Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,613
- 8,082
Yote hayo ni maigizo tu kwa hao wawili. Na kutafuta kiki pia. Wangeenda kutubu wasingepigwa picha za kusambazwa hivyo. Nae huyu mzee amekubali kuingizwa chaka mara ya pili wamtumie kama ngazi kisiasa?. Angewaambia kama mnakuja kuomba msamaha,mje bila mapicha picha