Urefu unafaida gani kwa taifa kama watu hawana maendeleo. Acha kuwaza majivu.Kaongea ukweli. Wabongo wafupi, labda mkizaa na watusi warefu mtapata watoto warefu wasiokuwa na short man complex kama Magufuli. Ukiangalia historia, madikteta wengi ni wafupi.
Jinga kabisa hili, hizo silaha za nyuklia uliwauzia wewe!!!???Unajua ya kwamba Rwanda ndiyo nchi yemye solaha za nyukilia EAC?
Africa ipi unayoizungumzia?Inanishtua tu kwasababu Gen James Kabarebe aliwahi kupensya DRC mpaka kuwa mkuu wa majeshi wa nchi hiyo.
Kwa Rwanda wakiwa vizuri kwa uzalendo wao wanaweza kuiteka hata Afrika. You know what??
Hilo jina tu Biteko = BhitekoDotto Biteko usimsahau, SiO wa kumuamini
Nyerere ndo aliyechora mpaka wa kutenganisha Rwanda na Tanzania?Hii ni hatari mno kwa usalama wa nchi yetu!
Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza kwenye nyanja mbalimbali kuanzia kilimo,viwanda na biashara mbalimbali kwenye maeneo niliyoyataja hapo.
Ifahamike, sera na wanahistoria wa Rwanda wanatambua eneo lote kuanzia Kagera, Kigoma, Geita na hata Kahama kuishia pale Isaka ni eneo waliloporwa na hayati Mwalimu Nyerere jambo ambalo si la kweli.
Vyombo vya dola vya Tanzania yetu shtukeni-Rwanda si rafiki mwema hata kidogo!
Hata sasa vita anavyovifadhili huko mashariki ya Congo ni kwa sababu ya tamaa ya eneo lile ili wajitanue na wanyakue Kivu belt yote kwa maslahi ya madini.
Tanzania itambue Rwanda haipaswi kuchekewa hata kidogo
Tatizo siyo kama unavyo fikiri...tatizo wakiingia kwenye system hapo tutakuwa hatuna ujanja wewe tazama waarabu wachache tu hapa tz wameingia kwenye system nchi ipo mikononi mwao watz weusi atusikilizwi hadi wao watake ...hata mzozo wa ngorongoro unao endelea wamasai wakitaka wabaki ngorongoro basi wamtafute Rostam azizi au GSM wamwombe awakubalie kubaki ngorongoro ..wao wakikubari basi ujue awataondolewa wala kusumbuliwa ...hivyo kupandikiza watu kwenye system ni hatari sana ...ndiyo maana hata USA ilikuwa inalia kuhusu urussi kuingia kwenye system yao hadi kufanikiwa kumweka trump kipindikile najua mlisikia kelele nyingi hadi sasa bado zipo kuwa Trump nyuma yake yupo mrusiIyo aya ya 3, mkuu hao wa rwanda wana bakwa kama kweli wana amini huo upuuzi ...kwanza sio sahihi
Maana kama ni hivyo wanataka kuijumuisha na kagera, basi waka kwapue na eneo la M7 ambako nako jamii ya wahaya ndio wana unasaba kabisaaa na jamii ya waganda waishio kusini ...kutoka bukoba mpaka mtukula ni almost 6 km kama sikosei...
Na pia hii tabia ya kukahofia hako kanchi sasa ifike tamati jaman .....Tz sio DRC ...hako kanchi unafikiri kenyewe hakajui wapi pa kuchokoza na wapi pakutochokoza ..... Ifahamike Drc wana changamoto nyingine pia ambazo zina kuza na kidhoorotesha amani nchini kwao ....
Ila umetoa alert nzuri na amini vyombo vyetu vipo makin muda wote
Masikini anawaza ngono...
Yaani wewe unagundua leo? Mchg. Dr. C. Mtikila alishatupa alert siku nyingi sana nyuma. Na system yao ilim-delete ili asiendelee kuleta madhara upande wao.Hii ni hatari mno kwa usalama wa nchi yetu!
Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza kwenye nyanja mbalimbali kuanzia kilimo,viwanda na biashara mbalimbali kwenye maeneo niliyoyataja hapo.
