Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Auawe?busara gani? Angebaki mulemule kama kina saddam na ghaddaf
eeAuawe?
VERY SOON KOSA MOJA TU LA KUMWACHA MJALAANA SAMIA BUSHIR KITINI KWA MIAKA 5 ZAIDI KITAONDOKA NA UHAI WA TAIFA NA CCM ....NI MANENO YA GENIUS OF ALL TIMEI hope siku moja, hiki kilichompata Bashar Assad, kiwakute ma ccm,
Kumbe zimekuwa ndoto tena? Hivi Hezbollah na kubwa la magaidi duniani( Jamhuri ya Kiislamu ya Iran) bado wana uwezo wa kuifuta Israel? Msaada plzEndelea kuota, ni ndoto nzuri sana hiyo.
Hapo ni syria akiwa bado mdogo acha kupumbaza watu.Jamaa Yuko Moscow tayari as a common man, hapa anaenda kutafuta kijiwe Cha gahawa!
View attachment 3173057
Mwache akale maisha Russia
mnadanganywa hakuna muda mgumu kwa Israel kama kipindi hiki hali ni tete sana.Kumbe zimekuwa ndoto tena? Hivi Hezbollah na kubwa la magaidi duniani( Jamhuri ya Kiislamu ya Iran) bado wana uwezo wa kuifuta Israel? Msaada plz
Wew upo Iraq au Jordan au Misri? hemu tujuze kinachoendelea huko. Vipi Iran bado ana mpango wa kulipa kisasi kwa Israel au amegaili?mnadanganywa hakuna muda mgumu kwa Israel kama kipindi hiki hali ni tete sana.
Mbona kama Manzese Midizini au Temeke Sudan hapa!?Jamaa Yuko Moscow tayari as a common man, hapa anaenda kutafuta kijiwe Cha gahawa!
View attachment 3173057
Mbona mamilioni ya watu wanakimbilia west na hawaendi huko Russia kama ndiko kuna maisha mazuri na hata wewe tu hapo huwezi kwenda Russia hata iweje ila kwa west unatamani sema uwezo ndio huna.Duuu chambuzi Bobezi jamaa unatia aibu kwasasa Russia na Iran ndik wanampigania miaka yate na uyo q
Qatar na UAE ndio wanampinga miaka yote vip awaze kwenda kwa Adui yake. Iyo Vita Qatar ndio mfadhiri kupitia Uturuki sasa
ASSAD awaze kwenda kwa Adui. Maisha mazuri yapo Russia sio Qatar pungusha ushamba Russua uwe na pesa viwanja vipo mzee. Maisha ya russia ayawi promo na Media za West lkn kuna kilakitu utakacho
Sasa kwa nini asiishi Syria, kwa nini ameenda kuishi kwenye nchi ya watu. Tujibu hapo basi.Nani alikwambia Assad mkimbizi?
Yuko zake Moscow na mkewe watoto wanasoma China
Huyo mtu utamuita mkimbizi?
Aliye mkaribisha mwezakeurafiki huu nani alikuwa akifaidika zaidi..?
Mkuu, ni kwamba, wananchi wako wakifika mwisho wa uvumilivu wa maovu na manyanyaso na wakati huo huo kukawa na genge la magaidi wana ishambulia serikali yao, basi ujue kwamba wananchi hao watalisapoti hio genge hadi kuuondoa huo utawala.Waasi wanashidaje bila kuwa na ndege, na silaha bora? Assad ana kila kitu toka Urusi na Irani na bado kashindwa!!! 😏
Haiwezi kutokeaAjiandae kumpokea na ayatolah maana muda sio mrefu mambo yataharibika kule kwake.
Ha ha ha! Eti ma-scraper aka chuma chakavu. Vijana wa mjini wanayachinja kwa kilo wanapiga maokoto.Hayaitwi hivy, yanaitwa 'Machumachuma'
Iran inaboresha jeshi lake ....shamburio la Israel lilishindwa kwa asilimia 100Wew upo Iraq au Jordan au Misri? hemu tujuze kinachoendelea huko. Vipi Iran bado ana mpango wa kulipa kisasi kwa Israel au amegaili?
Pale mrusi hapigani na ukraine pekee, kuna askari wa NATO ambao uwepo wao sio rasmi (hawatangazwi lakini wanakiwasha ile mbaya) nafikiri ndio wamemchelewesha na kwa sababu hiyo, anaweza kushindwa kufikia malengo.Russia wanafiki sana au Hawana Nguvu waliyokua wanatuambia Wanayo!!! Kila mahala Russia kavurugwa na hana msaada nchi zote ally wake zimechakazwa sanaa..Anzia Libya, Iraq,Syria, LEBANON imebakia Iran tu na Korea ambao naamini Wanazilia timing wazipige ....Ili Wamtese wamemweka yeye mwenyewe kati na kibaraka anaitwa Zelensky hivi kweli Russia wala KGB wameshindwa kumalizana na mtu kenge kama Zele??? Anaruka ruka pale wameshindwa kummaliza???
Naamini hata Iran na Hizbollah wameanguka kabisa kijeshi