Hashimu Rungwe: Magufuli alikuwa anaimba viwanda lakini hakujenga hata kimoja

Issue ni kutaja hata kiwanda kimoja, ndiyo tutajua tatizo la Rungwe kama ni umri au upinzani wa hovyo! Kaeleza jambo rahisi sana kulithibitisha.
Ila kuhusu kutembea na hotootv,a ubwabwa Ni sawa kabisa na Magu kutembea na wanamuziki wote wakati wa kampeni.
 
Kweli kabisa, alisimamisha ajira kwa miaka sita, lakini rekodi zinaonyesha alikuwa anajaza watu wa Chato katika usalama(bila shaka mama atawaondoa) na nafasi nyeti serikali.

Tulikuwa na mtu wa hovyo sana
TISS amejaza WASUKUMA balaa, nasikia ilifika kipindi akikutana nao ikulu wanaongea kilugha chao. Yaani mama asafishe hizo idara ziwe kama zamani.
 
Sana mkuu #kazi iendelee
 

Jibu hoja ya MZEE Rungwe Acha blah blah.
 
Yeye atwambie tangu aongoze chama chake ni wanachama wangapi wameongezeka au ni chama cha mfukoni?
Umeme wa uhakika+ SGR=viwanda na ajira
 
Hivi huyu kibabu anadhani bado tuko kwenye enzi za ujamaa ambapo serikali ilitakiwa kujenga viwanda? Huyu naona kashiba ubwabwa tu.
 
Kuna vitu watu weusi tunatakiwa tujue
Wengi wetu wanapenda maisha Mazuri
Wanashindwa kutambuwa maisha Mazuri uletwa Na maendeleo ya vitu kwanza
Kwasababu vitu ndivyo vitakavyo kufanya upande maendeleo au vitu ndivyo vinaleta maendeleo ya watu
Hivi Kuna faida gani ya kuwa Na mshaara mkubwa uku auna Soko , au barabara?
Alicho kuwa Na kifanya magufuli kwangu nilimpa big Up wa Africa ina bidi tujitese kwanza ili tulete maendeleo ya vitu yaani tubane matumizi
Kwa kutumikisha pesa kiujinga ujinga kupandisha mishaara uku pesa za kujenga hospital tuna zikosa
Maendeleo ya vitu ndo Yana pandisha uchumi wa inch Na kuleta maendeleo ya watu
 
Kweli kabisa, alisimamisha ajira kwa miaka sita, lakini rekodi zinaonyesha alikuwa anajaza watu wa Chato katika usalama(bila shaka mama atawaondoa) na nafasi nyeti serikali.
Wewe hauaminiki unaloliandika JF
 
Viongozi wetu wanapenda kwenda Ulaya kushangaa tu maghorofa yaliyojengwa na mababu wa hao jamaa waliotuibia miongo kwa miongo.
 
Stupid, Nasema ukweli. Huyu atakumbukwa kwa kusema ukweli. Akina. Mdude wangeandika haya yote na yatazidi kuandikwa zaidi kuhusu mauaji yaliyofanywa na Jiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…