chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,835
wahuni sio watu kabisa, r.i.p mmakonde!!,huyu angekuwa hai angeongea yote hadharani,huyu mwamba alikuwa haogopi kitu,Kama bwai na iwe bwai,,na ndo mtu pekee aliyekuwa threat kwa wahuni!!Hata mangula nae alinusurika pia
Ndiyo Maana Nabii Mwingira anaweza kuwa ana mkono wake kwa kifo cha Dkt Magufuli. Kama rais Dkt Magufuli alinusurika kuuawa mara kibaoHayati Dr John Pombe Magufuli aliwahi kunukuliwa kuwa alinusurika kuuawa kwa sumu mara kadhaa.
Yote haya yanaweza kuakisi kazi za WAHUNI.
Tuungane kukemea wahuni.
kama Magu alishindwa kuwataja waliotaka kupita nae ndio huyo jamaa ataweza wataja waliopitiwa awamu ya5?Taja walau kumi tu waliouwawa na Magufuli. Hatutaki blah blah
Mnatudharau subiriniMATAGA hayaaminiani
Hawa watu 2025 watajua kuwa hawajui.Mnatudharau subirini
Tatizo mnalishana uongo na mnauamini.kama Magu alishindwa kuwataja waliotaka kupita nae ndio huyo jamaa ataweza wataja waliopitiwa awamu ya5?
Covid-19Hayati Dr John Pombe Magufuli aliwahi kunukuliwa kuwa alinusurika kuuawa kwa sumu mara kadhaa.
Yote haya yanaweza kuakisi kazi za WAHUNI.
Tuungane kukemea wahuni.
Nawe utaoza tu ndugu yangu.Watu wangapi waliuwawa kwa amri yake??
Aliambiwa mara ngapi awe mtenda haki hakusikia??
Leo hii Ben Saanane alipo anaoza na huyo boss wenu pia anaoza vile vile ndio mkumbuke duniani ni kwa kupita tu !
Poleni MATAGA zoeeni na mjuwe kufiwa kunafananaje na huyo mtu wenu hatorudi kamwe hapa hata mkatambikie MATAGA pori na Sukuma gang
Hayati Dr John Pombe Magufuli aliwahi kunukuliwa kuwa alinusurika kuuawa kwa sumu mara kadhaa.
Yote haya yanaweza kuakisi kazi za WAHUNI.
Tuungane kukemea wahuni.
alikuwa raisi wa propaganda . Nna watanzania siyo watu wa kutafuta ukweli!Mm naona humu ndani ndio Kuna nyuzi za kumpinga magufuli lkn huku vijiweni uwezi kuwaambia lolote watu kuhus magufuli yaani watakufurusha at ukiwapa ushaidi hawaelewi lolote ..huwacbishani sna nikiona mjadal wa kumsifia magufuli umeanza bas naondoka zangu mnk nakoza angle ya kuwaelewesha adhar za magufuli katka utawal uliopita
Niambie kwanzaHakufanya yote hayo weka ushahidi
Atabaki kuwa kiongozi katili na dictator aliyekatiza uhai wa watu wengi sana wasiokuwa na hatia. Ni muovuHayati Dr John Pombe Magufuli aliwahi kunukuliwa kuwa alinusurika kuuawa kwa sumu mara kadhaa.
Yote haya yanaweza kuakisi kazi za WAHUNI.
Tuungane kukemea wahuni.
Wewe ndiyo unaileta porojo.Unayoongea ni porojo kama huweki ushahidi porojo hazina ushahidi.
Sijakataa nimerefer huyo mtu wenu aliyekua anataka aabudiweNawe utaoza tu ndugu yangu.
Lugha uliyotumia sio nzuri ndugu yangu, chuki itakumaliza.Sijakataa nimerefer huyo mtu wenu aliyekua anataka aabudiwe
Alikuwa na roho ya kishetaniHuyu jamaa alikuwa katili mno