watakupa chanzo cha mgogoro wa mahusiano yako.
3.kuzalishwa katika umri mdogo kisha kutelekezwa kwahiyo huyu asiolewe tena kisa ana m(wa)toto?
Tazama unavyotetea kukosa maadili against maadili yenyewe. Hapa unatofauti gani na kumtetea jambazi wakati anachezea kichapo kwa kusema "anajitafutia kipato kupitia wizi wake mnataka akale wapi sasa na ajira hakuna".

Wewe kama mzazi na kichwa cha familia,binti yako ambaye yupo chini ya himaya yako na ni mdogo,unatoa ridhaa akafanye mahusiano na mwanaume akuletee mimba? Yaani unaona ni sawa binti kuanza kulala na wanaume akiwa katika rika la utoto badala ya kushika misingi ya kimaadili ya kujisitiri na kuiheshimisha familia yake kwa kungoja hadi Ndoa ndipo kuanza kufanya mapenzi.
Wapo wives material kibao ambao ni single mother ,wanaolewa na NDOA zinaendelea vizuri tu,tunao mitaani na tunaona.
Kama hawa kwako ndio priority wewe nenda kaoe wakupe hayo material ya wife ila kwa upande wa jamii ni lazima injiri isonge mbele.

Masingle mother sio mpango wa MUNGU ni mpango wa shetani katika kusiambaratisha jamii. Hakuna faida hata moja ya mwanamke kuzaa nje ya ndoa then kujiita single mother na kuendelea na maisha katika hiyo hali.

Inawezekana kabisa kwa binti kujituliza akisubiria mwanaume sahihi wa kuanza nae Maisha au yeye kujiweka safi huku akingojea mwanaume sahihi ambaye mahusiano yao yalenge Ndoa na sio kuzaa huku hawakuwa na mpango wa kuishi kama mume na mke halali wa ndoa.

Kusema "kuna single mothers kibao ambao ni wife material" ni sawa na kusema "kuna majambazi na wauza unga kibao ambao yanatunza na familia zao vizuri na kujenga maisha bora" so unajisahaulisha kuwa wauza unga na majambazi ni watu wa aina gani katika jamii?

Get tha fuk otta here.
 
1. Daima mama mtoto atakuona fala.
Usidanganyike na ngozi ya kondoo aliyojivika kwa nje, ukweli ni kwamba kwenye akili yake anakutafsiri tofauti. Anakuona simp mmoja mjinga jinga. Hata hivyo ukweli wewe ni mjinga na mama mtoto analijua ilo ndio maana hata yeye hawezi kuruhusu/kufurahia kaka au mtoto wake wa kiume aoe single mother.

2. Kushuka kwa heshima yako mbele ya wanaume wanaojitambua.
Mwanaume aliekamilika kimwili na kiakili anatakiwa kuanzisha familia yake yeye mwenyewe, ni ujinga, upumbavu, ushenzi na utahira kwa kijana kuunga tela kwenye familia ya mwanaume mwingine. Binafsi nikiona kijana amekubali kuwa baba wa kambo huwa namwona kama mgonjwa wa akili.

3. Kuongezeka kwa gharama za maisha kwa kubeba jukumu lisilokuhusu.
Mwanamke tu anakuja kwenye maisha yako kama liability, sasa embu fikiria anakuja na mtoto/watoto wake. Hii ni sawa na kulipa mkopo ambao hakuuchukua wewe.

4. Baba mtoto bado yupo around.
Usije ukajidanganya kwamba baba mtoto hayupo tena kwenye maisha ya mtoto na mzazi mwenzake. Ukweli ni kwamba kama sio wanaonana na kuwasiliana basi huwa anapita pita kwenye profile ya mzazi mwenzake uko facebook na instagram kuifuatilia familia yake. Mama mtoto pia anafuatilia maisha ya mzazi mwenzie. Hapa kama waliachana kwa mihemko au kuna feelings zao hazikua solved basi kupasha kipolo ni suala la muda na sehemu sahihi tu. Wazazi wanatengana tu, ila hawaachani.

