Tetesi: Hatimaye general manager Wa acacia akimbia nchi

Tetesi: Hatimaye general manager Wa acacia akimbia nchi

labda kwenye lori la jpm umeangalia nyuma. kama hutazami mbele huwezi elewa.
Kama kutazama mbele kwenyewe ndo huko uliko nako wewe basi ni bora niendelee kutotazama mbele ambako bila shaka kumetanda moshi mweupe uliotokana na moto ulioteketeza mazao lakini mnaambiwa huo ni ukungu wa mvua unaotoa ishara ya mavuno bora!!!
 
Hivi ktk sakata la mchanga mkosefu ni Lisu au viongozi wa serikali waliogawa madini yetu bure kwa wazungu ??!! Au nia ni nini?!

Lisu amepigania raslimali za nchi hii kwa maisha yake ya usomi, hawa wengine walikuwemo ndani ya baraza la mawaziri waliogawa madini yetu.
Lisu kajidhihirisha kuwa ni msaliti wa msimamo wa watanzania juu ya maliasili zetu zinazoibiwa. Kama taifa pamoja na kuwa kuna watu walifanya makosa huko nyuma tumesema baaaasi. Sasa Lisu yeye kageuka kuadi wa wanaotuibia. Kwanza kawatia hofu wana chadema na akataka kutumia mic ya bunge kutuhofisha kuwa wezi wake watatushitaki. Wao watuibie kisha watushitaki kwa Mali zetu, Tundu Lisu amelewa madaraka
 
Hatimaye General Manager wa MGODI wa ACACIA BULYANHULU Bw Graham ameacha kazi katika mgodi huo na kukimbia nchi. Hili limetokea masaa machache baada ya kutangazwa kuwa kamati ya Rais ya wachumi na wanasheria inatarajia kukabidhi ripoti yao kuhusu uchunguzi wa mchanga wa dhahabu (Makinikia) mapema Jumatatu ijayo jizi limeona libwage manyanga.

My Take: Kumbe ndiyo maana mtetezi wa wezi wa madini TUNDU alikuwa akiwapigia wezi hao na kuwaomba taarifa ili aweze kuwatetea. Ninatamani Sokoine angekuwa hai leo TUNDU ungeelewa maana ya uzalendo kwa vitendo.

Wakati huohuo Waziri mkuu Kassim Majaliwa amemsimamisha Kazi mkurugenzi wa uthibiti wa huduma za nishati na maji (EWURA) Bw Felix Ngamlagos.

"Kazi hii nilipewa na Mungu sikupewa na mtu yeyote, nipo tayari kutoa sadaka mwili wangu kwa ajili ya watanzania wanyonge"-----Rais John Pombe Magufuli.

Mungu mlinde Rais John Pombe Magufuli huyu ni mzalendo halisi.

Remy Cameroon
[HASHTAG]#AhmedNgereza[/HASHTAG]

ACHENI UJINGA KUANDIKA ANDIKA UPUUZI! TAARIFA SAHIHI JAMAA KASAFIRI KIKAZI KWENDA DA RESALAAM. SUBIRI REPORT ACHA KELELE
 
Hapa kazi tu kweli kweli! HIGHER POWERS WILL AVENGE US!
 
Lisu kajidhihirisha kuwa ni msaliti wa msimamo wa watanzania juu ya maliasili zetu zinazoibiwa. Kama taifa pamoja na kuwa kuna watu walifanya makosa huko nyuma tumesema baaaasi. Sasa Lisu yeye kageuka kuadi wa wanaotuibia. Kwanza kawatia hofu wana chadema na akataka kutumia mic ya bunge kutuhofisha kuwa wezi wake watatushitaki. Wao watuibie kisha watushitaki kwa Mali zetu, Tundu Lisu amelewa madaraka

Amelewa madaraka mara ya mwisho mlimpa cheo gani ndani ya CCM. Kiboko cha CCM TL.
 
Lisu kajidhihirisha kuwa ni msaliti wa msimamo wa watanzania juu ya maliasili zetu zinazoibiwa. Kama taifa pamoja na kuwa kuna watu walifanya makosa huko nyuma tumesema baaaasi. Sasa Lisu yeye kageuka kuadi wa wanaotuibia. Kwanza kawatia hofu wana chadema na akataka kutumia mic ya bunge kutuhofisha kuwa wezi wake watatushitaki. Wao watuibie kisha watushitaki kwa Mali zetu, Tundu Lisu amelewa madaraka
Mr Mark jiridhishe kwanza namna biashara za kimataifa zinavyofanywa na ndiyo maana kuna kuwa na mikataba. Sasa kama viongozi wetu waliwapa bure tena ki sheria unamshtumu Lisu kwa lipi?! Ashtumiwe Mkapa

Sent from my HUAWEI LUA-L21 using JamiiForums mobile app
 
Lissu mnafiki sana anasema eti serikali ivunje mikataba sasa ukivunja tu bila kufanya utafiti na kuwa na grounds za kuuvunja si ndo utanyolewa Kwa panga!? nikikumbuka issue ya lowassa dah huyu jamaa mnafiki sana....
 
warudishe hela zetu kwanza,walizojimbikiza
MKURUPUKO ON THE RISE, WATZ FANYENI KAZI ACHENI KUSHABIKIA MAMBO MSIOYAJUA. GM ANAWEZAJE KUKIMBIA NCHI AMBAYO MNASEMA IMEIBIWA??? ATAPITA AIRPORT ZIPI??? AU ATAPITA KWENYE NYUFA ZA MIPAKA ATOKEE AUSTRALIA??
 
MKURUPUKO ON THE RISE, WATZ FANYENI KAZI ACHENI KUSHABIKIA MAMBO MSIOYAJUA. GM ANAWEZAJE KUKIMBIA NCHI AMBAYO MNASEMA IMEIBIWA??? ATAPITA AIRPORT ZIPI??? AU ATAPITA KWENYE NYUFA ZA MIPAKA ATOKEE AUSTRALIA??

mmmnh sijui wakithibitika ni wezi,utafanya nini....?
 
Hivi gharama za samaki za mjapani mumemaliza kulipa, mbona IPTL ina mkataba wa kifisadi lakini imeongezewa muda je unachokisema unakielewa, lisu anajitambua ndio maana alipinga serikali ya mkapa na kasimamia anachokiamini
Iptl haijaongezewa muda wa leseni na Samaki wa magufuli hawalipwi kitu wameomba pooo
 
mmmnh sijui wakithibitika ni wezi,utafanya nini....?
NDIO MAANA SIKURUPUKI KUTOA MAAMUZI. WENGINE MNASEMA GENERAL MANAGER KAKIMBIA NCHINI!!!?!?!?!!? SI MAAJABU HAYA? ANAKIMBIAJE WAKATI NCHI INA MIPAKA NA INALINDWA 24/7. AMEPITA AIRPORT IPI??
 
tusimuite lissu, tumuite mtetea mafisadi na wezi
HATA KAMA TUNAIBIWA WALIOSANI TUIBIWE SI WAPO NDANI YA CCM NA SERIKALI. LISSU KUSHAURI KISHERIA IMEKUWA TOPIC BADALA YA WALE WANAOTULETEA MISWADA YA MADINI SAA TANO NA KUTAKA SAA 7 IPITISHWE BUNGENI NA ILI KESHO RAIS ASAINI?????!!!!!!!??!? WATANZANIA MNATIA AIBU, WENYEWE MNAITA HATI YA DHARURA.
 
Back
Top Bottom