Huu ndio ukweli,hapo wasipoe kabisa,huku kesi ya Ugaidi inaunguruma huku makongamano ya katiba yanafanyika,watachanganyikiwa wenyeweCha msingi CDM wasitumie nguvu nyingi sana kwenye kesi hii, bali waendelee na kuelekeza mapambano ya kudai Katiba mpya kwa nguvu zaidi sababu hilo ndilo lengo kuu kwa sasa. Dhumuni la CCM ilikuwa ni kumpiga mchungaji ili kondoo watawanyike na hili wameshalitimiza.
Kwa hiyo waonyesheni CCM kwamba kondoo hawatawanyiki na katiba mpya inaendelea kudaiwa kwa nguvu zote.
Yaani unamuona kama yesu vile!Kila ubaya aliotendewa Mbowe utalipwa
Ushahidi utaonyesha kwamba mipango ilikuwa ni kuwateka viongozi mbalimbali na kuwapeleka kwenye hivyo vituo kabla havijalipuliwa!Vipi kuhusu kuua Viongozi?
Hapana, hayo sasa hayana lazima tena.Binafsi nikiwa mmoja wa vyombo vya ulinzi na usalama nitamlipia Mbowe 'in kind'.
Hawa watawala dhalimu wanahitaji kufunzwa adabu, huku walipofika sasa ni too much kwa vile wanafahamu wananchi hawana la kuwafanya.
Kama kuwasulubu hawa mashetani wa ccm ndo 'ugaidi' wenyewe basi wajiandae kushuhudia vitendo vya kigaidi visivyo na kikomo kutoka humu humu ndani
Na ndio maana walimkwepa kibatala wakakimbilia kumsomea mashtaka kimyakimya,subiri vichekesho vya maswali ya Kibatala mahakamani ndio utajua hao waendesha mashtaka ni vilazaHakyamungu kama haya ndio mashitaka yenyewe ni aibu.
Hakuna kitu cha msingi zaidi ya utoto wa mwanafunzi wa sheria aliyeko mazoezini kuombwa kuandika hat ya mashitaka kwa mara yake ya kwanza .
Aisee dunia hii kuna watu wamejaliwa kutokuwa na mahipa wa aibu.
Aache kulia lia na kututakia vikwazo, vikwazo vikiwekwa wanaoumia ni wananchi, yeye anakunywa bia huko ubelgiji. tena si ajabu hata kusali hasali. ukiangalia hati ya mashtaka, makosa yale yalifanywa soon before general election ya 2020. na kipindi kile kweli kuna baadhi ya sheli na maeneo mengine yalipigwa moto kama mabom hivi. selikali huwa inakuwa na ushahidi wa vitu vingi lakini inaamua kuweka pembeni ili kuangalia kama mkosaji hasa maarufu kama dj, kama ana adabu, wakiona analeta dharau, wanafungua tu file. mwaka jana walipanga kuvuruga kabisa hii nchi alimradi tu wachukue nchi.Any support to a dictatorship enables it to continue its oppression. Any type of sanctions against a dictatorship diminishes its capacity to oppress its own people. Our friends & partners shouldn't be complicit in the oppression of Tanzanians by supporting the Samia dictatorship! https://t.co/FO0yiGkjWV
Hakuna tofauti kati ya CCM na Wakoloni,tena Wakoloni wana nafuu.
Wanaogopa kupoteza Madaraka yao siyo KatibaCCM na serikali yake, ni kwanini mnauogopa mchakato wa Katiba Mpya?
Any support to a dictatorship enables it to continue its oppression. Any type of sanctions against a dictatorship diminishes its capacity to oppress its own people. Our friends & partners shouldn't be complicit in the oppression of Tanzanians by supporting the Samia dictatorship! https://t.co/FO0yiGkjWV
Hii inahusiana nini na kichwa chako cha habari?Any support to a dictatorship enables it to continue its oppression. Any type of sanctions against a dictatorship diminishes its capacity to oppress its own people. Our friends & partners shouldn't be complicit in the oppression of Tanzanians by supporting the Samia dictatorship! https://t.co/FO0yiGkjWV
Aache kulia lia na kututakia vikwazo, vikwazo vikiwekwa wanaoumia ni wananchi, yeye anakunywa bia huko ubelgiji. tena si ajabu hata kusali hasali. ukiangalia hati ya mashtaka, makosa yale yalifanywa soon before general election ya 2020. na kipindi kile kweli kuna baadhi ya sheli na maeneo mengine yalipigwa moto kama mabom hivi. selikali huwa inakuwa na ushahidi wa vitu vingi lakini inaamua kuweka pembeni ili kuangalia kama mkosaji hasa maarufu kama dj, kama ana adabu, wakiona analeta dharau, wanafungua tu file. mwaka jana walipanga kuvuruga kabisa hii nchi alimradi tu wachukue nchi.
Ndipo hapo sasa nashangaa aliyekuwa accused anapewa onus of proof.He who alleges must prove.
Basi aunganishiwe na mioto iliyotokea Kariakoo na kwenye mabweni.Aache kulia lia na kututakia vikwazo, vikwazo vikiwekwa wanaoumia ni wananchi, yeye anakunywa bia huko ubelgiji. tena si ajabu hata kusali hasali. ukiangalia hati ya mashtaka, makosa yale yalifanywa soon before general election ya 2020. na kipindi kile kweli kuna baadhi ya sheli na maeneo mengine yalipigwa moto kama mabom hivi. selikali huwa inakuwa na ushahidi wa vitu vingi lakini inaamua kuweka pembeni ili kuangalia kama mkosaji hasa maarufu kama dj, kama ana adabu, wakiona analeta dharau, wanafungua tu file. mwaka jana walipanga kuvuruga kabisa hii nchi alimradi tu wachukue nchi.
Kesi ni kesi bro, hata kama umesingiziwa. Maana hata jela sio wote wana makosa.
Ndio huyu aliyepost. Hapo bado anakazania Lissu atoe ushahidi wa innocence ya Mbowe kwa sababu amepost akisema kuwa Mbowe anaonewa. Go figure.Ndipo hapo sasa nashangaa aliyekuwa accused anapewa onus of proof.
Huyu original poster anajua hata mantiki ya mashtaka inaendaje na nani anatakiwa kuprove?