Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Yeye ameweka nadhiri ya kukukula wewe tu
 
Slow down Mkuu, upo race sana, relax.... ngoja niwasiliane na Bhadhuu mwenyewe kwanza, mrejesho nitaleta
 
Kama ndio hivyo basi tuishi na Bunge la Budget kwanza, likishaisha ndio tuendelee na tulipoishia...au unasemaje Mkuu?
Mei mosi shusha mkuu ili tunapopigwa porojo za Increment tuna punguza maumivu hapa
 
BM X6
Ulishawahi kumwuliza caryn kama ana boyfriend/mchumba? Au ushamuona naye?
Kama bado fanya kumwuliza huku umemkazia macho, ile ya u-serious kabisa. Akisema hana mwulize kama ashawahi kuwa naye.
Yeah, nilimuuliza mkuu lakini hiyo part sijaielezea, jibu lake kwa hicho kipindi namuuliza aliniambia alishawahi kuwa nae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…