Hatimaye Uingereza yaipiga marufuku Huawei kuweka mitambo ya 5G nchini humo

Hatimaye Uingereza yaipiga marufuku Huawei kuweka mitambo ya 5G nchini humo

Alianzaje ???

Mkuu hawa wanajesemea tu,wanarudia rudia propaganda za CNN na Reuters hata hajiulizi iweje mashirika haya mawili ya habari ndio yanavalia njuga Huawei kwa manufacture habari za kutunga tu, lengo likiwa ni kutaka kutoa taswira kwamba Dunia nzima hiko mbioni kususia products zote za Huawei 5G technology, wakati hiyo si kweli hata kidogo, halafu media tajwa hapo juu zilivyo za ajabu utazisikia zenasema habari za kifo cha Kampuni ya Huawei zimepatikana kutoka kwa mtu ambaye hataki jina lake lijulikane - huo ni ushahidi tosha kwamb habari hizo nizakutunga tu.

Jaribuni kufatilia kwa karibu taarifa hizi za kizushi zinazo chongwa na intel agencies za USA katika harakati zake za kupiga vita kampuni ya Huawei - hawalali kila siku wanabuni mbinu za kuimaliza Huawei kibiashara, wanaisakama Huawei 24X7 unaweza kufikiri ni watoto wadogo - nani amekataza kampuni za kimerikani kuwa highly innovative and competetive ili washindane na Kampuni ya Kichina ambayo inakuja juu kiteknolojia kwa kasi ya kutisha.
 
Duniani hapa hakuna mchezo msafi, hasa kwa haya mataifa makubwa. Marekani anapambana kwa nguvu sana na Uchina kwasasababu anachofanya Uchina kwasasa ndicho kilekile ambacho Marekani alikuwa anakifanya dhidi ya Uingereza mnamo karne za 19 na 20.
Wenye mahaba niue na Marekani wanadhani ni haki kwa Marekani kufanya hivyo lakini yeye kufanyiwa ni kosa kubwa [emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili linadhihirisha kwamba Marekani ameshikwa pabaya sana na Uchina. Muingereza ajipange tu maana ameamua kuingilia hii vita wakati hali yake siyo nzuri sana!
Iman bwana ni kitu kingine kabisa, yaani anaeathirika na anaeyetoa order alieshikwa pabaya ni anaetoa order hahahahaha
 
Usichezee marekani,tangu ban hata mwaka haujaisha Huawei imefutika kwenye midomo ya watu.
Mwanaume kwanza anakwambia, We have got all options on the table..... yaani wachina wangetakiwa watafakari sana hio kauli kwa mapana
 
Wachina wameonyesha sana jeuri awamu hii ya Trump kwasababu amekuwa na vitisho vya mbwa koko, Trump anaongea sana kuliko vitendo ndio maana anadharaulika
Mwanaume kwanza anakwambia, we have got all options on the table.....yaani wachina wangetakiwa watafakari sana hiyo kauli kwa mapana
 
Mkuu Hearly mwanahistoria nguli wa Kiyahudi Doron Ben-Atar anasema maneno haya kuhusu Marekani kwenye kitabu chake kiitwacho "Trade Secrets" : "the United States emerged as the world's industrial leader by illicitly appropriating mechanical and scientific innovations from Europe"...........

Huu mchezo mchafu wa Ujasusi wa mambo ya nje Wamarekani walifundhishwa na Raisi George Washington ambapo unaambiwa aliliomba bunge la Marekani lipitishe bajeti ya ujasusi wa mambo ya nje ambayo hadi leo haijawahi kupitishwa na Marekani. Raisi Washington alipoona kwamba wako nyuma sana ya mataifa ya Ulaya aliomba wapitishe bajeti ya kijasusi ambayo ilikuwa ni asilimia 12% ya GDP ya Marekani (Hizi namba siyo mzaha) kwa kipindi hicho.

Miaka ilivyoenda ndiyo wakina Francis Cabot Lowell walikamatwa mwaka 1812 wakiwa wameiba mipango ya teknolojia mpya kutoka Uingereza ya kushonea (Power Loom) ambayo iligunduliwa na Muingereza Edmund Cartwright. Miaka ya 1939-1943 Marekani akaiba teknolojia ya nyuklia kutoka Ujerumani pamoja na wanasayansi wa Ujerumani. Mwaka 1945 akaanzisha Operation Paperclip ambapo alichukua maelfu ya wanasayansi wa Ujerumani na teknolojia yao huku akiwaambia kwamba atawalinda ili wasishitakiwe kwenye mahakama ya Nuremberg.

