Hatimaye ndoa yangu imevunjika

Hatimaye ndoa yangu imevunjika

Pole kwa yaliyokukuta mkuu! Huna budi kukubaliana nayo na kujipa muda siku utampata mama mwingine bora mtakayewalea watoto wenu pamoja kwa upendo, kuhusu pesa nadhani kuna wanawake wanaweza vumilia waume zao na kuwaombea Mungu aruhusu baraka za kipato ktk familia, si wote wanaonuna na dharau eti sababu mume amefulia.

Pia tujitahidi kuwa na vyanzo vingi vya mapato ili ukikosa huku unapata sehemu nyingine maisha yanaendelea. Itasaidia kuepusha kisirani
kama wapo ni 1% only
 
Binadamu tunajisahau sana,
afu tunayowatenda wenzetu na sisi tukifanyiwa POVU LINATUTOKA.

Mi mwnyw nna makaburi yangu kibao, siku yakilipuka wahuni mnakuja kunilipua.

Eeh mungu ninusuru, Niliyoyapitia yananitosha kiukweli.

Kwa sasa nimekua mume bora kwa mke wangu na baba bora kwa wangu.

THE REST IS HISTORY
Haha mkuu mkuu mwaume huwezi kuacha kuchakata kitumbua Cha nje hyo haikwepeki..!
 
Pole mkuu.... inaumiza sana kuona watoto wanalelewa na mzazi mmoja na zaidi kama hukuzaliwa katika familia yenye mitala,vbasi uchungu zaidi ni pale watoto wanapochanganya matumbo ya mama. Hakunaga umoja.
Mpaka leo bado unalilia umoja wa watoto? Wewe umoja wao unakuhusu nini?
 
Mkuu

Siku mwenye mke anafuma chattings of any type on her phone,she will be tossed!

Hiyo ndo mwamba akigundua anything,she will be gone outta window.

Kwanini bado unajichatisha na mke wa mtu regardless?

Imagine mkewe nae anajichatisha na ma-ex wake the same way?

Its funny human beings tunajiona sisi ndio wababe wa kila kitu,mapenzi ni sisi,wenye hela ni sisi,wapiga madem za watu ni sisi,tunapendwa ni sisi,etc....but infact si kweli,ni huyo mwanamke uchi wake unamuwasha tu,huenda anachat na other 100 motherfvckers just like you!
Its true...n thats y i always take the dirt off my shoulders...najitahid kumkwepa sana..na ndomana sijataka lala nae had leo
 
Mkuu

Siku mwenye mke anafuma chattings of any type on her phone,she will be tossed!

Huyo ndo mwamba akigundua anything,she will be gone outta window.

Kwanini bado unajichatisha na mke wa mtu regardless?

Imagine mkewe nae anajichatisha na ma-ex wake the same way?

Its funny human beings tunajiona sisi ndio wababe wa kila kitu,mapenzi ni sisi,wenye hela ni sisi,wapiga madem za watu ni sisi,tunapendwa ni sisi,etc....but infact si kweli,ni huyo mwanamke uchi wake unamuwasha tu,huenda anachat na other 100 motherfvckers just like you!
Siku zote Muosha huoshwa
 
We umeamua kuja kumkejeli bradha au sio? Aliyekwambia kuna wanawake wanaovumilia dhiki sikuhizi ni nani? Tukianza na wewe, unaweza kuishi na mwanaume ambaye hana kipato kwa muda flani? Hebu kuwa mkweli tu maana swala la hela limekuwa kipengele sana sikuhizi kiasi kwamba watu wamekosa utu kabisa yani usipokuwa na hela huthaminiki. Wewe unaweza kuishi kwa adabu na heshima na mume ambaye hana sh.10 bila makelele na kumnyanyasa?
Aisee Mimi ni shahidi wapo wanawake wanaovumilia dhiki,mke wangu ni wa pekee Sana,nimeishi naye miaka 12 ya dhiki kuu mpaka Kuna kipindi nilitamani Mimi ndio nimwambie aniache maana anateseka Sina hata mia.Kumbuka kipindi chote hicho hakuwahi kunionyesha dharau na akawa ananipa kadi ya bank Mimi ndio niwe natoa mshahara.Mungu mkubwa Sasa hivi tuna maisha mazuri wote ni waajiriwa
 
Asalaam,

Ndoa yangu ilikua nzuri saana kwasababu tulianza tukiwa vijana wadogo maskini, kutokana na hivyo tuli inspire vijana wengi na ndoa nyingi kusimamia.

