Hatari ya ushoga kwa watoto wa Tanzania; Serikali itunge Sheria kuzuia vikaragosi vya Superman

Tunaomba hizi Superman Series kwenye ving'amuzi vya Tanzania ziondolewe. Azam TV tunaomba muindoe hii kitu. Sisi wateja wenu hatuzihitaji.
 
Hawa pimbi ( western countries) wanafanya hv ili watu waone ushoga ni kitu cha kawaida na sasa wameona wateketeze kizazi Chetu Kwa kuweka hayo Mambo Hadi Kwa watoto ili wakue na mentality hiohio ya ushoga
 
sio Superman tu cartoon nyingi tu zinakuja na cast na scene za kishoga achilia mbali hizi tamthilia za kifilipino wanazoangalia na wadada wa kazi huko manyumbani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
siku hizi kuna watu wanakwambia wao sio Me wala Ke. Gender neutral.

Yaani dunia imejaa upuuzi
 
Kweli aisee haiwezekan wanaume wapigane dendaa na zaidi ni superman
 
Thank you Da'Vinci.
 
Itafika kipindi kila katuni, game, muvi, kitakuwa na ujinga huu, Yaani hawa washenzi wanaharibu sana
dawa ni kuwa na komiki na game zetu wenyewe ingawa serikali na watengenezaji (publishers) kwa pamoja walishiriki kuua aina hii ya sanaa nchini kwa serikali kuyafungia magazeti na hata baadhi ya mawaziri wa nyakati za mkapa na kikwete kuyapa majina mabaya huku watengenezaji wake baadhi walipotoka na kuanza kuweka maudhui yasiyofaa ya ngono na hivyo kutoa maana ya gazeti la kusoma familia na kuwa kama magazeti ama majarida ya porn kwa serikali ilitakiwa kutoa muongozo ili kama kuna maudhui ya kikubwa basi yatafutiwe namna ya kuuzwa pia kutengeneza mamlaka mfano wa comic code authority ya USA ili kuwa na udhibiti wa ubora huku watengenazaji kujua wanacho kitayarisha mlengwa ni nani hasa badala ya kuwa zinauzwa ovyo kufikia hata wazazi kutotaka kuyaona majarida hayo majumbani mwao kiasikcha kushusha hata mauzo na kupelekea magazeti na majarida mengi kufa..sanaa hii naamini kabisa inge ibeba hata bongo movie kama ilivyo kwa marekani na hata Japan kwa sanaa yao ya manga
 
Wasomi wetu ni cowards sana....
 
Kuna channel inaitwa Cartoon Network huko ushoga wazi wazi.
 
Hii inawahusu hata watoto wetu huku buza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…