Ila wewe jamaa yetu hua huna misimamo kabisa.
Hivi unajua Assad amekuwepo madarakani kwa karibu miaka 30 kwa msaada wa ulinzi wa Urusi na Iran.
Utawala wa Obama ukitaka kumtoa Urusi wakamkingia kifua,utawala wa Trump wakajaribu kumtoa wakashindwa na Sasa mwishoni kabisa utawala wa Biden wameweza.
Hivi unadhani Urusi wangeweza kupigana vita ngapi dhidi ya Mataifa mangapi?
Asada amepinduliwa kwa muungano wa USA ,France,UK, Turkey,Israel,saud Arabia na Some Arabs,vikundi vitatu vya waasi na hata baadhi ya wanajeshi wake hawakutaka kupigana safari hii Kwa moyo wote.sasa Urusi na Iran wanawezaje kukabiliana ana umoja wote huo wakati Urusi nae ana vita nyumbani kwake?
Nakuambia hivi,Hali hii hata Marekani asingeweza.
Urusi na Iran wamemlinda sana Assad sema basi TU.
Hata hivyo waliomuondoq wamevizia Urusi akiwa bize na vita yake.kabla ya hapo Assad alikua sana madarakani.