Hasira ya Mungu imeshuka juu ya LOS ANGELES, inateketea Kama Sodoma Na Gomora

USA : NO CEASEFIRE
GOD : OK, WILDFIRE
 
Uwepo wa wapumbavu kama wewe na mleta uzi hapa nchini utasababisha tuzidi kuchelewa sana kimaendeleo. Mna ujinga mwingi mno. Kwa akili zako za kipumbavu ni kwamba Mungu alikuwa anamlipiza James Wood kwa kuchoma nyumba hata za wasio na hatia?
Hujui wala huna exposure ya kujua nini kinachoendelea los angeles , wewe kaa utulie uache mungu afanye kazi yake , wenyewe wanajua walichokifanya na acha wavune dhambi zao
 
Kwa hiyo hapa duniani wanaokuchukiza ni mashoga tu?Wachawi,majambazi,magaidi na wajinga wengine hauwaoni?
 
Mungu akiamua kupiga anapiga na vyote vilivyomo. Hakuna sehemu palipopata pigo la Mungu watu walibaki salama. Huko LA ni majengo na mali ndio vinateketea. Mungu hahusiki kwenye hili
 
Wazee wa kusoma hadithi🤔
 
Sasa expert rate ya huu ufirauni unaona fanyika huko mamtoni ni sawa na wa hawa wapuuzi wachache wa huku?

Je unahitaji takwimu katika hili?
Kwa hiyo eneo likiwa na rate kubwa ya ufirauni ndio hasira ya Mungu inapanda?

Hivi kati ya ufirauni unaofanywa na watu wazima wenye akili na maamuzi yao binafsi, Na ulawiti unaofanywa na viongozi wa dini kwa watoto wadogo, kipi ni kibaya zaidi?
 
Mbona ni suala la akili tu hata kama kiroho haupo vizuri

Hilo Jiji lilijengwa Kwa kuzingatia majanga kama haya .

Wameshindwa Kwa sababu alouanzisha ndio Mwanzo na Mwisho .
Mkuu kumbe hata janga la kariakoo Mwenyezi alitoa tu kama warning jijini Dar es Salaam kwa kuongoza kuwa na ushoga na kufi**na😂😂
 
Hakuna cha hasira ya Mungu hapo,acha bangi za chooni,mbona hatuoni hiyo hasira mtaa wa Ohio dar kwa Malaya wanaojiuza, kule zenj kwenye sherehe za mashoga, au uwanja wa fisi dar na Masasi! Mbona hizo, hasira hatuzioni zikiipiga Israel kwa managing inayoyafanya GaZa!
Usituletee ujinga wa kilokole hapa,
Kwanza kuna tetesi moto umewashwa makusudi
 
Muda mwingine Mungu anasingiziwa, upuuzi wa mvuta sigara nao asingiziwe Mungu?
Sasa kwanini useme ni mpuuzi..?
Kwahyo kuvuta sigarani upuuzi.?
Je moto wa sigara unaweza sababusha milima kuwaka moto..?
Kwanini usiseme bangi na sio sigara..?
Tumewakosea nini sisi..?
Mbona kila siku sisi..?

Na nyie mvute tuone kama mtawasha moto
 
Sasa kwanini useme ni mpuuzi..?
Kwahyo kuvuta sigarani upuuzi.?
Je moto wa sigara unaweza sababusha milima kuwaka moto..?
Kwanini usiseme bangi na sio sigara..?
Tumewakosea nini sisi..?
Mbona kila siku sisi..?

Na nyie mvute tuone kama mtawasha moto
Sawa Bw. umeeleweka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…