Hasira ya Mungu imeshuka juu ya LOS ANGELES, inateketea Kama Sodoma Na Gomora

Hasira ya Mungu imeshuka juu ya LOS ANGELES, inateketea Kama Sodoma Na Gomora

Kwenye keyboard herufi d na s zimekaribiana, naona alitaka kuandika Sodoma na Gomora.

Ila Dodoma nako kuna vituko kama Sodoma. Hususani wakati wa vikao vya bunge.
Inatakiwa Dom nako Allah wataala ashushe gharika.
 
Wabongo na waafrika maskini choka mbaya mna chuki zisizo na msingi wowote kwa Marekani.

Huyo Mungu mbona hasira zake hazishuki juu ya Mbagala, Temeke, Tandika, Buza, River side, Sinza, Uwanja wa fisi???
Mara nyingi ni wenye imani za kutoka uarabuni.

Waarabu wanatumia maandiko ya dini kufanya watu waichukie US.
 
Mimi siwatishi Wala nini, Vyombo vya habari vitawadanganya kua Ni Mabadiliko ya Hali ya hewa, Mara Moto usiojulikana chanzo ,mara vile !!.

Usiombe Mungu akasirike alafu akuonyeshe waziwazi kua amekasirika na aamue kukutumia wewe kama mfano.

Los Angeles, Jiji maarufu ambalo Mashoga na wooote wa LGBTQ waliishi huko wakimchukia Mungu Sasa wamefikwa.

Soma Pia: Marekani: Moto Mkali Wateketeza Ekari 3,000 na Kuwafurusha Maelfu ya Watu Los Angeles

Ni Moto ambao Taifa la Marekan Licha ya Ubabe wake, Teknolojia yake isoshikika , Uchumi mkubwa , Jeshi kubwa wameshindwa kuuzima , na wanashindwa Kwa sababu ni Moto ambao sio KAZI ya mwanadamu ni MUNGU.


View attachment 3197895
.
View attachment 3197897
.
View attachment 3197898
Wazee wa kufandia matatizo na majanga ya watu wengine kisha kuzipanlabel hasira, hizi ni natural calamities , just like tetemeko, mafuriko huko kote yanapowakuta, it naturalnoccurence
 
Mimi siwatishi Wala nini, Vyombo vya habari vitawadanganya kua Ni Mabadiliko ya Hali ya hewa, Mara Moto usiojulikana chanzo ,mara vile !!.

Usiombe Mungu akasirike alafu akuonyeshe waziwazi kua amekasirika na aamue kukutumia wewe kama mfano.

Los Angeles, Jiji maarufu ambalo Mashoga na wooote wa LGBTQ waliishi huko wakimchukia Mungu Sasa wamefikwa.

Soma Pia: Marekani: Moto Mkali Wateketeza Ekari 3,000 na Kuwafurusha Maelfu ya Watu Los Angeles

Ni Moto ambao Taifa la Marekan Licha ya Ubabe wake, Teknolojia yake isoshikika , Uchumi mkubwa , Jeshi kubwa wameshindwa kuuzima , na wanashindwa Kwa sababu ni Moto ambao sio KAZI ya mwanadamu ni MUNGU.


View attachment 3197895
.
View attachment 3197897
.
View attachment 3197898
Mawazo ya masikini bana.
 
Kwamba huko Los Angeles ndio kuna maovu kuliko sehemu zingine za dunia? Kwamba sehemu kama dar watu hawaishi usodoma?
Mungu uchagua pa kuanzia,pia anaweza toa adhabu zikatofautiana na sehemu ingine,ye ndo uamua,hakuna wa kumpangia.
 
Mimi siwatishi Wala nini, Vyombo vya habari vitawadanganya kua Ni Mabadiliko ya Hali ya hewa, Mara Moto usiojulikana chanzo ,mara vile !!.

Usiombe Mungu akasirike alafu akuonyeshe waziwazi kua amekasirika na aamue kukutumia wewe kama mfano.

Los Angeles, Jiji maarufu ambalo Mashoga na wooote wa LGBTQ waliishi huko wakimchukia Mungu Sasa wamefikwa.

Soma Pia: Marekani: Moto Mkali Wateketeza Ekari 3,000 na Kuwafurusha Maelfu ya Watu Los Angeles

Ni Moto ambao Taifa la Marekan Licha ya Ubabe wake, Teknolojia yake isoshikika , Uchumi mkubwa , Jeshi kubwa wameshindwa kuuzima , na wanashindwa Kwa sababu ni Moto ambao sio KAZI ya mwanadamu ni MUNGU.


View attachment 3197895
.
View attachment 3197897
.
View attachment 3197898
Wanyama, ndege na viumbe vingine vilivyoungua, navyo vimemkosea Mungu?
Na je Mungu asingewezeza kutoa aina nyingine ya adhabu, iwe fundisho kwetu, mbali na kuunguza viumbe?

Na je walioungua na kufa ndio LBGTQs au kuna ambao sio?
Na kama ndio wenyewe, moto umewamaliza?
 
Lazima wapumbavu kama wewe mjitokeze kwenye matukio kama haya. Huko Hanang nao walikutwa na hasira ya Mungu?
Na wewe acha Makasiriko kisa tu unaipenda Marekani. Akiwa ni Munga au sio yeye hata wewe huwezi kujua. Nadhani wewe ungekuwepo kipindi cha farao bado ungepinga mengi tu aliyoyafanya Mungu.
 
Back
Top Bottom