Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Ipo ivi ,,, Mwanaume anayechepuka huwa Mara nyingine nimkali kwa mke wake kwakua anahisi jinsi anavyopiga wawenzake naye atapigiwa napia kinachofanya tuwe wakali nihii ,, mwanamme anapochepuka anachepuka just for sexual pleasure lkn mwanamke akichepuka huwa anachepuka kwa MTU ambaye anajua hata akifukuzwa namumeo ataenda kuishi naye ,,sasa kwamwanamme ukichaa nipale unaposikia baada ya kumfukuza mkeo siku mbili zilizofuata anaishi nakidume kingine hapo ndo utahisi ardhi nimbigu.Yangu anagusa, hataki nisave namba zaidi ya za ndugu zangu, mtu hata akosee namba au classmate apige ni kichapo, ndio nikajifunza kugusa yake
sipo hapa kupata crdt kwa mtu mkuu,yoote nuimemweleZa toka juu aachane na nkumfatilia mumew,afanye yake itamfanya awe busy na maisha yake,ila Nimemkatalia asikubali kupigwa ,kwann umpige mwanamke anaekupikia chakula???/huoni huo ni uuaji kbs??kwann asimpe adhab ambazo ni positive?/au nww huzijui?/yaan ww suluhisho lako la mwisho umpige mkeo itakusaidia nn sasa??
hakuna kitu nambacho sipend km mtu anipige aic thts y nimereact,pole sn kukukwaza asbh hii...am alwys POSITIVE
Mrs Air umeniharibia ibada yangu, Yaani Umenifanya nikatubu kukufikiria Vibaya sana na kukuona hufai kuwa na Ndoa yoyote katika Jamii..
Unawezaje kumshauri Mtu mwenye uhitaji wa Ushauri Ushauri huo kama Mwanamke anayejitambua? Aisee hii dhambi ulinichumia leo Najuta hata kusoma huu Uzi....Sijawahi hata siku Moja kukurupuka kusema neno kwa mtu aliye na Tatizo zaidi ya kumtuliza kwanza ili nijue zaidi.. Acha nijiandae niende Church
Hahahahhaa neungwa kisi sana awe uliaki goooNijakisi jaji !
hahahahahaha wewe ni mmoja ya wale wanaopiga wake zao sasa hapa lazima ukasirike ,acha kupiga mkeo ndugu yangu siku ukimuua je??nina ndoa imara na nzuri tu aic,tena mume ndo ananipa crdt ananijua vilivyo,tena imagine nina mume msukuma,teh teh,mm sitak kbs mtu anipige aic huwa nareact nkm unavyoniona ,kiufup umenibebesha madhambi bureeee kanisalie na mm aic,
Mpe wewe,,maan huyo hakufaiNi mume wangu, mwaka wa 7 ndoani with one kid, nimefuma anachat na mwanamke kimahaba, nikajishusha tuyaongee mwenzangu ananijia juu.
Sasa nimeamua ndoa basi, nataka talaka yangu na yeye kunipa hataki.
Niko stressed jamani, nishaurini mwenzenu.
Yani Mimi ndio nimekosewa na bado nanuniwa, na nikimwambia tuachane hataki. Nifanyeje?
Yes dsts great ...mwanamke hapigwi aisee kwanza nikosa kisheriaThere u r,na mm ndo nilichomwambia nkule mwanzon kbsssaaaaaa ajipende afanye kazi nzoote mwenyewe atajirud,ila nimemwambia nakatae kupigwa ,kukataa kuna maanisha meng mtishie hata kumpeleka police,kwann upigwe lakini??eishnmm sitakmkbs nkupigwa aic
cc;AKILI UNAZO
Well kama anampiga ,, I don't think kama kweli hajawahi kuwashirikisha wazazi wake pande zote mbili ,,, nakama bado aache utoto nakama tayar nahakuna suluhisho basi naye awe anamtisha kuchukua hatua dhidi yake mfano .amtishe kumoeleka ustawi jamii au polis ...things zitaenda mororoKASEMA KULE JUU ANAMPIGA
Hahahahhaa neungwa kisi sana awe uliaki gooo
Mnapenda sana kuchungulia sim zawaume zenu... Mtu anachati nasim yake lakini utajipitisha nakuchungulia.. Sasa ndo faida hiyo... Uantaka kusema ndani yahiyo miaka 7 hujawai chepuka??? Sim hazijawai kuziacha ndao salama.. Kaeni mbali nasim.Ni mume wangu, mwaka wa 7 ndoani with one kid, nimefuma anachat na mwanamke kimahaba, nikajishusha tuyaongee mwenzangu ananijia juu.
Sasa nimeamua ndoa basi, nataka talaka yangu na yeye kunipa hataki.
Niko stressed jamani, nishaurini mwenzenu.
Yani Mimi ndio nimekosewa na bado nanuniwa, na nikimwambia tuachane hataki. Nifanyeje?