5. Mama mtoto anakuja kwako na emotional baggage.
Achana na hawa delusional and damaged women waliou-brand usingle mother kama kiashiria cha upambanaji na kupevuka kiakili wakati kiuhalisia ni kiashiria cha umalaya na ufanyaji maamuzi mbovu. Kutoka moyoni kabisa hakuna mwanamke anaependa kuwa single mother, amejikuta katika hali iyo kwa sababu ya maamuzi yake mabovu, ni hali ambayo inamfanya awe na kinyongo, maumivu na majuto moyoni. No matter how hard you will try to gain her trust she will always look at you as a suspect. Ukiamua kubeba hicho kifurushi utakua victim wa tatizo ambalo haukusababisha wewe.

6. Baba kifedha sio kimamlaka na kisheria.
Ushirika wako katika malezi ya mtoto ni kutoa hela za malezi tu nje ya hapo hauna tija nyingine yoyote. Ukichukua hatua za kinidhamu kwa mtoto pale anapokosea utasababisha vita kubwa sana na mama ake. Vile vile wakati wowote baba wa mtoto akijitokeza yeye ndie atakua na haki zote za kisheria juu ya uyo mtoto.

7. Utakua second option ndani ya nyumba yako.
Mama mtoto hatokujali wala kukupa attention na kipaumbele kwa kiasi ambacho anafanya hivyo kwa mtoto wake.

8. Unatumika kama retirement plan.
Mama mtoto hakupendi , anataka tu sehemu ya kuponea yeye na mtoto/watoto wake. After she spent her prime years living reckless now she is on hunting of bailout from her messy. Trust me, she is not looking for love, she is looking for a retirement plan.

Recomendation.
It's not worth it being a step father. Bloodline is very important. Don't be that simp who sacrifices his empire for someone who didn't bothered to build hers. Always remember, there is no happy ending for a simp.
Ukweli mchungu sana
 
50/50 baadhi wema, wengine hovyo kabisa.
Wema usio na faida ni sawa na ubaya usio na madhara.

Haina maana kujilimit ukitazama upande m'moja usio kuhusu ukaacha upande unaokuhusu.

Nikuulize, ukiwa unatafuta mwanamke wa kuanza nae Maisha,kwann chaguo lako la kwanza uanze na mwanamke ambaye tayari ana mtoto?

Hivi una pesa ya kutosha kununua kwa kuagizia gari yako mpya Japan kwann unaanza kuzunguka na madalali wakikuletea magari yaliyokongoronyoka yenye previous users zaidi ya watano, ina vipengele,huo no ujanja au ushamba mzee?

Nadhani ukitafakari utagundua umechagua yafuatayo:
1. Umechagua kwenda kinyume na maagizo ya mwenyezi MUNGU ya kuwasitiri wanawake wadogo wanaojitunza kwa kufuata maagizo yake so unawapiga vita indirectly.
2. Umechagua kuwa mwanaume dhaifu (simp) kwa kuanza na majukumu ya baba wa kambo badala ya kuanza kuwa mume halali then baba mzazi sio mlezi wa familia. Huu ni udhaifu.
3. Umechagua kutumika kama retirement plan ya mwanamke ambaye aliharibu maisha yake kwa maamuzi yake binafsi ya kipuuzi.
4. Umechagua kuwa sehemu ya jamii inayotoa hisani,inayofadhiri au kudhamini/kusponsor uhaini wa kijamii, inayotetea kumomonyoka kwa maadili na kuwalinda wanawake waovu badala ya kuwatetea na kuwasitiri wale wanaoshika maadili na kuzingatia mafunzo ya adabu kwenye jamii.

Hii ni fadhaa kuwa na ukitafakari utagundua unatakiwa kubadilika.
 
Mkuu mimi nawa penda Sana watoto, so i see no problem.

Japo sija sema nita oa mawenye mtoto.
Kama unapenda watoto geukia ukoo wako hautakosa ndugu ambao malezi ya watoto wao ni changamoto na wameshindwa. Hao ndio wanaohitaji huo upendo kabla ya watoto wa single mother ambaye humjui na yeye hakujui.

