Hashimu Rungwe: Magufuli alikuwa anaimba viwanda lakini hakujenga hata kimoja

Nani kakwambia DGIS ana mamalaka ya kuajiri kwa kiwango hiko??

Walinzi wake unaona karibu wote alipewa wakati anateuliwa na CCM kule DODOMA.

Unataka ushahidi upi wa wasukuma kujaa TISS au Kuongea nao KISUKUMA??
Km DG wa TISS ambae ni mchaga hakua na mamlaka ya kuajiri then nani aliekua na mamlaka hayo?
ht mawaziri mwenye dhamana na Jeshi, mambo ya ndani na TISS hawakua wasukuma.
Inaonekana hujui ht tararibu za uajiri za TISS.

2nd. Km alipewa wakati anateuliwa kwann hakuwabadilisha akaweka wasukuma wenzie?mbona mnikulu aridhi wa kikwete, wakambadilisha na still hakua msukuma?

Lastly, ntajie mkuu wa kitengo chochote pale makumbusho ambae ni msukuma ili tuamini hoja zako. Jina na cheo chake tafadhali.
 
Japo mie sikuwa namuunga mkono Magu,lakini kwakuwa amefariki siungi mkono kabisa kumlaumu
Lawama kwa dikteta hazitakoma. Hitler, Mobutu, Idd Amini walikufa kitambo sana mpk leo wanalaumiwa
 
Jiwe alikuwa mhuni. Alikuwa anazindua hata miradi iliyokwisha zinduliwa kabla. Mfano alizindua mradi wa mabasi yaendayo kasi jijini DSM wakati rais Kikwete aliuzindua kabla

Alikuwa bonge la tapeli, alikuwa anaagiza viwanda vya zamani vipigwe rangi ili apite kuvizindua ili kuhadaa wananchi kuwa vimejengwa kipindi chake! Baada ya watu kuanza kumchora huku mitandaoni akapotezea zile fix. Kuna siku alimualika kagame hapa Dar akiwa na miezi mitatu, akawa anaongea kwa masifa mbele ya Kagame kuwa toka ameingia madarakani kuwa amejenga viwanda 8,000+, Kagame alitabasamu kwa dharau kuonyesha kuwa viwanda havijengwi kwa sifa za kijinga au muda mfupi hivyo. Toka wakati ule Kagame alimdharau sana, na sikuwahi kumuona tena hapa nchini hata alivyofariki hakuja.

Cc: Idugunde, Crimea, muda wote, Paskali Mayalla, Misuli
 
Lawama kwa dikteta hazitakoma. Hitler, Mobutu, Idd Amini walikufa kitambo sana mpk leo wanalaumiwa
Sasa ww na cheti chako fake utaachaje kutoa lawama?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Toka wakati ule Kagame alimdharau sana, na sikuwahi kumuona tena hapa nchini hata alivyofariki hakuja.
Kumuunga mkono jiwe kulihitaji uzuzu wa kiwango cha juu Sana. Ndiyo maana watu smart kama akina Kagame walistuka mapema
 
Acha uongo!, JPM alikuwa chuma haswa!, ili ujue alikuwa na akili sana yule mtu! Kwani mama alikuwa ziarani Tanga kipindi JPM anafari, viwanda alivyokuwa anafungua vilijengwa na huyo Rungwe?
Ila asiadae watu, wizara ya viwanda BRELA na taasisi zote zinazohusika na viwanda akatembelee huko watampa takwimu
 
Unataka Rungwe aseme uwongo? Huyu mzee ni namba 2 kwa ukweli hapa Tanzania. Namba moja ni Jaji Warioba.
 
Nayapinga vikali maneno ya wahenga eti "old is gold" hovyo sana mzee huyu
 
Huyo
Rhino cement ni kiwanda kilikuwapo tangu 2013 au 2014.

Usimhusushe Azam na sera zenu za viwanda FAKE kwani yeye yupo kwenye industry kabla hata Magufuli hajapata degree yake ya kwanza UDSM
Huyo Azam unayemzunguzia Magufuri kampa aridhi kubwa mkuranga na Bagamoyo ya kulima miwa na kujenga kiwanda cha Sukari, Sasahivi kiko atua za mwisho,Samia yuko karibu kufanya uzinduzi
 
Hukunielewa! Nilimjibu yule mjinga hicho kuwa wasukuma wafukuzwe maana wao hawataki kuwaona wasukuma wakiwa maofisini! Mi mwenyewe msukuma boss! Nilikuwa namjibu kwa kejeri hule bwana!
 
Shida ni kwamba wanachi waliowengi bado wanamapenzi makubwa na Magufuli.
watafute mbinu mpya ya kumchafua Magufuli mtu wa watu.
 
Hukunielewa! Nilimjibu yule mjinga hicho kuwa wasukuma wafukuzwe maana wao hawataki kuwaona wasukuma wakiwa maofisini! Mi mwenyewe msukuma boss! Nilikuwa namjibu kwa kejeri hule bwana!
Nimekusoma ndg
 
..
Kwaio kile kiwanda cha ngozi cha magereza kule kwa shemeji zangu Moshi alijenga Rungwe?
Kiwanda cha Sare za Jeshi kurasini, kiwanda cha maji JKT?
Na hivi vyote vinafanya production.
Km hamna taarifa ni bora mue mnakaa kimya.
1.Kiwanda cha viatu cha Magereza Kilimanjaro
Kiwanda cha viatu cha Gereza Kuu Karanga, Moshi kilizinduliwa rasmi Juni 3, 1977 na Rais wa awamu ya kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Baba wa Taifa Mwalimu, Julius Kambrage Nyerere.
SOURCE: Boya hapa.
2.Kiwanda Cha maji ya kunywa cha JKT
Maji yanazalishwa na SUMA JKT kampuni ambayo ipo kabla hujatoka Kolomije na kuingia mjini!!
3.Kiwanda cha dawa za viatu cha Kangaroo (Bagamoyo)
Kipo sehemu gani

Nimesoma uzi wote lakini huu ujumbe kenge wa bluu "vyeti feki, watumbuliwa kazi na mafisadi waliokuwa wamezibiwa mianya ya madili na Mwamba JPM" wameupita kama vile vipofu
Sijaupita, kwahiyo acheni uongo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…