Hatimae dada mkuu, Lady Jay Dee ni mjamzito

Hatimae dada mkuu, Lady Jay Dee ni mjamzito

Mungu ni mwema kila wakati.

Hakika usimkatie mtu tamaa. Inasemekana dada mkubwa, binti komando, ni mjamzito.

Ikumbukwe ni muda sasa anatafuta mtoto, hatimae mungu amesikia kilio chake. Dada mkubwa anajiandaa kupata mtoto wakati wowotr kuanzia sasa!! Kila hatua dua.

Kila la heri kwako.View attachment 3237669
Ana umri gani huyu
 
Wanawake bana,muda wote wanakula ma-P2,anafika umri wa kulea wajukuu ndio anaanza kuzaa,.......hajui kuwa huo umri ni risk kubwa ya kupata watoto wenye congenital defect,hata kama risk inaongezeka kwa 2%,ni kubwa sana hio
Kitu kizuri kuhusu Dunia,ni kua bado wapo wanaume watakaoacha wanawake wenye miaka 20,na kwenda kuoa wazee wa miaka 40,hii tunaita life balance
Unajipenda kweli unavyoenda kwa vibinti vya 2000 Unataka kufa kwa stress mkuu
 
But in 20yrs to come Tz itakuwa na watoto mazombie wengi... Mwanamke wa kiafrika kuzaa akiwa 35+ ni kuzaa changamoto... Mnameza sana P2, mnafanya sana abortion, mnatombeka sana...
Watoto ni rizq, kama pesa na majumba , na kila mtu hupata kwa wakati Mungu aliompangia . Usiwajaze huzuni wanawake siio kila mwanamke ni bogus na re kama ufikiriavyo .
 
Back
Top Bottom