Wernher Magnus Maximilian Freiherr von Braun ambaye alikuwa Mjerumani ndiye aliyewapa Marekani siri za kutengeneza roketi ambazo ziliwasaidia NASA kupeleka hadi watu mwezini. Kama wasingekuwa hawa watu sidhani kama Marekani angefika hata mwaka 1970 kwenye vita baridi dhidi ya Umoja wa Kisovieti.
Mkuu pitia hichi kitabu "Stealth War: How China Took Over While America's Elite Slept" by Gen. Robert Spalding. Humu ndani kuna madini mengi sana yanayoonyesha mbinu za Wachina za ujasusi wa kiuchumi
 
Labda imefutika kwamdomo wako tu MKUUYah ndio maisha kutegemeana Ndio maana halisi yauzalendo huo MKUU
Huawei labda toleo la mwisho kabisa lenye Android version hizi mpyaaa ni kupotezaaa mudaaaa aiseee...
 
Wachina wameonyesha sana jeuri awamu hii ya Trump kwasababu amekuwa na vitisho vya mbwa koko,Trump anaongea sana kuliko vitendo ndo maana anadharaulika
Anavitisho ama anamaamisha? Alivyoanza na tarrif kuhusu bidhaa za china kuingia marekani aliachia hewan ama mpaka leo china wanalia na tarriff ile na hawana cha kufanya? Sasa issue ya 5G nayo ni maneno mpaka sasa unasikia India, Uk,Italy,France nao wako etc washaachana nao hapo unaambiwa vikwazo ni sept leo ni July ila mataifa yashaanza kula kona, haya leo unasikia kampuni zoote za kichana kwenye exchange ambazo hazikagukiwi na CAG wa US zitafutwa including alibaba bado unaona ni maneno? Endelea kujifariji
 
Sasa we huoni kiburi hii ya wachina awamu hii,awamu zilizopita walikuwa kimya
Anavitisho ama anamaamisha? Alivyoanza na tarrif kuhusu bidhaa za china kuingia marekani aliachia hewan ama mpaka leo china wanalia na tarriff ile na hawana cha kufanya? Sasa issue ya 5G nayo ni maneno mpaka sasa unasikia India, Uk,Italy,France nao wako etc washaachana nao hapo unaambiwa vikwazo ni sept leo ni July ila mataifa yashaanza kula kona, haya leo unasikia kampuni zoote za kichana kwenye exchange ambazo hazikagukiwi na CAG wa US zitafutwa including alibaba bado unaona ni maneno? Endelea kujifariji
 
Sasa we huoni kiburi hii ya wachina awamu hii,awamu zilizopita walikuwa kimya
Niwajuavyo wale wale wangekuwa na lakufanya duniani kwa sasa ingekua ni story ni kwamba dawa inawaingia taratibu wako chini ya mti wamefunga macho wanasubiri mvua ipite. Baada ya Trump kuanzana na Huawei si walisema in one month wanakupa na OS yao? Iko wapi ile porojo ya Beijing
 
Kiteknolojia hawana kitu ni uwizi tu wanafanya na zamu hii wamethibitiwa ndo maana wamebaki kulalamika, walijiaminisha tu kwamba uwezo wanao, ila vipi kijeshi
Niwanuavyo wale wale wangekuwa na lakufanya dunian kwa sasa ingekua ni story ni kwamba dawa inawaingia taratibu wako chini ya mti wamefunga macho wanasubir mvua ipite. Baada ya Trump kuanzana na Huawei si walisema in one month wanakupa na OS yao? Iko wap ile porojo ya Beijing
 
Tanzania tupo huru na hatutishwi na mabeberu, waambie Huawei waje wafunge hata 6G huku Tanzania.
 
Mwanaume kwanza anakwambia, we have got all options on the table.....yaan wachina wangetakiwa watafakari sana hio kauli kwa mapana
All options on the table ndio kauli yamwisho kabisa ambayo US hua wanaitoa kuficha kutapa tapa kwao.....

Vikwazo vya US dhidi ya UCHINA mpaka sasa vimepeleka Athari hasi gani kwa UCHUMI wa UCHINA na Athari chanya gani kwa UCHUMI wa US !?

Sent using My COVID-19
 
Back
Top Bottom