Wewe unaacha damu yako, watoto wa kaka au dada zako,watoto wa binamu zako,watoto wa baba yako mdogo na kadhalika ambao ni damu yako kabisa uende ukawabebe watoto wenye ukoo wao huko ambao sio damu yako,wana baba zao ulee kwa kisingizio cha kupenda watoto,huo ni unafiki promax.

Nenda kachukue wale uwalee. Otherwise wewe ni wale wale wanafiki wanaojivalisha vazi la wakombozi kumbe ndani yako ni mtu dhaifu ambae anaogopa kufanya maamuzi sahihi.
 
1. Bila kujali kama single mother ni ndugu yangu au laah, hapaswi kuolewa kama mke wa kwanza. Toka enzi na enzi single mother walikuwa wanaolewa kama mke wa pili na zaidi ila siyo kama mke wa kwanza. Kaa na wazee watakuambia sababu za wao kufanya hivyo

2. Mwanaume ama mwanamke kuoa/kuolewa kwenye ndoa yenye migogoro hilo ni kosa lake ama ndugu zake kwenye maamuzi na machaguo yao. Walikuwa na nafasi ya kuoa/ kuolewa na watu wema ila wakachagua kuoa migogoro, hivyo waacha wavune walichokupanda. Ukijidai kiwasaidia ujue umekuwa sehemu ya mgogoro. Na ukiamua kuwa sehemu ya mgogoro uache kulialia

3. Kila siku tunashuhudia matatizo wanayokumbana nayo wasichana waliozalishwa kwenye umri mdogo, lakini bado wasichana hawalichukui hilo
kama funzo na onyo nao wanaingia kule kule. Hivyo hilo ni chaguo lao, kabla hawajachagua hilo waliyajua madhara yake, hivyo waacha wavune walichokipanda.

Wapo single mother wanaoolewa na kutulia ila ni kwa asilimia chache mno. Kwann ujiingize kwenye jambo unalofahamu kuwa ni risk?

N.B
Hakuna mwanamke yeyote aliyewahi kupitia usingle mother anayetamani kijana wake ama ndugu yake aoe single mother. Narudia hayupo
Umempasua vizuri sana.
 
Mtoa post roho mbaya inakusumbua.inaelekea wewe mtu kutoka mikoani ndio wen wenye akili lama zako
 
Kula tunda la singo maza kimasihara pita hivi 😜
Hao ni wa mazoezi ya kimwili na maigizo tu. Unajifanya unapenda watoto wake,unafanya mazoezi ya kuwa na familia unawaigizia ukikutana na pisi ya kwenda unamuachia mavumbi unakwenda kuanza familia serios sasa na kujenga familia yako.

Kama wao walishindwa kuchukulia maisha serious wadhani wataweza kukuchukulia serious wewe kama mwanaume kwenye maisha yao?
 
Watoto ni baraka...kama ilivyo kwa kitanda kutozaa haramu
Kitanda cha ndoa ndicho hakizai haramu. Hivi vitanda vya nje ya mahusiano rasmi ya ndoa haramu ni za kumwaga.

Watoto wa ndani ya ndoa ni baraka wa nje ya Ndoa walishaharamishwa tokea enzi na enzi.
 
Kama ana chini ya miaka 22...

Kama ana mtoto mmoja...

Kama hajawahi kuolewa au kuishi na mwanaume...

Kama huyo mtoto alikataliwa na baba yake, na atabeba ubin wako mwanaume..

Kama baba mtoto amekufa...

Mwisho kama ana u-african-wife-material...

Basi huyu single maza anahitaji kupewa nafasi ya 2..


Kwa dunia ya sasa mambo yalivyo, mabinti kubebeshwa mimba na kukimbiwa imekuwa new norm...


Kama umemuassess na ukaona ana tabia njema, basi oa...
................................................................................


