Jide 55 hajafikisha yupo kwenye 45 iviLady j d hakuwahi kumezà hayo p2, GGH alikaa nae 15 yrs hadi wakaachana hakupàta mimba, sasa technology imekuwa àmeweza kupàta mimba akiwa 55. Tumwombee apate mjukuu salama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jide 55 hajafikisha yupo kwenye 45 iviLady j d hakuwahi kumezà hayo p2, GGH alikaa nae 15 yrs hadi wakaachana hakupàta mimba, sasa technology imekuwa àmeweza kupàta mimba akiwa 55. Tumwombee apate mjukuu salama.
Kuna sehemu miaka hiyo nilifanya nae mishe fulani Dar. Nili supply vifaa vya shooting.Jide 55 hajafikisha yupo kwenye 45 ivi
Habash kafariki na 50+ LJD anamzidi 2 yrs.55?????????????????????????????????
Unamjua?Huyo mwanaume kiboko
Why not?.View attachment 3237676
Dr. Mariposa mariposa vipi kisayansi miaka 45+ anaweza kushika ujauzito?
DR Mambo Jambo
Technology imekua. Hata miaka 55 anapata ujauzito kwa IVFView attachment 3237676
Dr. Mariposa mariposa vipi kisayansi miaka 45+ anaweza kushika ujauzito?
DR Mambo Jambo
Ana umri gani huyuMungu ni mwema kila wakati.
Hakika usimkatie mtu tamaa. Inasemekana dada mkubwa, binti komando, ni mjamzito.
Ikumbukwe ni muda sasa anatafuta mtoto, hatimae mungu amesikia kilio chake. Dada mkubwa anajiandaa kupata mtoto wakati wowotr kuanzia sasa!! Kila hatua dua.
Kila la heri kwako.View attachment 3237669
Kwa Teknolojia nakubali mkuu, swali langu lililenga kwa njia ya kawaida tu kupigwa miti.Technology imekua. Hata miaka 55 anapata ujauzito kwa IVF
Menopause badoView attachment 3237676
Dr. Mariposa mariposa vipi kisayansi miaka 45+ anaweza kushika ujauzito?
DR Mambo Jambo
45 anapata.Kwa Teknolojia nakubali mkuu, swali langu lililenga kwa njia ya kawaida tu kupigwa miti.
Basi Kila la heri liwe upande wa Jaydee45 anapata.
Mbami hiyo kafutuka kila konaSio kwamba ameshiba mkuu?
Unajipenda kweli unavyoenda kwa vibinti vya 2000 Unataka kufa kwa stress mkuuWanawake bana,muda wote wanakula ma-P2,anafika umri wa kulea wajukuu ndio anaanza kuzaa,.......hajui kuwa huo umri ni risk kubwa ya kupata watoto wenye congenital defect,hata kama risk inaongezeka kwa 2%,ni kubwa sana hio
Kitu kizuri kuhusu Dunia,ni kua bado wapo wanaume watakaoacha wanawake wenye miaka 20,na kwenda kuoa wazee wa miaka 40,hii tunaita life balance
kabisaAmin watoto ni baraka
Huyu sasa, mbegu aina zote hata GMO zimekataa kumea, inawezekana hata IVF ishafeli, I presume the farm soil does not support any kind of seeds.i.e polluted beyond recoverybado wema sepetu
Kama lipi chini ya jua ambalo halijawahi kuwezekana?Yapo ambayo chini ya jua hayawezekani.
Kwenda kumfufua mzee Kibao inawezekana?Kama lipi chini ya jua ambalo halijawahi kuwezekana?
Watoto ni rizq, kama pesa na majumba , na kila mtu hupata kwa wakati Mungu aliompangia . Usiwajaze huzuni wanawake siio kila mwanamke ni bogus na re kama ufikiriavyo .But in 20yrs to come Tz itakuwa na watoto mazombie wengi... Mwanamke wa kiafrika kuzaa akiwa 35+ ni kuzaa changamoto... Mnameza sana P2, mnafanya sana abortion, mnatombeka sana...