Kama kutazama mbele kwenyewe ndo huko uliko nako wewe basi ni bora niendelee kutotazama mbele ambako bila shaka kumetanda moshi mweupe uliotokana na moto ulioteketeza mazao lakini mnaambiwa huo ni ukungu wa mvua unaotoa ishara ya mavuno bora!!!labda kwenye lori la jpm umeangalia nyuma. kama hutazami mbele huwezi elewa.
washindwe kukimbia akina BWM na JK walioingia mikataba ,akimbie Lisu .Huna akili hataHata Lissu atakimbia nchi tu. Time will tell.
Serikali hii hamna ukanjanja.
Tafuteni mafundi kuna bombardier moja imelala mwezi wa tatu huu haifanyi kazi. Huu umbea wa hapa hautawasaidia.Meneja kakimbia kabla hatujamchomeka vijiti kwenye makalio.....pumbavu sana huyu mtu katuachaia familia yetu walemavu wawili.
Nahamishia hasira kwa Katundu Kalisu kuanzia leo!
Lisu kajidhihirisha kuwa ni msaliti wa msimamo wa watanzania juu ya maliasili zetu zinazoibiwa. Kama taifa pamoja na kuwa kuna watu walifanya makosa huko nyuma tumesema baaaasi. Sasa Lisu yeye kageuka kuadi wa wanaotuibia. Kwanza kawatia hofu wana chadema na akataka kutumia mic ya bunge kutuhofisha kuwa wezi wake watatushitaki. Wao watuibie kisha watushitaki kwa Mali zetu, Tundu Lisu amelewa madarakaHivi ktk sakata la mchanga mkosefu ni Lisu au viongozi wa serikali waliogawa madini yetu bure kwa wazungu ??!! Au nia ni nini?!
Lisu amepigania raslimali za nchi hii kwa maisha yake ya usomi, hawa wengine walikuwemo ndani ya baraza la mawaziri waliogawa madini yetu.
Hatimaye General Manager wa MGODI wa ACACIA BULYANHULU Bw Graham ameacha kazi katika mgodi huo na kukimbia nchi. Hili limetokea masaa machache baada ya kutangazwa kuwa kamati ya Rais ya wachumi na wanasheria inatarajia kukabidhi ripoti yao kuhusu uchunguzi wa mchanga wa dhahabu (Makinikia) mapema Jumatatu ijayo jizi limeona libwage manyanga.
My Take: Kumbe ndiyo maana mtetezi wa wezi wa madini TUNDU alikuwa akiwapigia wezi hao na kuwaomba taarifa ili aweze kuwatetea. Ninatamani Sokoine angekuwa hai leo TUNDU ungeelewa maana ya uzalendo kwa vitendo.
Wakati huohuo Waziri mkuu Kassim Majaliwa amemsimamisha Kazi mkurugenzi wa uthibiti wa huduma za nishati na maji (EWURA) Bw Felix Ngamlagos.
"Kazi hii nilipewa na Mungu sikupewa na mtu yeyote, nipo tayari kutoa sadaka mwili wangu kwa ajili ya watanzania wanyonge"-----Rais John Pombe Magufuli.
Mungu mlinde Rais John Pombe Magufuli huyu ni mzalendo halisi.
Remy Cameroon
[HASHTAG]#AhmedNgereza[/HASHTAG]
Lisu kajidhihirisha kuwa ni msaliti wa msimamo wa watanzania juu ya maliasili zetu zinazoibiwa. Kama taifa pamoja na kuwa kuna watu walifanya makosa huko nyuma tumesema baaaasi. Sasa Lisu yeye kageuka kuadi wa wanaotuibia. Kwanza kawatia hofu wana chadema na akataka kutumia mic ya bunge kutuhofisha kuwa wezi wake watatushitaki. Wao watuibie kisha watushitaki kwa Mali zetu, Tundu Lisu amelewa madaraka
Watakimbia sana
Mr Mark jiridhishe kwanza namna biashara za kimataifa zinavyofanywa na ndiyo maana kuna kuwa na mikataba. Sasa kama viongozi wetu waliwapa bure tena ki sheria unamshtumu Lisu kwa lipi?! Ashtumiwe MkapaLisu kajidhihirisha kuwa ni msaliti wa msimamo wa watanzania juu ya maliasili zetu zinazoibiwa. Kama taifa pamoja na kuwa kuna watu walifanya makosa huko nyuma tumesema baaaasi. Sasa Lisu yeye kageuka kuadi wa wanaotuibia. Kwanza kawatia hofu wana chadema na akataka kutumia mic ya bunge kutuhofisha kuwa wezi wake watatushitaki. Wao watuibie kisha watushitaki kwa Mali zetu, Tundu Lisu amelewa madaraka
tusimuite lissu, tumuite mtetea mafisadi na weziKwa ujinga ujinga wenu kamwe lissu hawezi kimbia nchi
MKURUPUKO ON THE RISE, WATZ FANYENI KAZI ACHENI KUSHABIKIA MAMBO MSIOYAJUA. GM ANAWEZAJE KUKIMBIA NCHI AMBAYO MNASEMA IMEIBIWA??? ATAPITA AIRPORT ZIPI??? AU ATAPITA KWENYE NYUFA ZA MIPAKA ATOKEE AUSTRALIA??warudishe hela zetu kwanza,walizojimbikiza
MKURUPUKO ON THE RISE, WATZ FANYENI KAZI ACHENI KUSHABIKIA MAMBO MSIOYAJUA. GM ANAWEZAJE KUKIMBIA NCHI AMBAYO MNASEMA IMEIBIWA??? ATAPITA AIRPORT ZIPI??? AU ATAPITA KWENYE NYUFA ZA MIPAKA ATOKEE AUSTRALIA??
Iptl haijaongezewa muda wa leseni na Samaki wa magufuli hawalipwi kitu wameomba poooHivi gharama za samaki za mjapani mumemaliza kulipa, mbona IPTL ina mkataba wa kifisadi lakini imeongezewa muda je unachokisema unakielewa, lisu anajitambua ndio maana alipinga serikali ya mkapa na kasimamia anachokiamini
NDIO MAANA SIKURUPUKI KUTOA MAAMUZI. WENGINE MNASEMA GENERAL MANAGER KAKIMBIA NCHINI!!!?!?!?!!? SI MAAJABU HAYA? ANAKIMBIAJE WAKATI NCHI INA MIPAKA NA INALINDWA 24/7. AMEPITA AIRPORT IPI??mmmnh sijui wakithibitika ni wezi,utafanya nini....?
HATA KAMA TUNAIBIWA WALIOSANI TUIBIWE SI WAPO NDANI YA CCM NA SERIKALI. LISSU KUSHAURI KISHERIA IMEKUWA TOPIC BADALA YA WALE WANAOTULETEA MISWADA YA MADINI SAA TANO NA KUTAKA SAA 7 IPITISHWE BUNGENI NA ILI KESHO RAIS ASAINI?????!!!!!!!??!? WATANZANIA MNATIA AIBU, WENYEWE MNAITA HATI YA DHARURA.tusimuite lissu, tumuite mtetea mafisadi na wezi
Bombardier imekuaje tena mkuu ikalala au wameamua kuipumzishaTafuteni mafundi kuna bombardier moja imelala mwezi wa tatu huu haifanyi kazi. Huu umbea wa hapa hautawasaidia.