Hataki kunipa talaka

Yangu anagusa, hataki nisave namba zaidi ya za ndugu zangu, mtu hata akosee namba au classmate apige ni kichapo, ndio nikajifunza kugusa yake
Ipo ivi ,,, Mwanaume anayechepuka huwa Mara nyingine nimkali kwa mke wake kwakua anahisi jinsi anavyopiga wawenzake naye atapigiwa napia kinachofanya tuwe wakali nihii ,, mwanamme anapochepuka anachepuka just for sexual pleasure lkn mwanamke akichepuka huwa anachepuka kwa MTU ambaye anajua hata akifukuzwa namumeo ataenda kuishi naye ,,sasa kwamwanamme ukichaa nipale unaposikia baada ya kumfukuza mkeo siku mbili zilizofuata anaishi nakidume kingine hapo ndo utahisi ardhi nimbigu.
 

Katika Maelezo yake hakuna sehemu nimeona anaongelea juu ya kupigwa,, Imekuwaje uwe very reactive kwa kitu ambacho siyo sehemu ya ombi la Ushauri aliouomba Mhitaji? Tena Umetoa Povu siyo la JF ebu yasome haya Maneno yako..

Nimemkatalia asikubali kupigwa ,kwann umpige mwanamke anaekupikia chakula???/huoni huo ni uuaji kbs??kwann asimpe adhab ambazo ni positive?/au nww huzijui?/yaan ww suluhisho lako la mwisho umpige mkeo itakusaidia nn sasa??
hakuna kitu nambacho sipend km mtu anipige aic thts y nimereact

Yaani mtu anahitaji kunywa uji wewe unamletea na Ugali tena uliolala .. Change hupashwi kuwa Mshauri...
 

hahahahahaha wewe ni mmoja ya wale wanaopiga wake zao sasa hapa lazima ukasirike ,acha kupiga mkeo ndugu yangu siku ukimuua je??nina ndoa imara na nzuri tu aic,tena mume ndo ananipa crdt ananijua vilivyo,tena imagine nina mume msukuma,teh teh,mm sitak kbs mtu anipige aic huwa nareact nkm unavyoniona ,kiufup umenibebesha madhambi bureeee kanisalie na mm aic,
 
sema tu kweli umemchoka unatafuta visababu hilo nalo ni

jambo la kuomba talaka kweli duuh so sad
 


ina maaana hujaona aliposema anapigwa?/au hujui maana ya kichapo??naona nikiendelea nkujibizana na ww nitraendelea kukudharau,,haya umeshinda ww,msome mamy k tena uelewe acha kukurupuka basi
 
Mpe wewe,,maan huyo hakufai
 
Yes dsts great ...mwanamke hapigwi aisee kwanza nikosa kisheria
 
mamy k hebu kuja pande hizi ,ulisema nunaambulia kichapo nau nmm sikukuelewa,if yes sikukuelewa NISAMEHE
 
KASEMA KULE JUU ANAMPIGA
Well kama anampiga ,, I don't think kama kweli hajawahi kuwashirikisha wazazi wake pande zote mbili ,,, nakama bado aache utoto nakama tayar nahakuna suluhisho basi naye awe anamtisha kuchukua hatua dhidi yake mfano .amtishe kumoeleka ustawi jamii au polis ...things zitaenda mororo
 
Mnapenda sana kuchungulia sim zawaume zenu... Mtu anachati nasim yake lakini utajipitisha nakuchungulia.. Sasa ndo faida hiyo... Uantaka kusema ndani yahiyo miaka 7 hujawai chepuka??? Sim hazijawai kuziacha ndao salama.. Kaeni mbali nasim.
 
NADHA
Yes dsts great ...mwanamke hapigwi aisee kwanza nikosa kisheria
N WW NDO MWANAUME HUMU KUCHANGIA KAA NA [HASHTAG]#AKILI[/HASHTAG] UNAZO UMSHAURI MAANA AMEAMUA KUNIBEBESHA MADHAMBI ANAYO MFANYIA MKEWE,mm mume nwangu hajui na nhawez kunipiga maana natimiza majukuuum yoootge km mke iweje unidunde?/nakuomba kaka yangu mpe ndarasa AKILI UNAZO MAANA HANA AKILI KUMBE
 
 


hahahaha kweli nww majanga aic
kwanza tambua mm na makelele ni tofaut yaan ht kelele tu za kawaida mm sipendag yaan unipige niache kukupeleka polic kisa??>unataka nimsumbue baba yangu au wasimamiz wa ndoa?/polic ni sehem salam kwa wanaume wenye akli butu km zako
 
Wewe mama ulipookua unataka kuolewa ulikua unajua unachoenda kufanya au ulikua unawaza kuvaa shela nakuitwa mrs flani.kwanza nikwambie kua ndoa ni hati miliki ya mwanaume kummiliki mwanamke,kwaiyo kama nikutoa talaka lazima kue na jambo la msingi sana kwasababu kama ambavyo mlipokua mnaoana familia pande zote zilihusika kwa furaha kwa namna moja au nyingine ndivyo ambavyo pia watahusika kwamasikitiko na isitoshe mwanaume hafumaniwi na lazima ujue mumeo kukuoa wewe haimaanishi aoni au hatamani wengine wazur zaid yako.kwaiyo anapokataa kukupa talaka inawezekana anakupa nafas yawewe kufikiria sawasawa kwa kutumia akili badala ya hisia,inawezekana anawaza mtoto mliyemzaa itakuaje akilelewa na mama wa kambo,inawezekana anawaza muda aliopoteza na wewe kufikiria future,inawezekana anawaza gharama alizoingia kua na wewe na mengine mengi ambayo wewe hujayafikiria.Lazima ujue kua wanaume wameumbwa na tamaa dhidi ya wanawake na pia jua kua biolojia inamfevor mwanaume kua na wanawake wengi sasa ni jukum lako wewe uliyeolewa kumlinda na vishawishi vya uko nje.kwaiyo badala yakukimbia baki uboreshe mapenzi yako.timiza wajibu wako kama mama,kama mke na kama msaidizi wa mumeo kwasababu nguvu ya mwanamke ni kubwa sana endapo utaitumia vizuri sasa angalia usiwape wajanja nafasi wakaitumia dhidi ya mumeo wakat wewe umebweteka nakulia lia tu..pole ila pambana.
 


Siku zote Wimbo uupendao ndiyo wimbo uliwahi kuufanya kwa kinywa chako.. Huwezi chukia kitu ambacho hujawahi kufanyiwa au kukifanya ukajua maumivu yake.. Humu Ndani wengi tunajificha kwenye Keyboard ila truth our words tells alot who we are nje ya JF.

Mrs Air wewe ulishapigwa sana na Umeshampeleka huyo Mumeo sana Polisi ndio maana kwako unadhani kuwa njia pekee ya kutatua matatizo ya kimahusiano ni Kwenda Polisi. Polisi ipo Kwa wahalifu...Siku Ukimpeleka Mumeo Polisi Jua ndiyo siku umetangaza Vita Nyingine. Acha nireserve comment zangu
 




sure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…