MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Nitolee upumbavu wako hapaNa wewe acha Makasiriko kisa tu unaipenda Marekani. Akiwa ni Munga au sio yeye hata wewe huwezi kujua. Nadhani wewe ungekuwepo kipindi cha farao bado ungepinga mengi tu aliyoyafanya Mungu.
Nimeipenda hii expertAsiyeamini kama huyu ni mungu hawezi kuamini chocjote kwenye maisha yake , acha waisome namba wengi wao walichanga hadi hela ili gaza watoto wauliwe leo wao mungu kawapa dozi kidogo tu wanalia kama watoto, karma never miss the address
Uwepo wa wapumbavu kama wewe na mleta uzi hapa nchini utasababisha tuzidi kuchelewa sana kimaendeleo. Mna ujinga mwingi mno. Kwa akili zako za kipumbavu ni kwamba Mungu alikuwa anamlipiza James Wood kwa kuchoma nyumba hata za wasio na hatia?Hanang ni eneo lenye landslides na kijiegrafia ila huu moto hata hao wenye hela na teknojia wamebaki wanalia kama watoto, mungu ana njia zake za kujitokeza ,hawa matajiri wa los angeles walichanga hadi hela na kuongea maneno ya kashfa kwamba watu wa gaza wachomwe na wauliwe, leo mali zao zinateketea tu wanalia kama watoto, nenda kaangalie james woods aliesema watu wa gaza wachomwe moto alivyolia kwenye tv kama mtoto ,wenzake wamepoteza familia zao ,yeye kapoteza mali tu analialia ovyo kama shoga
What goes around comes aroundHanang ni eneo lenye landslides na kijiegrafia ila huu moto hata hao wenye hela na teknojia wamebaki wanalia kama watoto, mungu ana njia zake za kujitokeza ,hawa matajiri wa los angeles walichanga hadi hela na kuongea maneno ya kashfa kwamba watu wa gaza wachomwe na wauliwe, leo mali zao zinateketea tu wanalia kama watoto, nenda kaangalie james woods aliesema watu wa gaza wachomwe moto alivyolia kwenye tv kama mtoto ,wenzake wamepoteza familia zao ,yeye kapoteza mali tu analialia ovyo kama shoga
Nimeipenda hii expert,siku zote majanga yakitokea kwa wengine wanachukulia poa,ni zamu yao sasa hawa shwainiSio yeye tu matajiri wengi wa california walichanga hadi hela ilo gaza ichomwe na iporwr leo california imegeuka gaza ,na kiongozi wa hawa washenzi kaenda kujiliza kwenye tv watu wakamkumbusha kuhusu kauli zake kuhusu gaza, teknolojia huwa haisahau , pamoja na hela zao zote leo wanalialia na kutia huruma ,mungu ni wa haki hii imeenda
Sasa expert rate ya huu ufirauni unaona fanyika huko mamtoni ni sawa na wa hawa wapuuzi wachache wa huku?Huyo Allah mbona hawachomi moto masheikh wanao lawiti watoto wadogo kwenye madrasa?
Hivi huyo Allah wenu anajielewa kweli?
Endelea kushupaza shingo tajiri wa mchongo 😂😂Uwepo wa wapumbavu kama wewe na mleta uzi hapa nchini utasababisha tuzidi kuchelewa sana kimaendeleo. Mna ujinga mwingi mno. Kwa akili zako za kipumbavu ni kwamba Mungu alikuwa anamlipiza James Wood kwa kuchoma nyumba hata za wasio na hatia?
Nilikuwa naangalia kuna Simba wa milimani, kuna ndege, kuna viumbe chungu nzima wameungua, sasa na hao wamemkosea Mungu?Wanyama, ndege na viumbe vingine vilivyoungua, navyo vimemkosea Mungu?
Na je Mungu asingewezeza kutoa aina nyingine ya adhabu, iwe fundisho kwetu, mbali na kuunguza viumbe?
Na je walioungua na kufa ndio LBGTQs au kuna ambao sio?
Na kama ndio wenyewe, moto umewamaliza?
Mungu hajafanya chochote na wala hatoweza kufanya chochote mkuu.Na wewe acha Makasiriko kisa tu unaipenda Marekani. Akiwa ni Munga au sio yeye hata wewe huwezi kujua. Nadhani wewe ungekuwepo kipindi cha farao bado ungepinga mengi tu aliyoyafanya Mungu.
Wee hii sio movie lakini..?America is burning😳😳😳🥹🥹🥹
View attachment 3198021
Sasa mavuzi yameingiaje hapo mkuu...Mungu hajafanya chochote na wala hatoweza kufanya chochote mkuu.
Hivi inakuwaje mpaka watu wazima na mavuzi yenu mnaamini hizo hadithi za Mungu?
Kwani mbagala kuna nini tena mkuuWabongo na waafrika maskini choka mbaya mna chuki zisizo na msingi wowote kwa Marekani.
Huyo Mungu mbona hasira zake hazishuki juu ya Mbagala, Temeke, Tandika, Buza, River side, Sinza, Uwanja wa fisi???
Nimeshangaa sana kwa I'd ya huyu jamaa sikutegemea kama ana fikra za hivi kabisa.Lazima wapumbavu kama wewe mjitokeze kwenye matukio kama haya. Huko Hanang nao walikutwa na hasira ya Mungu?
Mkuu... It is burning... America is on fire... And some have seen fires coming from the clouds up above.... Lakini inawezekana ni cheche.....Wee hii sio movie lakini..?
Duuuh show kali hii mkuuMkuu... It is burning... America is on fire... And some have seen fires coming from the clouds up above.... Lakini inawezekana ni cheche.....
View attachment 3198042