Ila unakuta single maza amezalishwa na miaka 25 na kuendelea! Huyo alikuwa anajua anachokifanya. Mwanaume kimbia.
Umerahisisha sana hizi hoja zako ila bado umerudi kule kule tunapokataa.

Wanawake kuzaa nje ya ndoa tena katika umri mdogo imekuwa ni new norm kwasababu wanaume kama wewe mnawatengenezea "safety net" wanapojirusha au kurukia maisha ya hovyo.

Mbona miaka ya nyuma hizi trend hazikuwapo,kwamba wanaume walikuwa hawatongozi watoto wakike ?

Jibu ni kuwa watoto wa kike wakizingatia maadili ya jamii waliyowekewa na wazazi. Waliyashika na watoto wa kiume walifundwa kusimamia standards za kiume kutooa mabinti wa hovyo.

Ila siku hizi vijana mpo wired kujihusisha na mabinti wa hovyo na mnaona kazi sana kuanza mahusiano na mabinti wanaojielewa.
 
Hii style yako ya kuingia katika mjadala inaonyesha umeichukuliaje hii mada. It means umeona ni mada negative au potofu of which that makes u part of the problem yourself.

Hadi leo huwa najiuliza watu mnaowatetea single mothers huwa mna ajenda gani ya siri na kazi hii ya shetani. Hawa ni aina ya wanajamii ambao hata vitabu vya MUNGU vimewatambua kama malaya au makahaba.

Hivi wewe kweli kabisa unamlinganisha single mother na Widow (mjane)?🤔

Single (msimbe)mother ni mwanamke ambaye kwa hiyari yake amechagua kuanza mahusiano batili kwasababu zake binafsi aidha za kiuchumi ili kujipatia kipato au kwasababu za kukosa maadili tu kulala na wanaume ambao hawajarasimishwa kwao kwaajiri ya ndoa takatifu.

Widow(Mjane) huyu ni mwanamke ambaye aliingia mahusiano rasmi kisha mume wake akafariki ndipo yeye akabakia mwenyewe na watoto. Vitabu vya dini vinamtambua huyu na vinasema asaidiwe.

Kitendo cha kuwachanganya hawa wawili ambao ni tofauti lengo ni kupotosha na kuficha uovu huu wa kisasa ambao unatakiwa kukemewa kwa bidii na nguvu kubwa.
Single mother ni tatizo na sio jambo la kuachia lipite tu eti kwasababu wakisemwa wanaumia. Sisi hatuna haja nao ila tunahaja ys kutokomeza uovu wao.

Msingi wa ndoa zenye migogoro ukifuatilia kwa kina utagundua ni kuanzisha mahusiano nje ya utaratibu. Ni nadra sana kwa binti bikra ambaye mwanaume alienda kwa wazazi wake kwa heshima na haja ya kuomba ridhaa ya kuishi nae.

Tatizo mnajadili uhalisia kama bongo movie. Unatengeneza taswira kichwani halafu unaiamini kuwa ndio uhalisia. Mahusiano mengi yenye migogoro mengi yana elements zifuatazo:
1. Mwanaume ni mume wa mtu mwenye migogoro na mkewe halali wa ndoa then mwanamke akaingilia kati ili aolewe. Mgogoro lazima utokee.
2. Kubeba ujauzito kabla ya mahusiano kuwa rasmi.
3. Mwanamke kupenda mwanaume badala ya kutii na kumheshimu jambo ambalo ni kinyume na maagizo ya mwenyezi MUNGU.
4. Kuingia ndoani na mihemuko aidha ya kingono wakiamini kwenye ndoa ni 90% shughuli za kitandani tu, kutaka kuwa couple ya maonyesho ya mitandao, mihemuko ya kitrauma na kadhalika.

Ukipata mgogoro kawaone wataalamu watakupa chanzo cha mgogoro wa mahusiano yako.

Tazama unavyotetea kukosa maadili against maadili yenyewe. Hapa unatofauti gani na kumtetea jambazi wakati anachezea kichapo kwa kusema "anajitafutia kipato kupitia wizi wake mnataka akale wapi sasa na ajira hakuna".

