mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Huwa nawaambia watu pesa Ina kawaida ya kuongea yenyewe Ina lugha yake,haihitaji msemaji Wala mwakilishi[emoji1][emoji1][emoji1].mbona hata sura tu inajionesha ni stress, pesa huwa haijifichi usoni pa mtu
Lugha rahisi angalia watoto wa kishua mionekano yao,utanielewa.