aise
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 5,175
- 16,488
Mungu Hana ubavu wa kunileta duniani mkuu!Mungu kakuleta Duniani .
Acha bangi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu Hana ubavu wa kunileta duniani mkuu!Mungu kakuleta Duniani .
Acha bangi
Allah ameamua kuwachoma moto makafiri.Una matatizo
Inatakiwa Dom nako Allah wataala ashushe gharika.Kwenye keyboard herufi d na s zimekaribiana, naona alitaka kuandika Sodoma na Gomora.
Ila Dodoma nako kuna vituko kama Sodoma. Hususani wakati wa vikao vya bunge.
Mara nyingi ni wenye imani za kutoka uarabuni.Wabongo na waafrika maskini choka mbaya mna chuki zisizo na msingi wowote kwa Marekani.
Huyo Mungu mbona hasira zake hazishuki juu ya Mbagala, Temeke, Tandika, Buza, River side, Sinza, Uwanja wa fisi???
Huyo Allah mbona hawachomi moto masheikh wanao lawiti watoto wadogo kwenye madrasa?Allah ameamua kuwachoma moto makafiri.
Ulishafika Los Angeles?Kiwango cha kufiranaa Dar es Salaam na Los Angeles ni mbingu na ardhi..
Kumbe nje ya siasa huwa una logic!Lazima wapumbavu kama wewe mjitokeze kwenye matukio kama haya. Huko Hanang nao walikutwa na hasira ya Mungu?
Huko wana gharika la vumbi tu 😂😂😂Inatakiwa Dom nako Allah wataala ashushe gharika.
Wazee wa kufandia matatizo na majanga ya watu wengine kisha kuzipanlabel hasira, hizi ni natural calamities , just like tetemeko, mafuriko huko kote yanapowakuta, it naturalnoccurenceMimi siwatishi Wala nini, Vyombo vya habari vitawadanganya kua Ni Mabadiliko ya Hali ya hewa, Mara Moto usiojulikana chanzo ,mara vile !!.
Usiombe Mungu akasirike alafu akuonyeshe waziwazi kua amekasirika na aamue kukutumia wewe kama mfano.
Los Angeles, Jiji maarufu ambalo Mashoga na wooote wa LGBTQ waliishi huko wakimchukia Mungu Sasa wamefikwa.
Soma Pia: Marekani: Moto Mkali Wateketeza Ekari 3,000 na Kuwafurusha Maelfu ya Watu Los Angeles
Ni Moto ambao Taifa la Marekan Licha ya Ubabe wake, Teknolojia yake isoshikika , Uchumi mkubwa , Jeshi kubwa wameshindwa kuuzima , na wanashindwa Kwa sababu ni Moto ambao sio KAZI ya mwanadamu ni MUNGU.
View attachment 3197895
.
View attachment 3197897
.
View attachment 3197898
Mawazo ya masikini bana.Mimi siwatishi Wala nini, Vyombo vya habari vitawadanganya kua Ni Mabadiliko ya Hali ya hewa, Mara Moto usiojulikana chanzo ,mara vile !!.
Usiombe Mungu akasirike alafu akuonyeshe waziwazi kua amekasirika na aamue kukutumia wewe kama mfano.
Los Angeles, Jiji maarufu ambalo Mashoga na wooote wa LGBTQ waliishi huko wakimchukia Mungu Sasa wamefikwa.
Soma Pia: Marekani: Moto Mkali Wateketeza Ekari 3,000 na Kuwafurusha Maelfu ya Watu Los Angeles
Ni Moto ambao Taifa la Marekan Licha ya Ubabe wake, Teknolojia yake isoshikika , Uchumi mkubwa , Jeshi kubwa wameshindwa kuuzima , na wanashindwa Kwa sababu ni Moto ambao sio KAZI ya mwanadamu ni MUNGU.
View attachment 3197895
.
View attachment 3197897
.
View attachment 3197898
Mungu uchagua pa kuanzia,pia anaweza toa adhabu zikatofautiana na sehemu ingine,ye ndo uamua,hakuna wa kumpangia.Kwamba huko Los Angeles ndio kuna maovu kuliko sehemu zingine za dunia? Kwamba sehemu kama dar watu hawaishi usodoma?
Kama ndilo jiji la viwanda vya porns lazima iungue, kama sivyo ni bahati mbayaUna matatizo
Wanyama, ndege na viumbe vingine vilivyoungua, navyo vimemkosea Mungu?Mimi siwatishi Wala nini, Vyombo vya habari vitawadanganya kua Ni Mabadiliko ya Hali ya hewa, Mara Moto usiojulikana chanzo ,mara vile !!.
Usiombe Mungu akasirike alafu akuonyeshe waziwazi kua amekasirika na aamue kukutumia wewe kama mfano.
Los Angeles, Jiji maarufu ambalo Mashoga na wooote wa LGBTQ waliishi huko wakimchukia Mungu Sasa wamefikwa.
Soma Pia: Marekani: Moto Mkali Wateketeza Ekari 3,000 na Kuwafurusha Maelfu ya Watu Los Angeles
Ni Moto ambao Taifa la Marekan Licha ya Ubabe wake, Teknolojia yake isoshikika , Uchumi mkubwa , Jeshi kubwa wameshindwa kuuzima , na wanashindwa Kwa sababu ni Moto ambao sio KAZI ya mwanadamu ni MUNGU.
View attachment 3197895
.
View attachment 3197897
.
View attachment 3197898
Na wewe acha Makasiriko kisa tu unaipenda Marekani. Akiwa ni Munga au sio yeye hata wewe huwezi kujua. Nadhani wewe ungekuwepo kipindi cha farao bado ungepinga mengi tu aliyoyafanya Mungu.Lazima wapumbavu kama wewe mjitokeze kwenye matukio kama haya. Huko Hanang nao walikutwa na hasira ya Mungu?