Hii 40% (malipo ya mkupuo ya kiinua mgongo) bado haitoshi, serikali haijasikia bado, msitudanganye
Tunataka kikokotoo cha awali kabla hiki cha 33% kuanza kutumika.
Serikali iache wizi mara moja kuibia wastaafu fedha zao. Wabunge kama mnajipenda kwenye hili, kataeni pendekezo hili la serikali. Wastaafu Tunataka kikokotoo cha 50%. Otherwise tutajiunga na CHADEMA kuuwasha moto wa kuwakataa.!!
Serikali iache wizi wa kuiba kupitia kwa wastaafu na kufanyia anasa pesa zao!
Lipeni madeni ya Trl 4.6 mlizokopa kutoka kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii Ili wastaafu tulipwe malipo stahiki ya kiinua mgongo cha 50% kama awali kabla hamjaanza kuchota fedha za mifuko hii!!