Hasira ya Mungu imeshuka juu ya LOS ANGELES, inateketea Kama Sodoma Na Gomora

Hasira ya Mungu imeshuka juu ya LOS ANGELES, inateketea Kama Sodoma Na Gomora

Kwahio huyo Mungu wa Ghadhabu, Hasira na Visasi na wa kuangamiza wote hata wasio hatia ndio kila siku unaomba ili mwisho wa siku mkajumuike ili muendelee kuwapiga ghadhabu so called wakosefu ?

Hio kwa lugha ya kidunia tunaita being barbaric...
nenda kasome alichoandika na kusema actor james woods kuhusu gaza halafu angalia leo anavyolia kama mtoto kwenye national television kisa tu nyumba yake na mali zake zimeungua, huku alitoa hadi hela na kutaka watu wote gaza wauliwe wao na familia zao, leo mungu kampa mtihani kidogo tu analia, mungu hadhihakiwi ,ule moto ni ukumbusho kuwa mungu yupo
Hata kipindi cha mitume mungu alikuwa akitukumbusha kwa njia mbali mbali ikiwemo magharika hakuna cha ajabu hawa watu walijisahau wakajiona miungu watu, acha liwakute
 
3e1fab75-105d-4fee-b0b8-9aeef25e03b7.jpg

Sio poa
 
Hizi ni habari njema

Kwa sasa huwezi kutofautisha Gaza na sehemu zilizoungua za L.A zote ni magofu

Ikumbukwe Marekani imeisaidia Israel billions of dollars kuifanya Gaza magofu

20250109_232916.jpg

Jabalia refugee camp (Gaza)
Pacific Palisades (L.A)
 
Lazima wapumbavu kama wewe mjitokeze kwenye matukio kama haya. Huko Hanang nao walikutwa na hasira ya Mungu?
Hanang ni eneo lenye landslides na kijiegrafia ila huu moto hata hao wenye hela na teknojia wamebaki wanalia kama watoto, mungu ana njia zake za kujitokeza ,hawa matajiri wa los angeles walichanga hadi hela na kuongea maneno ya kashfa kwamba watu wa gaza wachomwe na wauliwe, leo mali zao zinateketea tu wanalia kama watoto, nenda kaangalie james woods aliesema watu wa gaza wachomwe moto alivyolia kwenye tv kama mtoto ,wenzake wamepoteza familia zao ,yeye kapoteza mali tu analialia ovyo kama shoga
 
Kiwango cha kufiranaa Dar es Salaam na Los Angeles ni mbingu na ardhi..
Mkuu,
Unaangalia magnitude ya dhambi au unaangalia dhambi kama ilivyo?

Kwani huyo Mungu anaipimaje dhambi? Kwa sababu kama ni uzinzi watz tunazini tu kama kwingine duniani, majambqzi yapo, wafiraji wapo, yaani hakuna dhambi iliyopo Los Angeles unaikosa Dar.

Sasa Mungu anatumia kigezo gani?
 
Mkuu,
Unaangalia magnitude ya dhambi au unaangalia dhambi kama ilivyo?

Kwani huyo Mungu anaipimaje dhambi? Kwa sababu kama ni uzinzi watz tunazini tu kama kwingine duniani, majambqzi yapo, wafiraji wapo, yaani hakuna dhambi iliyopo Los Angeles unaikosa Dar.

Sasa Mungu anatumia kigezo gani?
Kuna watu wengi walitoa hadi hela ili tu kizazi cha gaza kifutike na wakajitapa hadi kwenye tv, cha ajabu leo wao mali zao zimeungua tu wamekimbilia kulialia kwenye tv, karma well served
 
Kwahio huyo Mungu wa Ghadhabu, Hasira na Visasi na wa kuangamiza wote hata wasio hatia ndio kila siku unaomba ili mwisho wa siku mkajumuike ili muendelee kuwapiga ghadhabu so called wakosefu ?

Hio kwa lugha ya kidunia tunaita being barbaric...
We mbona uking'atwa na Mbu mmoja unaua na wasiohusika!?
 
Husomi maandiko, Mungu alowatuma waisrael wawaue Waamaleki kuanzia Mzee mpaka kichanga.
Ndio hayo hayo maandiko yanayotwambia kama anajua mwanzo na mwisho alafu baadae anakasirishwa na jambo ambalo alilijua in the first place ? Yaani ni kama entrapment, unajua fulani atakosa ila unamuumba ili baadae umuathibu
Yaan akuumbe mwenyewe umuabudu, wee ufanye yako alafu umpangie namna ya kukuondoa??🤣🤣
Kwahio wewe sababu ulizaa watoto wako uwachome kama mishikaki sababu uliwazaa, kwani ulilazimishwa kuwaleta duniani au uliwa-consult kwamba wakija lazima wafanye A, B, C kama hawataki basi wasije ? Hio ina tofauti gani wale watu wa Roma waliokuwa wanashika wale Gladiators na kuwalazimisha wapigane for their entertainment ?
 
