HATARI: Zama za Wakatoliki kuendelea kutubu mbele ya Padri zimepitwa na wakati

Bila shaka ulishikishwa ukuta kijana na ukaamua kukaa kimya ukiogopa kusema
 
Ok, Ok, Ok..!!! TUACHIE UKATOLIKI WETU..!! Nyie wekeni zama mpya huko kwenye imani yenu. Hivi hamfiki mbinguni/firdausi mpaka muwashambulie wakatoliki?
 
What? Wazinifu, matapeli na kila aina ya watu wachafu wamehamia kwa walokole sasa hivi. Hakufai. Mkanisa ya walokole ukikaa vibaya ni rahisi sana kutapeliwa au kunyang'anywa mwenza wako.
 
Kuna Imani... Na Kuna kosa la Mtu kama Mtu.
Na Hili linatokea karibia kwenye Imani Zote..!
Sasa kwa Maana hiyo huu Uzi ulitakiwa Uwe umefutwa kitambo.
 
Sina tatizo tatizo sipo tayari kuona mtu akijaribu kufanya kitu kionekane kina shaka kubwa kwa story za kutunga(hata kama kina shaka kuwe na points zakuonyesha wapi penye tatizo),kosa moja hali-justify kosa jengine kwamba nijitungie na mimi uwongo ni post hapa....

Then what....nitalipwa?siku-report uogope kupigwa BAN humu mitandaoni tunapishana akili may be umekuzwa mazingira ya matusi hovyo nani anayejua?
 
kwamba mtume paul na petro mwanafunz wa YESU walikuwa wakatoliki au siyo? Sjui huu ujinga n nani aliwadanganya aisee yaani dhehebu la katoliki mnataka kudanganya watu lilianzshwa na paul na petro? Na wamezkwa vatcan aaahaaha daaah kaz ipo aisee. Warumi hawa hawa akina pilato waasisi wa dhehebu hlo leo ndo useme akna paulo na petro ni waanzlish mpk wamefia hapo vatcan kwmb nao walikuwa mapapa au? Aaahaahaaaa ndo walioleta skukuu za kpagan kama easter na krismas eeh.
 
Mkuu mimi nimekuelewa,nilichoghafirika kisa kinanihusu mimi na ni kisa cha kweli na ndio maana mwanzo nilisema kinanihusu na nasema ukweli alafu wewe unasema natunga uongo una uhakika km natunga uongo?

Wewe ulitakiwa unisikilize kwanza maelezo yangu baada ya maelezo yangu ndio mwisho uje utoe comment yako iwe negative au positive lakini sio kabla sijamaliza unanikandamiza na kusema nasema uongo ulikuepo?
 
Bila shaka ulishikishwa ukuta kijana na ukaamua kukaa kimya ukiogopa kusema
Wewe nawe haujui unachokiandika sio kila anaeandika masaibu ya kikatoriki amefanyiwa huo ufirauni mkuu acha kua na hio mentality,
 
Umeeleweka

Case closed baki na kile unachokiamini, asubuhi nimesoma habari inasema padri abaka mtoto alieenda kuungama kanisani, aibu eeenhe aibu sana au?

Na hio sema imetungwa ni uongo alafu magazeti na vyombo vya habari vikuzomeee
 
Peter na Paul masalia yao yalizikwa wapi? Ujuaji mwingi ingali umejaza ujinga kichwani.

Paul alikuwa mwanafunzi wa YESU? kama jambo dogo kabisa kama hili linakushinda, hayo mengine utawezaje kuyajengea hoja.
 
Umeeleweka

Case closed baki na kile unachokiamini, asubuhi nimesoma habari inasema padri abaka mtoto alieenda kuungama kanisani, aibu eeenhe aibu sana au?

Na hio sema imetungwa ni uongo alafu magazeti na vyombo vya habari vikuzomeee
Huyo ni binadamu kama mimi na wewe,ana madhaifu yake sometimes hata kukushinda wewe so kuwa kwake Padre hakumfanyi asitende dhambi kama asiyekuwa Padre the issue is

Hapo chini nakuwekea link mzazi amembaka mtoto wake tena kutoka kwenye kiuno chake sembuse huyo asiyejua hata anayemfanyia hivyo ataathirika vipi kihisia?

https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/jela-miaka-30-kwa-kumbaka-kumlawiti-mtoto-wake-3899092
 
Ok mkuu tuishi humo,nimekuelewa japo kwa kujilazimisha sana.
 
Umemaliza kila kitu
 
Hapo chini nakuwekea link mzazi amembaka mtoto wake tena kutoka kwenye kiuno chake sembuse huyo asiyejua hata anayemfanyia hivyo ataathirika vipi kihisia?
Usinichanganyie mada,

Wewe umemkatalia mwenzako asielezee kisa chake kwa madai kwamba anasema uongo au sio wewe? ila sasa hivi unajikanyaga kanyaga unaingia huku unatokea huku mara padri binadamu mara mzazi kabaka, sasa ikawaje umpinge mwenzio kua anasema uongo au wewe ndio mkweli sana umekamilika sana wewe ndio mtimilifu zaidi na kila wanachosema wengine unaona ni cha kutunga tu hakina ukweli au hadi kiwe published kwenye magazeti ya Mwananchi ndio uone kina ukweli?
 
Peter na Paul masalia yao yalizikwa wapi? Ujuaji mwingi ingali umejaza ujinga kichwani.

Paul alikuwa mwanafunzi wa YESU? kama jambo dogo kabisa kama hili linakushinda, hayo mengine utawezaje kuyajengea hoja.
Tangulia milembe ewe tahira. Nionyeshe ni wapi nimesema paul alikuwa mwanafunz wa YESU? mbona nimeandka kwa kueleweka kbs kwamba mtume paul na petro mwanafunz wa YESU umeona kuna uwingi wa wanafunzi hapo au mihemko ya upagan wa rumi imekuvuruga muabudu masanamu. Lete ushahidi hapa wa paul na petro kuzkwa vitcan hapa tuone maana huwa mnadanganywa eti hao walikuwa mapapa wa roma ktu ambacho si kweli mpk paul na mitume wa YESU Wanakufa hakukuwa na takataka iitwayo kanisa katoliki kama lingekuwepo wkt wao bs kwny zle nyaraka za paul lingeandkwa kbs kanisa katoliki. Au walipoandka kanisa bs mapadri wenu wanawadanganya ni kanisa katoliki? Zezeta la karne wewe.
 
Ndio maana wapemba hawayataki haya makanisa uchwara
 

Kwahyo wakuu mkishamuambia padri yeye ndo anaenda kumwambia mungu au?

Inafurahisha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…