Mbwa dume
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 5,934
- 10,206
Karibu kitaani kamanda mie nilifeli shule sababu sikuwa na akili ila sa hivi napiga hela mingi kwenye biashara yangu ya majeneza na sina njaani jambo ambalo nimekuwa nalifikiria mara nyingi kuchana hivi vyeti maana vinanitia hasira sana hakuna vilichosaidia kwa miaka minne leo nimechana rasmi kuanzaia olevel mpaka chuo tukutane mtaani guys