Hatimaye Assad na familia yake wamewasili Moscow, Urusi

Wakiwachoka watawakabidhi kunakohusika
 
Apelekwe Kursk akasaidie vita huko ,siyo kuja kukaa hapa kwenye urussi yetu bure
 
Russia ukiona anapigana sehemu basi jua anapiga na umoja wote wa Nato na vibaraka wote wa marekani kwahiyo sio kazi ndogo. Na kama angekua dhaifu Ruassia ingelikua imeshafutwa kwenye uso wa dunia hivyo kumbuka hilo mkuu.
 
Watu wanatanguliza hisia kuliko fact,sehemu yoyote anapopigana urusi jua anapigana na mataifa yote ya NATO na viabaraka wa marekani. Russia kama angekua dhaifu leo pengine ingelikua imefutwa kwenye uso wa dunia.
 
Inamuathirije kisaikolojia? Unafikiri Assad ataishi maisha ya kikimbizi makambini na kula chakula cha UNHCR? Jiulize kwa nini ameenda Russia? Assets zake nyingi na vibunda vyake vipo Russia na Hong Kong
Hakuna mkimbizi ambaye huwa ana amani kwa kuishi uhamishoni kwa nguvu. Ni sawa upelekwe gerezani, upewe chakula kizuri na mahali pa kulala vizuri, halafu eti useme kuwa utakuwa na amani.
 
Kumbe taarifa ya ndege yake kupigwa kombora was misleading kwa adui zake
 
Russia ukiona anapigana sehemu basi jua anapiga na umoja wote wa Nato na vibaraka wote wa marekani kwahiyo sio kazi ndogo. Na kama angekua dhaifu Ruassia ingelikua imeshafutwa kwenye uso wa dunia hivyo kumbuka hilo mkuu.
Hakuna nchi mwanachama wa NATO iliyowahi kupigana na Russia. Mataifa ya Magharibi huwa wanaipiga Russia kwa akili siyo maguvu.

Ni kama kwa sasa wanavyoisaidia Ukraine. Ukraine inachangiwa gharama za vita na mataifa mengi, huku Urusi ikilazimika kugharamia vita pekee yake. In long run, Russia inaathirika kwa kiwango kikubwa maana wakati mataifa ya Ulaya Magharibi yanaendelea na mipangio ya maendeleo ya mataifa yao, Urusi muda wote inahangaika na vita pekee.

Kwa namna hiyo, mataifa ya Ulaya yalifanikiwa kuisambaratisha iliyokuwa USSR, kiasi cha Urusi kulazimika mpaka kuomba msaada wa kifedha ili kujinusuru na kufilisika kabisa. Ni mataifa ya Magharibi ndiyo yaliyoisaidia Urusi lakini masharti yalikuwa magumu, na mwisho muungano wa Soviet ukafa, na leo zilizokuwa states za USSR zimekuwa mataifa adui dhidi ya Urusi. Na karibia mataifa hayo yote yanataka kuwa sehemu ya mataifa ya Magharibi.

Hakuna taifa la Magharibi linalojihangaisha eti na kulifuta Taifa lolote Duniani, achilia mbali hiyo Russia. Hizo fikra za kufuta Taifa huwa zipo kwa wale magaidi punguani wa mashariki ya kati na nchi ya Iran, wanaosema kuwa kuna siku Israel wataifuta kwenye uso wa Dunia. Nchi za Magjaribi zingrkuwa na dhamira ya kuyafuta baadhi ya mataifa si zingefanya hivyo enzi za ukoloni? Ni nchi gani walizifuta?
 
Waasi wanashidaje bila kuwa na ndege, na silaha bora? Assad ana kila kitu toka Urusi na Irani na bado kashindwa!!! 😏
 
Na sisi huyu wa kwetu ajiandae kwenda kuishi jambiani au kizimkazi
 
Hakuna mkimbizi ambaye huwa ana amani kwa kuishi uhamishoni kwa nguvu. Ni sawa upelekwe gerezani, upewe chakula kizuri na mahali pa kulala vizuri, halafu eti useme kuwa utakuwa na amani.
Nani alikwambia Assad mkimbizi?

Yuko zake Moscow na mkewe watoto wanasoma China

Huyo mtu utamuita mkimbizi?
 
Urusi alikuwa na maslahi gani katika vita vya Syria?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…