Sio suluisho kwakweli na sio wote wenye roho ya hivyo kuwekana ndani. Inaonyesha we ndo wale wakuuza mbuzi kwakes ya kukuhapo ndo kosa lako kuu ulipomwachia akuchape hebu amka mwanamke mwenangu mbn dawat la jinsia lipo,mlaze ndan sku moja atie akili
Wakishambeba akawekwa lokapu akikaa nyumbani siku mbili akaparara,pesa yakulaa ikaisha anakwenda mwenyewe kumchomoa. Swalaa azungumze nae tuu yaishee
Wafu wanazikana kwenye sayari ya Mars sio dunianiWewe ni wakili mwanamke au ni wafu wanazikana?
Akishabadilikaa akaanzaa kulia liaaa kwamba umebadilikaa hiyo ndo nafasi yako kumketishaa chini na kumpaa darasaa kwa hekima za kike sio kumsutaahahahahahhha hujui tu uchungu alionao huyu dada we endelea tu kuhis kaolewa kuondoa mikosi,ndo maana wanawake tunaMUAGA KUBADILIKA MAZIMA ALAF MNAANZA KUJA KULIA LIA hapa huyu mdada akishaweza kujiontrol hasira zake akawa anadharau kila kitu kwa mmewe ,ss hv mumewe ataanza kulia lia oh umebadirika kuna mtu anakudanganya kumbe hamjui chanzo ni nyinyi hapo,
Akishabadilikaa akaanzaa kulia liaaa kwamba umebadilikaa hiyo ndo nafasi yako kumketishaa chini na kumpaa darasaa kwa hekima za kike sio kumsutaa
Uchochezi huo...mwache apiganie ndoa yake..Wapuuzi hao kuna matukio kibao ya wanawake kuuwawa au kuachwa na ulemavu alafu MTU anatetea upuuzi.wanawake nao tujitambue uvumilivu una mipaka yake wanaobaki kuteseka ni watoto wako wanaume wachache sana wanaweza kulea watoto.
Nimeipenda hiiTalaka kisa chati, grow up.
Utoto unakusumbua, ulifikiri ndoa ni kama kucharge simu ikijaa unachomoa tu.
Dini yetu pendwa ya kislam ina define kufumaniwa kuzini ni mpaka; kuwe na mashahidi wa nne na mashahidi wote waone kitendo hicho mubashara (live). Hapo ndio ukidai talaka unawezafikiriwa kupewa.Ni mume wangu, mwaka wa 7 ndoani with one kid, nimefuma anachat na mwanamke kimahaba, nikajishusha tuyaongee mwenzangu ananijia juu.
Sasa nimeamua ndoa basi, nataka talaka yangu na yeye kunipa hataki.
Niko stressed jamani, nishaurini mwenzenu.
Yani Mimi ndio nimekosewa na bado nanuniwa, na nikimwambia tuachane hataki. Nifanyeje?
Watuu hawafanani walaa kulinga. Text tuu kataman kuondoka wakat kuna wengine hataa akute wapo kwenye mgegedo walaa hastukii.kuna wanaume wajeuri,hebu achkue ushauri anaoona unafaa,nataman angekuwa na moyo km wangu aic,ful busy,sishiki cm wala kugusa laptop yako mie na maisha yangu,pole zake
Ukishaona anatoa milio ujue dawa imeingiaa sasa. Kazi kwako kumaliziahahahaha si had sasa aamue kujishusha!
Acha kuvunja ndoa za watu wewe. Unajuwaje mapenzi yao wenyewe mwisho uonekane nyoka bure.hangaika na yako Binti.kwnini lakini unakubali kupigwa na ww mamy k?/yaan ajispoil na mademu na bado akupige?naja pm aic nikupe mambinu huko,masuala ya kupigwa yalikuwa kwa bibi zetu aic,tena mwambie kbs sitak unipige siku akikupihga nenda dawat la jinsia fastaaa wanaenda kumbeba