N WW NDO MWANAUME HUMU KUCHANGIA KAA NA [HASHTAG]#AKILI[/HASHTAG] UNAZO UMSHAURI MAANA AMEAMUA KUNIBEBESHA MADHAMBI ANAYO MFANYIA MKEWE,mm mume nwangu hajui na nhawez kunipiga maana natimiza majukuuum yoootge km mke iweje unidunde?/nakuomba kaka yangu mpe ndarasa AKILI UNAZO MAANA HANA AKILI KUMBEYes dsts great ...mwanamke hapigwi aisee kwanza nikosa kisheria
hahahahahaha wewe ni mmoja ya wale wanaopiga wake zao sasa hapa lazima ukasirike ,acha kupiga mkeo ndugu yangu siku ukimuua je??nina ndoa imara na nzuri tu aic,tena mume ndo ananipa crdt ananijua vilivyo,tena imagine nina mume msukuma,teh teh,mm sitak kbs mtu anipige aic huwa nareact nkm unavyoniona ,kiufup umenibebesha madhambi bureeee kanisalie na mm aic,[/QUOTE
Kumbe huwa unapigwa na ukipigwa huwa Una React? Ok na Reaction unayoifanya kwa Mumeo ndiyo hiyo unataka Wanawake wengine waziapply kwa Wame zao?
Life has never been uniform hasa katika haya maisha ya Ndoa? Wakati wewe Unaona Sex kila siku ni Mateso kwenye Ndoa wengine wanatamani kupata mwanaume anayedemand, Wakati Wengine wanahitaji Mtu very Understanding na Mshauri Wewe Utahitaji Ndoa ya Wewe kuishi kama Mume ndani.
Your Tongue tell us alot.
Kwa kifupi Siamini katika Kupiga, Mimi Ukianza Vuvuzela lako nasepa zangu halafu nitarudi na rundo ya kile ukipendacho baada ya Hasira kukuisha. Sasa Niambie Kama huyo Msukuma unayejivunia kama anaweza Kukupa hiyo attention.
Hahahahah.. In your entire life usije ukapeleka Matatizo yako ya Kimahusiano Police, Tambua Polisi ipo kwa ajili ya nini.. Ipo kwa ajili ya Wahalifu... Sasa wewe Mwanamke ambaye Polisi ni kimbilo lako umeshamchukuliwa Mumeo Mhalifu?
Umewafumania wakizini?Nina ushahidi wa kutosha, nimempigia mwanamke amekiri.
NADHA
N WW NDO MWANAUME HUMU KUCHANGIA KAA NA [HASHTAG]#AKILI[/HASHTAG] UNAZO UMSHAURI MAANA AMEAMUA KUNIBEBESHA MADHAMBI ANAYO MFANYIA MKEWE,mm mume nwangu hajui na nhawez kunipiga maana natimiza majukuuum yoootge km mke iweje unidunde?/nakuomba kaka yangu mpe ndarasa AKILI UNAZO MAANA HANA AKILI KUMBE
Hahshhaha ngamba ati olyanu utali majita ila uli mjita ...majita iya mwanawasu ?Nili Majita, mwanawasu!
Wewe mama ulipookua unataka kuolewa ulikua unajua unachoenda kufanya au ulikua unawaza kuvaa shela nakuitwa mrs flani.kwanza nikwambie kua ndoa ni hati miliki ya mwanaume kummiliki mwanamke,kwaiyo kama nikutoa talaka lazima kue na jambo la msingi sana kwasababu kama ambavyo mlipokua mnaoana familia pande zote zilihusika kwa furaha kwa namna moja au nyingine ndivyo ambavyo pia watahusika kwamasikitiko na isitoshe mwanaume hafumaniwi na lazima ujue mumeo kukuoa wewe haimaanishi aoni au hatamani wengine wazur zaid yako.kwaiyo anapokataa kukupa talaka inawezekana anakupa nafas yawewe kufikiria sawasawa kwa kutumia akili badala ya hisia,inawezekana anawaza mtoto mliyemzaa itakuaje akilelewa na mama wa kambo,inawezekana anawaza muda aliopoteza na wewe kufikiria future,inawezekana anawaza gharama alizoingia kua na wewe na mengine mengi ambayo wewe hujayafikiria.Lazima ujue kua wanaume wameumbwa na tamaa dhidi ya wanawake na pia jua kua biolojia inamfevor mwanaume kua na wanawake wengi sasa ni jukum lako wewe uliyeolewa kumlinda na vishawishi vya uko nje.kwaiyo badala yakukimbia baki uboreshe mapenzi yako.timiza wajibu wako kama mama,kama mke na kama msaidizi wa mumeo kwasababu nguvu ya mwanamke ni kubwa sana endapo utaitumia vizuri sasa angalia usiwape wajanja nafasi wakaitumia dhidi ya mumeo wakat wewe umebweteka nakulia lia tu..pole ila pambana.