Hakuna anaema ukweli na Mungu amlinde aseme ukweli zaidiHashim Rungwe ni sehemu ya vyeti feki [emoji1241]. Mpuuzeni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna anaema ukweli na Mungu amlinde aseme ukweli zaidiHashim Rungwe ni sehemu ya vyeti feki [emoji1241]. Mpuuzeni.
Na cha mshikishwa ukuta tundu lisu kikifika mtafanyaje?
Nimesoma uzi wote lakini huu ujumbe kenge wa bluu "vyeti feki, watumbuliwa kazi na mafisadi waliokuwa wamezibiwa mianya ya madili na Mwamba JPM" wameupita kama vile vipofu [emoji23][emoji28]1.Kiwanda cha viatu cha Magereza Kilimanjaro
2.Kiwanda Cha maji ya kunywa cha JKT
3.Kiwanda cha dawa za viatu cha Kangaroo (Bagamoyo)
Au navyo vimeletwa wakati wa Mama!!
Viwanda vingi Sana vimejengwa mkuranga mfano Rhino cement, tiles, kiwanda cha nyama, kiwanda cha matunda cha Azam, we unaishi mkoa gani?Taja jina la kiwanda na bidhaa zinazotengenezwa hapo!!
Kwaio kile kiwanda cha ngozi cha magereza kule kwa shemeji zangu Moshi alijenga Rungwe?Tuoneshe kiwanda alichojenga Magufuli. Vinginevyo huna uhalali wa kumnanga mzee Hashimu Rungwe
wasukuma wengi wamepata shavu Kipindi Cha jiwe.Kweli kabisa, alisimamisha ajira kwa miaka sita, lakini rekodi zinaonyesha alikuwa anajaza watu wa Chato katika usalama(bila shaka mama atawaondoa) na nafasi nyeti serikali.
Basi kufungua godown , ukaona kafungua kiwandaMwaka 2018 tarehe 02 mei Hayati Magufuli alifungua kiwanda kikubwa Sana kule Iringa na siku hiyo nilikuwepo ,nimekupa mfano hai kabisa. Haya huyo Babu anaposema uongo anamaanisha nini?
Aibu sana hii. Nchi kuanzia kujivunia vitu vinavyozalishwa na wafungwa ni kukosa ubunifu. Bidhaa za jela ni kwa ajili ya mapolisi na askari wenzao waogawiwa bure1.Kiwanda cha viatu cha Magereza Kilimanjaro
2.Kiwanda Cha maji ya kunywa cha JKT
3.Kiwanda cha dawa za viatu cha Kangaroo (Bagamoyo)
Au navyo vimeletwa wakati wa Mama!!
Rungwe muongo sana kipindi cha mwenda zake kila wilaya ilizindua viwanda elfu kumi na kwa mujibu wa waziri wake wa viwanda wakati huo hata ukiwa na cherahani moja ama karai la kuchoma vitumbua hicho ni kiwandaAmesema anaomba aoneshwe hata kiwanda kimoja kilichojengwa na serikali ya Magufuli.
Amesema utawala wake ndiyo umesababisha ukame wa ajira kwa vijana mpk kuibuka kwa panyaroad.
Legacy kwisha! Kwisha kabisaaaa!
Chanzo: Hashimu Rungwe anahojiwa startv muda huu.
View attachment 2224647
View attachment 2224648
Kabisa MkuuKuna vitu watu weusi tunatakiwa tujue
Wengi wetu wanapenda maisha Mazuri
Wanashindwa kutambuwa maisha Mazuri uletwa Na maendeleo ya vitu kwanza
Kwasababu vitu ndivyo vitakavyo kufanya upande maendeleo au vitu ndivyo vinaleta maendeleo ya watu
Hivi Kuna faida gani ya kuwa Na mshaara mkubwa uku auna Soko , au barabara?
Alicho kuwa Na kifanya magufuli kwangu nilimpa big Up wa Africa ina bidi tujitese kwanza ili tulete maendeleo ya vitu yaani tubane matumizi
Kwa kutumikisha pesa kiujinga ujinga kupandisha mishaara uku pesa za kujenga hospital tuna zikosa
Maendeleo ya vitu ndo Yana pandisha uchumi wa inch Na kuleta maendeleo ya watu
Rhino cement ni kiwanda kilikuwapo tangu 2013 au 2014.Viwanda vingi Sana vimejengwa mkuranga mfano Rhino cement, tiles, kiwanda cha nyama, kiwanda cha matunda cha Azam, we unaishi mkoa gani?
Kama alivyo mmeoRungwe ni sehemu tu ya wazee wengi wapumbavu ktk nchi yetu. Apuuuzwe.
Wewe ndiyo mpumbavu kama hukubaliani na anayosema Hashim Rungwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah aisee nimejikuta nacheka kwa sauti kubwaRungwe muongo sana kipindi cha mwenda zake kila wilaya ilizindua viwanda elfu kumi na kwa mujibu wa waziri wake wa viwanda wakati huo hata ukiwa na cherahani moja ama karai la kuchoma vitumbua hicho ni kiwanda
TISS amejaza WASUKUMA balaa, nasikia ilifika kipindi akikutana nao ikulu wanaongea kilugha chao. Yaani mama asafishe hizo idara ziwe kama zamani.
Viwanda vingi Sana vimejengwa mkuranga mfano Rhino cement, tiles, kiwanda cha nyama, kiwanda cha matunda cha Azam, we unaishi mkoa gani?
Mkuu Rhino cement ya mkuranga Kilikufa wakati wa Magufuri na mpaka sasa limebaki gofu.Viwanda vingi Sana vimejengwa mkuranga mfano Rhino cement, tiles, kiwanda cha nyama, kiwanda cha matunda cha Azam, we unaishi mkoa gani?