Wewe kama mzazi na kichwa cha familia,binti yako ambaye yupo chini ya himaya yako na ni mdogo,unatoa ridhaa akafanye mahusiano na mwanaume akuletee mimba? Yaani unaona ni sawa binti kuanza kulala na wanaume akiwa katika rika la utoto badala ya kushika misingi ya kimaadili ya kujisitiri na kuiheshimisha familia yake kwa kungoja hadi Ndoa ndipo kuanza kufanya mapenzi.

Kama hawa kwako ndio priority wewe nenda kaoe wakupe hayo material ya wife ila kwa upande wa jamii ni lazima injiri isonge mbele.

Masingle mother sio mpango wa MUNGU ni mpango wa shetani katika kusiambaratisha jamii. Hakuna faida hata moja ya mwanamke kuzaa nje ya ndoa then kujiita single mother na kuendelea na maisha katika hiyo hali.

Inawezekana kabisa kwa binti kujituliza akisubiria mwanaume sahihi wa kuanza nae Maisha au yeye kujiweka safi huku akingojea mwanaume sahihi ambaye mahusiano yao yalenge Ndoa na sio kuzaa huku hawakuwa na mpango wa kuishi kama mume na mke halali wa ndoa.

Kusema "kuna single mothers kibao ambao ni wife material" ni sawa na kusema "kuna majambazi na wauza unga kibao ambao yanatunza na familia zao vizuri na kujenga maisha bora" so unajisahaulisha kuwa wauza unga na majambazi ni watu wa aina gani katika jamii?

Get tha fuk otta here.
Hii ni jamii forum siyo kila anachoqoute mtu ndiyo maisha yake,

Watu Wana mbinu nyingi za kutaka kujua Jambo kiundani ,hiyo reply yangu niliandika kimakusudi ili nipate majibu zaidi,ni kweli majibu nimepata na matusi pia ,watu wengi ni weupe Sana vichanii

Eti kaoe wewe😂😂😂
 
Mnatumia nguvu nyingi kuongelea haya mambo

Hebu yafikirie haya

1.Mwanamke kufiwa na mumewe akiwa katika umri mdogo kwahiyo asiolewe tena?

2.Ndoa zenye migogoro,kwahiyo asiachike avumilie mateso asiolewe kwingine?

3.kuzalishwa katika umri mdogo kisha kutelekezwa kwahiyo huyu asiolewe tena kisa ana m(wa)toto?

Wapo wives material kibao ambao ni single mother ,wanaolewa na NDOA zinaendelea vizuri tu,tunao mitaani na tunaona.

Kama una Ingia kwenye ndoa kama stering au mwokozi wa majanga, then go ahead!
 
HAPANA HAKUNA POINT HATA MOJA
1.Kuiba familia ya mtu no kosa kubwa sana yaani kumpora mwanaume mwenzako mke wake na mtoto wake no kosa
2. Kumpenda mtu aliyewahi kupendana na mtu mwingine sio kosa
So Kama mwanamke ameachika au mumewe amekufa au alizalishwa kabla ya ndoa Kuna shida gani kumpenda?
Kwanini wahenga walisema Penda Boga na ua lake?
Then fata hao wahenga wako sisi tumeshaachana nao. Penda maboga yako,kabeji,matikitiki maji yako in peace.

Sisi wacha tupambane na iniiri.
 
Mnatumia nguvu nyingi kuongelea haya mambo

Hebu yafikirie haya

1.Mwanamke kufiwa na mumewe akiwa katika umri mdogo kwahiyo asiolewe tena?

2.Ndoa zenye migogoro,kwahiyo asiachike avumilie mateso asiolewe kwingine?

3.kuzalishwa katika umri mdogo kisha kutelekezwa kwahiyo huyu asiolewe tena kisa ana m(wa)toto?

Wapo wives material kibao ambao ni single mother ,wanaolewa na NDOA zinaendelea vizuri tu,tunao mitaani na tunaona.
Kwani kuolewa tena ni lazima?
 
Back
Top Bottom