Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Alikuwa anaota tuHayati Dr John Pombe Magufuli aliwahi kunukuliwa kuwa alinusurika kuuawa kwa sumu mara kadhaa.
Yote haya yanaweza kuakisi kazi za WAHUNI.
Tuungane kukemea wahuni.
Una ishahidi wa watu wangapi?are you just anothet parrot echoing the rumour mongers?Watu wangapi waliuwawa kwa amri yake??
Aliambiwa mara ngapi awe mtenda haki hakusikia??
Leo hii Ben Saanane alipo anaoza na huyo boss wenu pia anaoza vile vile ndio mkumbuke duniani ni kwa kupita tu !
You don't need a PhD to justify the evil acts done by the old vicious tyrantUna ishahidi wa watu wangapi?are you just anothet parrot echoing the rumour mongers?
Great thinker must think
Hata Mangula pia ila Ben Saanane hakuwa na hiyo bahati.. Vp PolepoleHayati Dr John Pombe Magufuli aliwahi kunukuliwa kuwa alinusurika kuuawa kwa sumu mara kadhaa.
Yote haya yanaweza kuakisi kazi za WAHUNI.
Tuungane kukemea wahuni.
Hapana wana ubaguzi sana.. Wanatumia ile formula ya huyu mupe yure murukeWahuni hawaachi mtu
Hayati Dr John Pombe Magufuli aliwahi kunukuliwa kuwa alinusurika kuuawa kwa sumu mara kadhaa.
Yote haya yanaweza kuakisi kazi za WAHUNI.
Tuungane kukemea wahuni.
Hayati Dr John Pombe Magufuli aliwahi kunukuliwa kuwa alinusurika kuuawa kwa sumu mara kadhaa.
Yote haya yanaweza kuakisi kazi za WAHUNI.
Tuungane kukemea wahuni.
Na safari hii mtatajana tuu na bado mbogamboga camp kunafuka moshi!!!Hayati Dr John Pombe Magufuli aliwahi kunukuliwa kuwa alinusurika kuuawa kwa sumu mara kadhaa.
Yote haya yanaweza kuakisi kazi za WAHUNI.
Tuungane kukemea wahuni.
Imeisha hiyo ππNa huenda ndiyo walituondolea kipenzi chetu mwaka huu.
#kataawahuni
Cc.Niache nteseke hata ukinuna ndio ishatoka hiyo na hairudi milele na milele, pole san ndugu yang mchattle!Imeisha hiyo ππ
Watu wangapi waliuwawa kwa amri yake??
Aliambiwa mara ngapi awe mtenda haki hakusikia??
Leo hii Ben Saanane alipo anaoza na huyo boss wenu pia anaoza vile vile ndio mkumbuke duniani ni kwa kupita tu !
Poleni MATAGA zoeeni na mjuwe kufiwa kunafananaje na huyo mtu wenu hatorudi kamwe hapa hata mkatambikie MATAGA pori na Sukuma gang
Kuna mwingine yuko ulaya anaendelea kushikishwa ukuta na wazungu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbona saizi yupo chato anaendelea kuoza mkuu
ni wahuni ndio wanamkumbuka kwa maovu ya kutengeneza
Kuna mwingine yuko ulaya anaendelea kushikishwa ukuta na wazungu