Ifahamike, sera na wanahistoria wa Rwanda wanatambua eneo lote kuanzia Kagera, Kigoma, Geita na hata Kahama kuishia pale Isaka ni eneo waliloporwa na hayati Mwalimu Nyerere jambo ambalo si la kweli.
Vyombo vya dola vya Tanzania yetu shtukeni-Rwanda si rafiki mwema hata kidogo!
Hata sasa vita anavyovifadhili huko mashariki ya Congo ni kwa sababu ya tamaa ya eneo lile ili wajitanue na wanyakue Kivu belt yote kwa maslahi ya madini.
Tanzania itambue Rwanda haipaswi kuchekewa hata kidogo
Wanasema hivyo, hata sasa si Congo kama wanalalamika kuwa Rwanda wanafadhili vikundi vya mtindo huo!Inawezekana hiyo M23 ni mali ya Kagame siyo?
Hii ni hatari mno kwa usalama wa nchi yetu!
Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza kwenye nyanja mbalimbali kuanzia kilimo,viwanda na biashara mbalimbali kwenye maeneo niliyoyataja hapo.
Ifahamike, sera na wanahistoria wa Rwanda wanatambua eneo lote kuanzia Kagera, Kigoma, Geita na hata Kahama kuishia pale Isaka ni eneo waliloporwa na hayati Mwalimu Nyerere jambo ambalo si la kweli.
Vyombo vya dola vya Tanzania yetu shtukeni-Rwanda si rafiki mwema hata kidogo!
Hata sasa vita anavyovifadhili huko mashariki ya Congo ni kwa sababu ya tamaa ya eneo lile ili wajitanue na wanyakue Kivu belt yote kwa maslahi ya madini.
Tanzania itambue Rwanda haipaswi kuchekewa hata kidogo
Mm nadhani anawataka kumbe ni Majungu!!Hii ni hatari mno kwa usalama wa nchi yetu!
Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza kwenye nyanja mbalimbali kuanzia kilimo,viwanda na biashara mbalimbali kwenye maeneo niliyoyataja hapo.
Ifahamike, sera na wanahistoria wa Rwanda wanatambua eneo lote kuanzia Kagera, Kigoma, Geita na hata Kahama kuishia pale Isaka ni eneo waliloporwa na hayati Mwalimu Nyerere jambo ambalo si la kweli.
Vyombo vya dola vya Tanzania yetu shtukeni-Rwanda si rafiki mwema hata kidogo!
Hata sasa vita anavyovifadhili huko mashariki ya Congo ni kwa sababu ya tamaa ya eneo lile ili wajitanue na wanyakue Kivu belt yote kwa maslahi ya madini.
Tanzania itambue Rwanda haipaswi kuchekewa hata kidogo
Mbona hao wamejaa serikalini mpaka elimu ya juu wapo pia ktk mashirika ya umma wamejaa kwani shida ni nn?Wapo na wengine ni mawaziri katika jamuhuri yetu, asili yake ni huko huko kwa PK wamewekeza nyanja nyingi tuu madini,burudani, usafirishaji.
kifupi walijipanga muda mrefu tuu wengine walikuwa watumishi kwenye majeshi yao na wakaja huku kujifanya wafanyabishara.
Unataka kusema ndo wakinga au wachaga maana ndo wenye biashara kubwakubwa.Ni kweli kabisa,
Na ni too late hawa jamaa wameshaingia ndani kabisa na wengi wana uraia na biashara kubwa kubwa
Nakumbuka kuna mmoja aluwahi hata kuwa mkurugenzi wa sehemu nyeti na si raia,
Ila baadae walimtoa na akaomba uraia, tena ni ke
Hapana ni wakina pk,Unataka kusema ndo wakinga au wachaga maana ndo wenye biashara kubwakubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maziwa makuu unayajua wewe gringo? Funny ain’t no funny tho!!!!🤣Yani mama angenipa tender yakuanzisha jeshi binafsi kama la Putin Wagner. Tunashuka Kigali na miamvuli at night under cover of darkness with highlytech sophisticated assault weapons na kutandanza mkong'oto wa aina yake na baada ya hapo tunabadilisha regime na Rwanda inakuwa mpya na upuuz hautaendelea tena East Africa na maziwa makuu kwa jumla.