nana_
JF-Expert Member
- May 17, 2021
- 675
- 1,516
hawazioni 😩Pombe zitakuwepo na nyimbo za lingala?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hawazioni 😩Pombe zitakuwepo na nyimbo za lingala?
ThubutuuuuuuJanja janja tu,huyu manzi hata mm alinikubalia
Ooh Basi ni vipofu hao hawana bahatihawazioni [emoji30]
Ndiwooooooooh!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa taarifa yako cocastic kaniahidi kuniletea mafuta ambayo nitajipaka na ngoz yangu itamelemeta Kama jongoo[emoji41]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwamba mie ni supplier wa lubricants??Hujamuelewa hapo,mafuta anayosemea ni kilainishi [emoji23]
MC nipooo tenaa bureee dear, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mc tunayeeeee [emoji23]
😂😂😀Mpwa salamaKuna kapo humu ziliwahi kuvuma sana. Mpaka zikawa zinatagiana katika kila posti lakini nazo zilipita.
Nikiwa kama mwakilishi wa timu roho mbaya ya Wabongo nasema hivi na wewe na huyo kyuti waifu wako mtaachana tu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
View attachment 2628497
😀😀MC nipo winja winja kuchachua shereheee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uduguuu MC wak niko hapaaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji15][emoji15] jamani mpk kamati ishaundwa na mwenyewe taarifa sina!!!? Haya michango iingie kwenye namba za bi harusi mtarajiwa.
Kiwango cha chini cha kamati kianzie laki 5 [emoji12]
Si ndio shangaziii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]
Uduguuu MC wak niko hapaaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
"Ni vizuri na ni bora zaidi kuuachia ulimwengu ndio ukutangazie penzi lako kwa ulimwengu wenyewe na kwa Walimwengu,,,na Sisi wewe kuutangazia ulimwengu na Walimwengu penzi lako""Na hii si kwenye pendo tuu bali hata kwenye mambo yako mengine ya kimaisha sawa Broo!!Nikutakie kheri na afya ya mifupa,,damu na nyama kwenye penzi lako na maisha yako kiujumla!!
Namuona mzee wa dislike naye yumo humu katika ubora wake...
Janja janja tu,huyu manzi hata mm alinikubalia
Thubutuuuuuu
My baby Cute Wife hawezi kuwa na kolo Kama wewe
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app