Hatimaye tapeli sugu wa viwanja nchini atiwa nguvuni

Msimpakazie bandari mmeuza wenyewe maccm, ndio maana mmekomaa hili ni swala la chama na ilani, ilani ya ujambazi.

Pale Kunduchi kwa Kondo kina ya kwenda kaburi la Sharrif Ras Kilomoni kuna mkondo wa bahari maji kupwa maji kujaa, kuna mmasai alipigwa kweli hapo kiwanja wakati wa maji kupwa, kesho aliporudi palepale alipouziwa akaikuta bahari hamna kiwanja.
 
Lipo lockup limenenepeana kwa utapeli,baada ya kutengeneza chain kila ya kuuza viwanja hewa kila siku Hela zinaingia Benki ye ni kudraw na kufanyia ngono tu.
Utapeli huu wa kiofisi na kusuka kampuni za kitapeli alienda Nigeria kujifunzia
 
Wizara ya Ardhi,Brella,mabenki,TRA,Leseni jiji wekeni stop list huyu mtu kumpatia huduma za vibali.
Kampuni moja tu ya VKP kapiga zaidi ya bilioni moja toka kwa watza 250.
Kiwango Cha Chini kupigwa ni milioni 6.Wengine milion 15,17,32,60,21,
 
Kampuni ya uwakili iliyotumika kutapeli ni Eagle Laws Chamber ,Bank ni NMB,na TIN ni wakili ni
 

Attachments

  • Screenshot_20230720-213816.png
    219.4 KB · Views: 13
  • IMG_20230720_213406_991.jpg
    998.6 KB · Views: 12
  • IMG_20230720_213102_995.jpg
    710.7 KB · Views: 13
  • IMG_20230720_213235_786.jpg
    737.1 KB · Views: 12
  • IMG_20230720_213251_244.jpg
    635.5 KB · Views: 12
Poleni mliotapeliwa jamani
Ukisikia kampuni inauza viwanja,au online business sijui unalipa pesa wanakuagizia mzigo China kwa Bei rahisi usiingie na mguu wa kulia.
Hata Kama Wana ofisi hakikisha kwanza usalama wa pesa zako au try at your own risks.
Watz Sasa hivi wanafundishwa utapeli wa organized group na Wanigeria wanafungua legal office Kama mzionazo sampuli ya hizi DECI wengine ujifichia hadi kwa viongozi,Huwa wanaanza vizur tu mwanzon ili kuvutia wengi wakishapata market kubwa pesa ikaingia kwa wingi hapa ndipo wanapokuja achwa watu.
Hata online business hivyo hivyo mtaenda vizur ndani ya mwaka watajenga uaminifu wakishapata mzunguko mkubwa tu wanapiga.
Kisha wanacheza na kesi madai mahakamani miaka huku wanafungua kampuni nyingine kwa jina lingine kuendelea kupiga.
Mamlaka imelala na aina hii ya utapeli nchini.

Kampuni zote zinazodili na watu kutrust na kushawishi watu kuweka pesa zao ili wapate bidhaa au huduma ni za kumulikwa sana.
 
Kuna tapeli mwingine anakesi mahakamani na ameshinda kesi hiyo.

Huyu tapeli mtusi anaconnection mahakamani ila hata balozi hamtambui na wenyeviti hata waliopita serikali za mitaa hawamtambui ...cha ajabu eti ameshinda keshi .... Hamuwezi kuamini lkn ni kweli...
Nchi hii imamaajabu Sana
 
Sidhani Kama kesi ni solution zaidi ya Plan B
 
Yupo Moja Arusha huitwa David Kambele ni tapeli hafai. Anachukua sehemu za watu anaziuza kwa mtundo huo wa kulipa kidogokidogo, Kisha anahonga mabaraza ya kata na watendaji anaanza kuzungusha wamiliki halisi... Serikali imfatilie huko muriet na Terat ameliza watu sana

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
 
Hahaa yule mmeru mbna fala tu...mimi ardhi zangu zote nanunua kupitia kwa wakili wng,kiwanja mpka nilipe nimeshaongea na ukoo wenu mzima bila wewe kujua
 
Hahaa yule mmeru mbna fala tu...mimi ardhi zangu zote nanunua kupitia kwa wakili wng,kiwanja mpka nilipe nimeshaongea na ukoo wenu mzima bila wewe kujua
Mi nilijua muaru, kumbe mmeru, yani yule ni fala kinyama, ameuza ardhi za watu sana, halafu yeye anacheza na mabaraza

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…