Wewe fala au ni ubaguzi wa dini. Umeoa dini au mwanamkeLabda kwa kuanza tu niwasalim wote na nawaomba muwe miongoni mwa mtakaookoa nafsi yangu iliyojaa MAUMIVU YASIYO NA KIFANI
NILIANZA KUISHI NA MKE WANGU HUYU 2008 KABLA YA NDOA NA TUKABAHATIKA KUPATA WATOTO WAWILI NA MWAKA 2018 JANUARY TUKAAMUA KUBARIKI NDOA
NA KILICHOKUWA KINACHELEWESHA NDOA ILIKUWA DINI TOFAUTI MIMI NI MKRISTO YEYE NI MWISLAM ILA MWISHO ALIAMUA KUBADILI DINI MWANZONI MWA MWAKA 2009 NA TUKAWA TUNAHUDHURIA IBADA PAMOJA NA WANETU MPAKA January HII NA TUPO MKOA MMOJA LAKINI WILAYA TOFAUTI
POINT YA USHAURI HII HAPA NAOHITAJI KWENU WAUNGWANA
LEO USIKU HUU KANIAMBIA ANARUDIA IMANI YAKE KWA KINA NA ANAHUDHURIA IBADA NA MAADILI YOTE YA IMANI YAKE (Islamic) NA HAKUNA WA KUMRUDISHA NYUMA TENA
ILA PIA ANAKIRI KURUDI KWENYE IMANI YAKE HANA MAANA KWAMBA HANIPENDI ANANIPENDA NA ATAENDELEA KUNIHESHIMU KAMA MUME WAKE NA PIA HATAACHANA NA MIMI LABDA MIMI NITAKAPOAMUA KUMUACHA
NA PIA NAENDELEA KUNIAMBIA AMESHAOMBA TOBA KWA MWENYEZI MUNGU AMSAMEHE MADHAMBI YAKE YOTE ALIYOTENDA KWA KIPINDI CHOTE ALICHIMCHANGANA NABII ISSA NA MUNGU
HAKUCHOKA WALA KUISHIA HAPO ALIENDELEA KUNIAMBIA NIMSAMEHE KWA MAAMUZI HAYO NA MAISHA YAENDELEA KAMA KAWAIDA NA PIA ALIFANYA NDOA KUWEZA KUTURIDHISHA MIMI NA NDUGU ZANGU
JAPO ANASEMA JAMBO HILO ANAAMINI HALIWEZI VUNJA UHUSIANO WETU NA HATA AKIBAKI KATIKA IMANI HII ATAENDELEA KUPRETEND AMBAVYO YEYE HATAKI KUPRITEND NA NILIOGOPA KUKUAMBIA MDA ILA LEO NIMEAMUA KUKUAMBIA TU
NA HAYA YOTE YANATOKEA BAADA YA KUMPELEKA KWENYE SHULE KURISIT MTIHANI WAKE WA KIDATO 4 KATIKA SHULE ZA KISLAM
SASA NAOMBA MNISHAURI NIFANYE NINI KWA KUWA NAONA KAMA MOYO UNATOBOKA SIJAPATA USINGIZI TOKA NILIVYOJARIBU KULALA SAA 2 YA LEO
PILI KIIMANI IKOJE TENA HII NDOA BAADA YA MWENZANGU KUAMUA HIVYO
Je kuna umuhimu wa kuendelea na mipango ya maisha ya pamoja mfano tulikuwa tumenunua viwanja vitatu na kimoja nimeandika jina langu viwili majina ya watoto na pia kiwanja kimojawapo tumeshaanza ujenzi na nilipanga kumalizia nyumba yetu mwezi Wa nne je kuna umuhimu wa kufanya hivyo ??