Tuka barikiwa watoto wazuri. Mungu alitubariki na unafuu wa maisha wa kupata tunachokita kwa level ya maisha ya kawaida. Basi ghafla maisha yakabadilika nikaanza kupitia magumu kiuchumi hata jero mtihani kupata.


Pole sana mkuu. Ni kanuni ya vijana wengi tunaamua kuoa pale tunapojiona tuko well financially.. bila kujua kuwa na wao wanawake wanaangalia watu walio vizuri financially ili waolewe nao. Ukifulia ndo utamjua kuwa nia yake ni maisha mazuri, sio ndoa.
 
Aisee Mimi ni shahidi wapo wanawake wanaovumilia dhiki,mke wangu ni wa pekee Sana,nimeishi naye miaka 12 ya dhiki kuu mpaka Kuna kipindi nilitamani Mimi ndio nimwambie aniache maana anateseka Sina hata mia.Kumbuka kipindi chote hicho hakuwahi kunionyesha dharau na akawa ananipa kadi ya bank Mimi ndio niwe natoa mshahara.Mungu mkubwa Sasa hivi tuna maisha mazuri wote ni waajiriwa
Aweee[emoji3059][emoji3059]

Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki. Musiharibikiwe na lolote lile. Akazidi kukujaza. Hongera kwa kuepuka kiburi cha uzima. Nakuhakikishia baraka uzipokeazo sasa ni kutomnyanyasa mwenzako. Na mkeo akifurahi jua na wewe mambo yako yanazidi kubarikiwa. Yanafunguka mno. Epuka sana mwanamke wako akiwa analia sana juu yako... sasa utajiri ukaongezeke muende zenu kutembea beach za uraya... au unasemaje?[emoji4][emoji4]
 
Ila kuoa ukiwa na unafuu wa maisha naona ndio risk zaidi bora uoe ukiwa huna hela tu [emoji28][emoji28][emoji28] unajua kweli mnapendana
Ni kweli mimi nilioa sina kazi na sikuwa hata na hela,mpenzi wangu(mke kwa Sasa) akasema usiogope tukifunga ndoa baraka zitakuja na kweli Mungu ametubariki.Huyu mwanamke nimeishi naye maisha magumu jaman khaaa
 
Ni so sad aisee

Uhalisia ni kwamba mtoa mada ana tatizo la kimaumbile,na mke was not having it...

Mi nadhani hii issue would never work out....

Mwanamke hana tatizo,this thing was not correct tangu mwanzo...mwanamke naona hana shida,kuna pahala huyu mwamba alikua anamzuga bidada

It is all fine,sio wanaume wote wana maumbile makubwa na sio ajabu mwanamke kuondoka sababu ya maumbile,she deserve to be happy na mwamba awe happy na mwanamke mwingine mwenye kidudu kidogo size ya uume wake...

It is a fair exchange..no need for all these fracas mpaka JF nk nk nk

Mnaachana kibingwa kama mwanangu Gates...as long as sababu mnazijua na hakuna mwenye kosa hapo,maumbile hamna nayo commanda,mmeyakuta,kila mmoja afate size yake inayomfaa!
Alichokosea ni kuja huku jf kumsagia mwenzie kunguni.

Alitakiwa deep from his heart akaushie na sio kuleta visingizio
 
Pole sana mkuu. Ni kanuni ya vijana wengi tunaamua kuoa pale tunapojiona tuko well financially.. bila kujua kuwa na wao wanawake wanaangalia watu walio vizuri financially ili waolewe nao. Ukifulia ndo utamjua kuwa nia yake ni maisha mazuri, sio ndoa.
Hapo kwa financially si kweli kwa kiasi chake. Ni matabia yenu mabovu ndo huwaangusha. Soma thread yote uone matukio jamaa aliyokua anampiga mkewe. Mnapendaga sana kujioa umalaika aisee. Ijapokua wanawake wazinguaji pia wapo
 
Pole sana ndugu, hiyo ndio hali halisi ya ndoa nyingi mjini kwa sasa.
 
Mzee mwezangu hizi hekima sio za mchezo mchezo,salute kwako...all in all Mungu akamptie nguvu na busara ndugu yetu huyu akapate kusimama imara, maumivu yakapungue then atafte mwenza walee watoto na waendeleze maisha.
Ahsante mzee mwanzangu! Kweli Mungu amsaidie kuvuka salama kipindi hiki cha divorce.

Kama ndoa zenyewe ndiyo hivo mzee mwenzangu vipi na sisi tuingie huko ama tughairi tuishie kimasihara tu?😛
 
Back
Top Bottom