ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Wana wapa tabu sana watoto wao Mama yupo kule Baba yupo kule , huyu kazaa na yule, yule kazalishwa na huyu huko mbeleni ndugu wataona sana kwa huu upuuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wako kipesa zaidi, hapo kinachotafutwa ni zawadi na ubalozi.HV aunt n muislam??au Kuna wakristu siku hizi wanafanya arobaini!!?
,huu umaarufu unasumbua watu kwa kweli[emoji849][emoji849]
Pesa pesa pesaWatu wako kupewa zaidi, hapo kinachotafutwa ni zawadi na ubalozi.
Hakutumia wakati wake vizuri sasa anavuliwa chupi na watoto anaoweza kuwazaa, mastar wetu hawana akili mbona ma actress wa naija wameolewa na wanaume wenye heshima zao
Sunna Mzee! Soma vitabu upate maarifa.Ni kibibi hicho
Kwani kuachana kosa ?Yaan hawa wasanii n wachafu wa tabia mno, maskini Ruby na Iyobo sijui wanajisikiaje huko waliko lol.
Inaogopesha mno.
Yes ni muislamHV aunt n muislam??au Kuna wakristu siku hizi wanafanya arobaini!!?
,huu umaarufu unasumbua watu kwa kweli[emoji849][emoji849]
Mbona kazaa ?Aunt wa long tangu Niko olevel mpaka sasa ku date na qusa na Mimi nimemaliza degree mbili atakuwa anakaribia hamsini
Rock & RollKusah ni mwanamuziki wa nini?
Umekaribia kufaCjaelewa chochote dahh
.Tafa Tafadhali Niokoe nisikufee jmnUmekaribia kufa
Jionee hapa
Baada kukanusha kwa muda mrefu kuhusu mahusiano yao ya kimapenzi hatimaye mwigizaji Aunty Ezekiel na mwanamziki Kusah wameweka mambo hadharani kwa kumfanyia mtoto wao arobaini.
Ikumbukwe kwamba kabla ya hapo Kusah alikuwa aki-cohabit na Mwanamziki Ruby huku Aunt Ezekiel akiwa na Mose Iyobo
View attachment 1673893
Nimeku PM bossNimeamini uchawi upo.
Kumbe muislam, AyaYes ni muislam
Mimi mwanamke aliyetoboa pua ya makamasi Wala hanipi stimu zaidi natamani kutapika tuWanakuwa wametoboa pua, so kinapita pale palipotobolewa na kutokea kwa ndani! Hakikwaruzi wala kuchoma popote
Biskuti ni cheusi karithi kwa babaye[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eti mtoto mzuri...so Iyobo mbaya kwa kuwa ni mweusi ?!! Ha ha ha kweli usemacho.....yote ni intelligence ndogo tu....