NB SIKUWEZA KUAMINI YALIYOTOKEA KWA KUWA YEYE ALIBADILI NA KUWA MKISTO BILA KUSHAWISHIWA NA MTU YEYOTE NA KWA KWELI TULIPENDANA NA NAWAPENDA SANA YEYE NA WANANGU
Tulia na mkeoNichukue maamuzi gani mwuungwana nipo na hali mbaya sana hapa
Vipi wewe kila mmoja na imani yake kwani tatizo lipo wapi hapo? Ameoa dini au mwanamke aliezaa nae kabla ya ndoa. M.Y.O.BWHY WASTE YOUR TIME WITH A MERE HYPOCRATE WHO HAS NO LOCUS STADI,SHE IS A HABITUAL LIAR, run for your life sir
Hata mashoga wasagaji wazinifu kama wewe na huyo mkeo mulio zini mkapata "illegitimate kids" pia msimlikuwa mnahudhuria kanisa ni nyumba ya matembezi na unafikiNakuambia amehudhuria kanisani miaka kumi na kubatizwa kabatizwa sasa nashindwa elewa na nimemwuliza uko serious akaniambia hawazi kurudi nyuma coz amepretendi mda mrefu dini ya kweli in uislam pekee hakuna nyinginee
Huyo alitaka ndoa tu, kaipata. Sasa mwambie unaongeza Mke wa pili, dini yake si inaruhusu????😂🤣😂🤣Nakuambia amehudhuria kanisani miaka kumi na kubatizwa kabatizwa sasa nashindwa elewa na nimemwuliza uko serious akaniambia hawazi kurudi nyuma coz amepretendi mda mrefu dini ya kweli in uislam pekee hakuna nyinginee
🙂12Lakini watu wengine nawaambia mimi, wala si Bwana, ya kwamba iwapo ndugu mmoja ana mke asiyeamini, na mke huyo anakubali kukaa naye asimwache.
TakbiiiriiHuyo kwa kuendelea kuishi na wewe kama mke na mume hana Uislam kwani Uislam hauruhusu mwanamke wa Kiislam kuolewa na mwanamme yeyote asiye Muislam.
Hivi shule ya Kiislam ni ipi? Mimi nafahamu shule za Kiislam ni madrasa tu Tanzania hii.
Labda uliposema shule ya Kiislam ulimaanisha shule ya Waislam?
Yana ugumu gani ndugu? Infact mimi ndo ningekua wa kwanza kuafiki yeye kurudi kwenye dini ya wazazi wake ili sasa nipate wasaa wa kuchagua tubinti tubichiiii
Kama ulijua kabla hajabatizwa na kuokoka alikuwa anasumbuliwa na mapepo sana Ila yalikoma soon baada ya yeye mwenyewe kuniambia nimpeleke kanisaniAnarudia mapepo. Ukitaka umkomoe, kila siku sali, piga pambio, ktk Jina la Yesu Kristu kila siku, asubuhi mchana na usiku, lazima atakukimbia kwa sababu mapepo ya hiyo dini yanamfahamu Yesu Kristu, ila inabidi uwe msafi, no pombe, no mchepuko, otherwise utakufa maana mapepo yanajua usafi wa mhusika
Anadai hataki tuachane na bado ananipenda ila kama Mimi nitaamuahapo umestuck,ila kila jambo Lina namna ya utatuzi wake...utoke kwa reverse ama uvutwe kwa mbele
~chanzo cha yote in ile kumpeleka shule;kama bado anasoma hapo mhamishe tena Mara moja na kwa haraka:hapo analishwa sumu itakayowadhuru nyote
~Sikushauri kamwe muachane,HAWA akina HAWA inabidi kuishi nao kwa maarifa.Dini isikuvuruge,kwanza zimeletwa na meli..
*umemgusia kuachana na akakujibuje
Tuseme amerudi kule kule kwenye mapepo. Aisee poleKama ulijua kabla hajabatizwa na kuokoka alikuwa anasumbuliwa na mapepo sana Ila yalikoma soon baada ya yeye mwenyewe kuniambia nimpeleke kanisani
Unaisi mlezi wa kiroho atamwambia nn zaidi ya kumwambia atafute wa dini yake bora atafute mtu mzm mwenye busara viongozi wa dini wote wanafkiMkuu unakuja huku kuomba msaada... Nenda kwa mlezi wako Wa kiroho kamwambie habari hizi yeye ndiye atakayekwambia kama ndoa ipo au haipo....
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuseme amerudi kule kule kwenye mapepo. Aisee poleKama ulijua kabla hajabatizwa na kuokoka alikuwa anasumbuliwa na mapepo sana Ila yalikoma soon baada ya yeye mwenyewe kuniambia nimpeleke kanisani