Hana Cha kupoteza Tena huyo mzee
Anangoja tu astaafu huo ukadinali alio nao ambao hawawezi mvua [emoji2]
Sisi wakatoliki Wala hatuna habari nae tuko na Ruwaichi
Kwani msamaha unaombwa kabla ya muda gani kuisha?Kwanini wakutane wakati huu na sio wakati ule alipomtukana?
Umepita muda gani kwani?
Iwe mbaya kivipi??? Kukutana kunazuia uhalisia kuwa Gwajima ni muhuni tu na tapeli wa kutupwa????habari mbaya sana hii kwetu "hater" wa JamiiForums!
Iwe mbaya kivipi??? Kukutana kunazuia uhalisia kuwa Gwajima ni muhuni tu na tapeli wa kutupwa????
Hivi mnafikiri watanzania wanazubaishwa na hao ndumilakuwili makonda na Gwajima???
Wote ni WASUKUMA!!! KOLOMIJE BOYS!Gwajima na Makonda wanafanana sana kwenye ukosefu wa aibu
MAKONDA, GWAJIMA USO KWA USO KWA KARDINALI PENGO
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Paul Makonda pamoja na Mgombea wa Ubunge Jimbo la Kawe Askofu Gwajima kwa pamoja wamemtembelea Kadrinali Pengo mapema leo.
View attachment 1577160
View attachment 1577080
View attachment 1577083
Labda uniambie wewe! Nani atafaidika na iyo picha ?? Kweli CCM ni mazwazwa saanaKwani kupiga picha tuu, unafikiri hakuna aliyefaidika, kisiasa au kivingine ?
Labda uniambie wewe! Nani atafaidika na iyo picha ?? Kweli CCM ni mazwazwa saana
Alikueleza kuwa anatamaniKiwango cha juu cha upotoshaji, Cardinal Jude Thaddaeus Ruwa'ichi ana tamani awe Cardinal emeritus of Dar es salaam.
Kibinadamu Cardinal Ruwa'ichi anatamani pia awe kama Cardinal Pengo - President of the SECAM ( Symposium of Episcopal Confrences of Africa and Madagascar ) Mkuu wa Mabaraza yote ya Kiaskofu Africa na Mdagascar.
Ubunge wa Kawe usitufanye tuwashushe watu ambao Dunia inatamani wazaliwe nchini kwao.
Hapo chacha
Alikueleza kuwa anatamani
Au umejitungia wewe[emoji44]
mara tu unapogundua kuwa umekosea, na sio kufanya ili upate kura za wakatoliki.Kwani msamaha unaombwa kabla ya muda gani kuisha?
Sijui Nani aliemuuliza hayo mavyeo ya Pengo .Huyu lazima atakuwa Mfipa wa Sumbawanga kwa wakina Mfupe!!!
Alikueleza kuwa anatamani
Au umejitungia wewe[emoji44]
Hilo nalo nenoKiwango cha juu cha upotoshaji, Cardinal Jude Thaddaeus Ruwa'ichi ana tamani awe Cardinal emeritus of Dar es salaam...
Sadaka zimepungua Sana waumini wamezombwa na kina bulldoza na ile scandal ya video ya ngono imemharibia Sana heshima yake acha akimbilie kwenye siasaWananchi hawana budi kujiuliza hivi huyu Gwajima kwanini anautafuta huu ubunge kwa udi na uvumba ili hali huko nyuma aliudharau?