Hatimaye Rais wa FIFA akiri, ataja sababu ya Argentina kushinda kombe la Dunia

Alibadiri kila kitu Spain kipi?. Kuisawazishia Barca ndio tayari kubadiri?.
 
Hakuna ubingwa wa kupewa, Argentina walipambana Sana na walistahili.
 
Kwani uongo ninyi sio team ronaldo?
Sinaga masuala ya uteam kwa kweli yaani iyo sio kwenye soka tu hata dini siasa n.k mtu awe chadema au ccm, awe mkristo au muislamu pale ambapo jambo halipo sawa nasema hapa sio sawa pale ambapo lipo sawa nasema hapa ni sawa
 
Umezipitia hizo nukuu za viongozi anao wasema ama na wewe umeunga mkono kwasababu alichokiandika kinaendana na hisia zako?.
Dah!!
 
Messi ndie mchezaji bora zaidi ulimwenguni kuwahi kutokea, tusipingane na hili.
Assuming Pele na Maradona ni untouchables na hawamo kwenye list

Messi hawezi kuwa juu ya Pele.
 
Umezipitia hizo nukuu za viongozi anao wasema ama na wewe umeunga mkono kwasababu alichokiandika kinaendana na hisia zako?.
Dah!!
Uenda hao viongozi walimaanisha kitu kingine na mtoa mada akaelewa vingine lakini nilichomwelewa mtoa mada alichotaka kusema ni kwamba kulikua na mpango wa kuwezesha messi achukue world cup
 
Assuming Pele na Maradona ni untouchables na hawamo kwenye list

Messi hawezi kuwa juu ya Pele.
Huwa najiuliza kama messi angecheza zama za pele na maradona je angeweza kuwafunika? Na kama maradona na pele wangecheza zama za messi je wangeweza kumfunika.. huu mjadala ni mgumu sana maana wote wamecheza vizazi tofauti binafsi natamani sana ningewashuhudia hawa magwiji wawili wakicheza, nimeangalia video zao tatizo youtube hakuna mchezaji mbovu uko ukiangalia video za fellain unaweza kusema alikua zaidi ya zidane
 
Zidane ameshasema Messi hana mpinzani.
 
Ila kuna watu wanafikiria kwa kutumia makamasi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…