Hatimae ndoa ya Shilole na Rommy3D yavunjika rasmi

Hatimae ndoa ya Shilole na Rommy3D yavunjika rasmi

Hello 👋
Kupitia ukurasa wa Instagram wa Rommy3D amethibitisha kuachana rasmi na Shilole baada ya video na picha zinazoendelea kusambaa mitandaoni zikimwonyesha Shilole akiwa na dogodogo mwingine.

Kungekuwa na timu ya mpira;
Kocha mkuu- Haji Manara
Kocha wa Viungo- Dida Shaibu
Kocha wa Makipa- Esma
Kocha Msaidizi- Shilole na Dula Makabila

My take: Vijana muache kulelewa mtafute wanawake wa size zenu.

View attachment 3001773
1716899587253.png
1716899587253.png


Kitu gani utakimiss zaidi kuliko vyote ili tukutafutie pengine
 
Hello 👋
Kupitia ukurasa wa Instagram wa Rommy3D amethibitisha kuachana rasmi na Shilole baada ya video na picha zinazoendelea kusambaa mitandaoni zikimwonyesha Shilole akiwa na dogodogo mwingine.

Kungekuwa na timu ya mpira;
Kocha mkuu- Haji Manara
Kocha wa Viungo- Dida Shaibu
Kocha wa Makipa- Esma
Kocha Msaidizi- Shilole na Dula Makabila

My take: Vijana muache kulelewa mtafute wanawake wa size zenu.

View attachment 3001773
Aise kwa hiyo mwanawane kashindwa kuisasambua mbususu vilivyo mpaka kapewa thank you🤣🤣🤣🤣
 
😅😅😅😅 msiba mbona nishakua na mshangazi huo aisee ilifika time hisia zilikata ilikua ni bora nijichukulie sheria mkononi ila sio kulibandua aisee ni kero sana hii mi dude yenye miili mikubwa afu liwe halijielewi linagawa tu uchi siku likikupa huo msimi ka tambala la kupigia deki toilet 🕳️🕳️
Jamaniiii 🤣 🤣 🤣
 
Kwa wanawake wa mambele wanaojielewa na kutambua nafasi yao kama wanawake katika jamii pasi na kujalisha umri,cheo ama pesa,age is just a number.
Ila kwa ninyi wanawake wa TZ ambao 80% magulumbesa ooohoohoooo ni matatizo.

Yeah man
Ni matatizo
 
😅😅😅😅 msiba mbona nishakua na mshangazi huo aisee ilifika time hisia zilikata ilikua ni bora nijichukulie sheria mkononi ila sio kulibandua aisee ni kero sana hii mi dude yenye miili mikubwa afu liwe halijielewi linagawa tu uchi siku likikupa huo msimi ka tambala la kupigia deki toilet 🕳️🕳️
Kuna vishangazi bhana vina miili midogo midogo hivi kama vidada kumbe vishangazi.
Aloooh!Vitamuuu hivyoo.
Imenikumbusha nikiwa high school nili date na madam wangu anaetufundisha GS kalikua kana 31 kipindi hiko mimi nina 19.
Katyaamuuuu hako ukikaona kama kashichana toto ya kindengereko.
 
Ku
Ndoa za kiislamu zina uzinaa ndani yake. Mtu mnaweza kujua kabisa hapa hakuna future, ila kwa sababu ya kudanganya watu mnasema tunahalalisha.

Mfunge ndoa, mtombane weee, kisha mkichokana muachane. Huu ni ujuha, kumdanganya Mwenyenzi Mungu.

Mnahalalisha zinaa.
Kuna jamaa alisema"ndoa Gani mnaambiwa mkitaka kuachana muachane Kwa Amani,"
Jamaa analalamika sana kupitia comment Yako mkuu bado nitazidi kuzichunguza ndoa za dini hii.
 
Ku

Kuna jamaa alisema"ndoa Gani mnaambiwa mkitaka kuachana muachane Kwa Amani,"
Jamaa analalamika sana kupitia comment Yako mkuu bado nitazidi kuzichunguza ndoa za dini hii.
Sasa mkuu unataka muachane kwa chuki na fujo!?
Kama watu maelewano hakuna ndani kiasi upendo umefutika,mwaishi pamoja kwa munajili upi!?
Bora mtengane kiamani kiroho safi.
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] msiba mbona nishakua na mshangazi huo aisee ilifika time hisia zilikata ilikua ni bora nijichukulie sheria mkononi ila sio kulibandua aisee ni kero sana hii mi dude yenye miili mikubwa afu liwe halijielewi linagawa tu uchi siku likikupa huo msimi ka tambala la kupigia deki toilet [emoji2734][emoji2734]
Hahaha kwa hiyo mwamba ukawa unapiga huku umekunja uso hahaha hatari sana kweli mapenzi ni hisia.
 
Ndoa za kiislamu zina uzinaa ndani yake. Mtu mnaweza kujua kabisa hapa hakuna future, ila kwa sababu ya kudanganya watu mnasema tunahalalisha.

Mfunge ndoa, mtombane weee, kisha mkichokana muachane. Huu ni ujuha, kumdanganya Mwenyenzi Mungu.

Mnahalalisha zinaa.
Kwanza unaonyesha ujinga mkubwa ulio nao,,,hv unajua maana ya zinaa?

Zinaa ni mahusiano nje ya ndoa,na mahusiano haya ndio haramu mbele ya Mwenyezi Mungu

Sasa kama nikioa hata nikadumu mwezi tu hapo sijazini na hata nikioa tena na kudumu miezi sita sijazini na ndipo katika tendo halali

Kwahiyo ndoa ni jambo jema kwa Allah,ingawa kuachana hakumfurahishi yeye,kwasababu miongoni mwa mambo ambayo Allah ameyaruhusu lakini yanamchukiza ni swala la talaka,,lakini kwakuwa hatujakamilika inafikia kipindi inabidi tuachane kwa wema

Acha ujinga!
 
Back
Top Bottom