Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Hebu kuwa mwafrika bana hivi hauoni kama makitu yanaleta ubaguzi mkubwa sana ama ndo umeshakuwa msukule mkuu."Waume zako....ndio akina nani..."
Au asifiaye mvua mmemnyeshea au kwenu mpo vice vera ndio michezo yenu.
"Msukule ndio nani kwenu..."Hebu kuwa mwafrika bana hivi hauoni kama makitu yanaleta ubaguzi mkubwa sana ama ndo umeshakuwa msukule mkuu.
Angalia kila watu wana dini zao mkuu.
Sio lazima uitwe john,simon,grace,Mary, abdalah,JUMA ,Mohammed , zuber,Daniel,zuhura,nasra BASI eti ndo utakubalika mbele za aliye juu.
Haya yote shida ya mwenye ngozi ya nguruwe kuja afrika.
Sijawahi muona mzungu ama mwarabu anayeitwa mwakasege,ikemefuna,masanja,moshi,mutashobya ,Chacha,ndugui ama majina yetu yamekaa vibaya Bali ya kwao
Mkuu hebu badilika acha tusipeane matusi kisa tamaduni za watu wengine."Msukule ndio nani kwenu..."
Au asifiaye mvua mmemnyeshea au kwenu ndio michezo yenu.
That was fake news mzeeNa ndio maana kila siku tunapiga kampeni za kuzuia matumizi ya sumu za ARV zinazoua kwa liver, heart na Kidney failure, pia hizo chanjo za pepo punda tumekuwa na muda wa kutosha wa kujiridhisha nazo, ila hizi za Covid19 zilizoharakishwa, inaonekana zina agenda nyuma yake na ndio maana tukasema ni hadi pale tutakapojiridhisha na ubora na usalama wake, na hatujui ni lini tutajiridhisha.
View attachment 1694648
Sijakutukana bali nimeongea ulicho ongea wewe,sijakupa tusi lolote.Mkuu hebu badilika acha tusipeane matusi kisa tamaduni za watu wengine.
Jisifie na jipige kifua kuwa Mara kumi kuwa mie ni mwafrika lazima niwe na tamaduni zangu kama alivyo mjapan ama mzungu ama mwarabu na sio kuvaa mavazi yao kuwa ndo bora machoni mwetu.
Afrika tubadilike na sie tuwe na mitume wetu weusi bana.
Ila wewe si ni mwafrika bro ama ni mzungu mjapan mhindi mwarabu.Sijakutukana bali nimeongea ulicho ongea wewe,sijakupa tusi lolote.
Ustarabu ni kitu muhimu sana cha msingi tuheshimiane pamoja itikadi zetu na iman zetu ni tofauti,kwa kufanya hivyo tutajenga jamii iliyo starabika.
Mkuu wewe ni mjapan, mhindi mzungu mkorea ama mwarabu.Ulikuwa unaulazima utaje msahafu, ujinga mwengine muuache, halafu ndio wa mwanzo kuwatlita wenzenu wadini kumbe nyie ndio mnaokufafa kwa hasira za udini
Unataka kutuaminisha kuwa huyo Waziri (Mmarekani) kaleta dini mojawapo kati ya hizo zinaZopinga ushoga?Ushetani ni nani aliyekufungua ukajua kuwa ni ushetani ama ni hizo dini jamaa walikuwa enzi za utumwa wakakupumbaza unashikilia kitabu huku wao wakichukua madini na ardhi nzuri.
Yaani bana MTU kama sokwe yeye akaletewa dini Leo hii anajifanya kumkosoa aliyemletea.
Unajitahidi kupotosha watu sasa kwani dini ya kikristo mfano ni utamaduni wa mzungu wapi wakati hata africa maeneo kama ethiopia na misri zilikuwepo kitambo. Halafu hata kam wazungu wamewahi tumia dini kama muhimili wa kututawala bado sio kigezo cha dini kuwa batili kwani manabii wa uongo wanavotumia dini kujipatia pesa ina maan nd dini batili mbona hushangaiMkuu wewe ni mjapan, mhindi mzungu mkorea ama mwarabu.
Hivi afrika hauna kitabu chetu cha dini
Sasa tukipanick nd inasaidia nini tuombeane tu tukumbushwe na Mungu kuhusu kutodhihaki dini mbona inatoshaUlikuwa unaulazima utaje msahafu, ujinga mwengine muuache, halafu ndio wa mwanzo kuwatlita wenzenu wadini kumbe nyie ndio mnaokufafa kwa hasira za udini
Hizo dawa ni kwa nchi tajwa hapo kwenye box, ikikutwa eneo lingine maana yake imeibiwa. Sawa na kukamata dawa za MSD nchini Kenya, haimaanishi hazitotibu ila hazikuoangwa kuwa uko.Donnie Charlie
Unaelewa maana ya ‘chanjo iliyoharakishwa’? Au unatoa ubongo na kujaza funza kichwani?
Chanjo za surua, polio na zingine nyingi zimekuwapo mida mrefu na tumeweza kujiridhisha nazo, ila hiza za Covid-19 zinaonekana kuwa na agenda nyuma yake, hivyo ni hadi tutakapojiridhisha, na hatujui tutajiridhisha lini
View attachment 1694643
Yule huoni anajiweka wazi wazi kabisa. Machoko hayajifichagi lazima utajua tu kuwa kuna kitu hakipo sawaHivi Yule kenge mtangazaji kumbe anafokolewa??[emoji15][emoji15]
Moja ya mambo yanayoleta utofauti kati ya Donald Trump na huyu American presida wa sasa Joseph Biden ni msimamo katika baadhi ya mambo.
Twende kwa mada;
Masaa machache yaliyopita makamu wa Rais wa marekani mwanamama Kamala Harris, amemwapisha waziri wa usafirishaji na miundombinu nchini humo.
Amemsifia waziri huyo anayesemekana kuwa ni shoga na ambaye wakati wa kuapa kwake alikuwa na mwenza wake aliyemsaidia kubeba msaafu, pia amesema jamaa huyo ndiye atawaleta wamarekani pamoja katika kuimarisha idara hiyo.
[emoji1485]Hapa chini nimekuwekea picha tofauti usome alama za nyakati kwa safari iliyopo mbele kwa taifa hili kubwa kutoa alama hii maridhawa kwa mataifa yanaoendelea.
View attachment 1694413View attachment 1694414View attachment 1694415
[emoji1489]PHOTOS: Maelezo ya picha hizo tatu ni kuapishwa kwa viongozi tofauti wakiwa na familia zao, picha ya kwanza ni mmoja wa mawaziri asiye na mume wala jamaa/ndugu aliyeambatana naye.
[emoji1484]PHOTO: Huyu ndiye waziri wa usafirishaji na miundombinu Pete Buttigieg aliyeapishwa na VP Kamala, inasemekana ni shoga, pembeni ni mpenzi wake aliyeshika msaafu.
View attachment 1694416
Note: The day has come they wanna try it in their government.
You have zero knowledgeDonnie Charlie
Unaelewa maana ya ‘chanjo iliyoharakishwa’? Au unatoa ubongo na kujaza funza kichwani?
Chanjo za surua, polio na zingine nyingi zimekuwapo mida mrefu na tumeweza kujiridhisha nazo, ila hiza za Covid-19 zinaonekana kuwa na agenda nyuma yake, hivyo ni hadi tutakapojiridhisha, na hatujui tutajiridhisha lini
View attachment 1694643