Hatimaye Chief Godlove abambwa. Adaiwa kupost hela feki mitandaoni ili kuwahadaa watu kwamba ana hela

mbona hata sura tu inajionesha ni stress, pesa huwa haijifichi usoni pa mtu
Huwa nawaambia watu pesa Ina kawaida ya kuongea yenyewe Ina lugha yake,haihitaji msemaji Wala mwakilishi[emoji1][emoji1][emoji1].

Lugha rahisi angalia watoto wa kishua mionekano yao,utanielewa.
 
Nipe site gani nitaipata nimejaribu ku Google lkn naona mapicha picha
 
Ni ngumu sana kwa mtu ambaye anatafuta pesa serious ukute anahangaika kujiprove mtandaoni kuwa anapesa. Maana huo muda anaupata wapi kwanza muda mwingi anakuwa busy kujitafuta na hela zake.
 

Amekosea kuyaanika maisha yake mtandaoni. Hivyo lazima watu wamfuatilie maisha yake kujua Kama ni kweli. Sasa wamegundua jamaa ni feki.
 
Reactions: apk
Amekosea kuyaanika maisha yake mtandaoni. Hivyo lazima watu wamfuatilie maisha yake kujua Kama ni kweli. Sasa wamegundua jamaa ni feki.
Afadhali umenisaidia kumuelewesha
 
Reactions: apk
Ni ngumu sana kwa mtu ambaye anatafuta pesa serious ukute anahangaika kujiprove mtandaoni kuwa anapesa. Maana huo muda anaupata wapi kwanza muda mwingi anakuwa busy kujitafuta na hela zake.
100%
 
Afadhali umenisaidia kumuelewesha
In fact nlishakuelewa mleta kamba.
Ninachokisema sio kwamba unafuatilia maisha yake hapana..namaanisha kwamba regardless awe ana hela au hana kama video zake hatoi plan za kupata hela hazina msaada kwa audience yake.
 

we bi hindu kudakia mada [mention]Nota Bene 59124 [/mention] hujaliwa siku nyingi unawaza lodge tu
 
wapo watu ni ma bilionea wamenyuti tuli..

Daah huyu jamaa niliona clip yake majuzi nikahisi ubongo wake utakuwa umeingia mafuta...

Clip ipi hiyo mkuu? Anazo nyingi sana
 
wapo watu ni ma bilionea wamenyuti tuli..

Daah huyu jamaa niliona clip yake majuzi nikahisi ubongo wake utakuwa umeingia mafuta...
kwenye clip anasemaje mkuu? Coz anazo nyingi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…