Ndio hayo hayo maandiko yanayotwambia kama anajua mwanzo na mwisho alafu baadae anakasirishwa na jambo ambalo alilijua in the first place ? Yaani ni kama entrapment, unajua fulani atakosa ila unamuumba ili baadae umuathibu

Kwahio wewe sababu ulizaa watoto wako uwachome kama mishikaki sababu uliwazaa, kwani ulilazimishwa kuwaleta duniani au uliwa-consult kwamba wakija lazima wafanye A, B, C kama hawataki basi wasije ? Hio ina tofauti gani wale watu wa Roma waliokuwa wanashika wale Gladiators na kuwalazimisha wapigane for their entertainment ?
Mbona Hilo liko wazi, Mungu anamleta Mwanadam Duniani na maelekezo akampa hapohapo ,ili uishi milele unatakiwa ufanyeje, kinyume na hapo ni Kufa tu hamna namna .

Mungu habembelezi ,anakuambia tu Kwa upendo, ukiendelea kumchukiza atakuondoa tu Kwa namna yake anayotaka.
 
Huu uzi kuna mahali haupo sawa, au mleta uzi ye ndo hayupo sawa, vyote viwili kwa pamoja vinaweza kutumika hapo
 
Haya Ile ya uturuki nayo??, sir God ali maindi ehh!!
Haikuwa kiwango hicho na hii ya cali uzuri wake hadi wale viburi waliokuwa wanafurahia na kuchanga mapesa ili gaza ifutike wameenda kulia hadi kwenye tv
Watu wote wakamkumbusha huyu shoga alivyotoa hela na kutoa maneno ya kashfa kuhusu gaza leo anajiliza liza kama shoga
 

Attachments

  • 519d92a13d792555dff7e369343a892b_1736534544814.mp4
    1.7 MB
nenda kasome alichoandika na kusema actor james woods kuhusu gaza halafu angalia leo anavyolia kama mtoto kwenye national television kisa tu nyumba yake na mali zake zimeungua, huku alitoa hadi hela na kutaka watu wote gaza wauliwe wao na familia zao, leo mungu kampa mtihani kidogo tu analia, mungu hadhihakiwi ,ule moto ni ukumbusho kuwa mungu yupo
Hata kipindi cha mitume mungu alikuwa akitukumbusha kwa njia mbali mbali ikiwemo magharika hakuna cha ajabu hawa watu walijisahau wakajiona miungu watu, acha liwakute
Kwahio huyo Mungu ili kumuadhibu James Woods (ambaye nina uhakika yupo sorted na covered) kaamua kuleta majanga sehemu yote ili amuonyeshe jamaa kwamba anaweza ? And for you that is superiority and power na sio pettiness ?

Na majanga yanayotokea mpaka visiwa vya Madagascar mpaka Msumbiji sababu ya Mabadiliko ya Mazingira hao wamemkosea nani ? Na kipindi cha Ice Age waliotukana ni kina nani ? (Nyangumi na Dinosaurs) ?
 
Mkuu,
Unaangalia magnitude ya dhambi au unaangalia dhambi kama ilivyo?

Kwani huyo Mungu anaipimaje dhambi? Kwa sababu kama ni uzinzi watz tunazini tu kama kwingine duniani, majambqzi yapo, wafiraji wapo, yaani hakuna dhambi iliyopo Los Angeles unaikosa Dar.

Sasa Mungu anatumia kigezo gani?
Kuna kiwango cha uovu. Hata Sodoma na Gomorra, Mungu alinyeshea mvua baada ya maovu yao kuwa yamepituliza kiwango cha kawaida. Kilio cha dhambi kilipita kiwango
 
Mkuu,
Unaangalia magnitude ya dhambi au unaangalia dhambi kama ilivyo?

Kwani huyo Mungu anaipimaje dhambi? Kwa sababu kama ni uzinzi watz tunazini tu kama kwingine duniani, majambqzi yapo, wafiraji wapo, yaani hakuna dhambi iliyopo Los Angeles unaikosa Dar.

Sasa Mungu anatumia kigezo gani?
Hivi unajua Kuna Dhambi Ukishaifanya tu Mungu hatokaa kuisamehe kabisa kabisa hata ulie Kwa kusaga meno
 
Back
Top Bottom