Hatma ya ndoa yangu leo usiku imekuwa hatari kwa maisha yangu

Hatma ya ndoa yangu leo usiku imekuwa hatari kwa maisha yangu

Ulipochemka ni kumpeleka kwenye shule ya kiislamu. Hapo kaanza kupigwa msasa wa dini upyaaaaaaaaa. Ulianzaje kumpeleka hapo bro sasa? Anyway ndo ishakuwa. Ila anaposema labda umeache wewe hapo napo kuwa macho. Cha kufanya sasa tuliza mpira kabisaa. Hizi dini tumezikuta zisituletee shida. Kwani ungezaliwa SaudArabia hata wewe ungekuwa muislam. Muache tu maisha yaendelee majibu utayapata kama kuna ustaz kampata anamtaka Muda utakupa majibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sababu za kuvunjika Ndoa kisheria ni:

1. Kifo
2.Mwanandoa mmoja kubadili dini
3. Kukosa uaminifu kwenye ndoa

Angalia sababu hizo na chambua yako iko wapi hapo.

Pia mkeo siyo Muislamu wa kweli kwa sababu akirudi kwenye Uislamu huku akiendelea kuishi na wewe maana yake mtakuwa mnaishi bila ndoa Rasmi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Saw aa nashukuru naendelea kutafakari kwa upole sana
usifanye maamuzi yoyote ukiwa na hasira au hamaki.

Mbona kuna watu wameoana ndoa za bomani wakati mmoja ni mkristo na mwingine muislam na wanaishi vizuri tu?
 
Pointi ya muhimu niliyoona ni wewe kupeleka shule ambayo imani yake ya awali ilipo.
Kusema kirahisi uachane naye sio suluhisho. Buy sometimes uone huo msimamo wake.
Mkiachana na watoto wanakuwa katika hali gani? Yeye anabaki nao au wewe unabaki nao? Wewe msimamo wako ukoje juu ya imani ya watoto wako?
Kama unaweza kumshawishi arejee kwenye imani yako utakuwa ushindi lakini kama huwezi mambo ya imani yatawaweka katika wakati mgumu sana kwa kila hatua mnayofanya.
 
N
Pointi ya muhimu niliyoona ni wewe kupeleka shule ambayo imani yake ya awali ilipo.
Kusema kirahisi uachane naye sio suluhisho. Buy sometimes uone huo msimamo wake.
Mkiachana na watoto wanakuwa katika hali gani? Yeye anabaki nao au wewe unabaki nao? Wewe msimamo wako ukoje juu ya imani ya watoto wako?
Kama unaweza kumshawishi arejee kwenye imani yako utakuwa ushindi lakini kama huwezi mambo ya imani yatawaweka katika wakati mgumu sana kwa kila hatua mnayofanya.
Nakushukuru sana na nitalifanyia kazi na nimeona point yako muhimu
 
Barikiwa
KAMA KWEilUMEIVA KIIMANI/KIROHO HAPO NI PA KUFANYIA MAAMUZI MAGUMU.

MFANO:

SAMSONI NA DELILA KUFIKIA CHANZO HADI SAMSONI ALIMSALITI MUNGU NI HUKO HUKO KUTOFAUTIANA KIIMANI.

DELILA ALIKUWA AKIABUDU MIUNGU WATU HUKU KWAO SAMSONI WALIKUWA WAKIMUABUDU MUNGU MUUMBA MBINGU NA ARDHI.

WAZAZI WAKE SAMSONI WALIMKATAZA SANA SAMSONI ASIJIHUSISHE NA DELILA KIMAHUSIANO SABABU HAWAKO SAWA KIIMANI, LAKINI SAMSONI ALISHUPAZA SHINGO HATIMAYE YALIMKUTA MATOKEO MABAYA AMBAYO HAKUYATEGEMEA KABISA KWA KUGUNDULIKA KWA SIRI YA NGUVU ZAKE NA KUTOBOLEWA MACHO.

NB:

"MSIFUNGIWE NIRA NA WASIOAMINI, HIZI IMANI ZINA SIRI NZITO SANA MPENDWA, NI WAKATI WAKO KUONESHA MSIMAMO KATI YA MKEO NA MUNGU YUPI NI BORA HASA KWAKO."

MUHIMU KATIKA VYOTE, JITAHIDI KUMSHIRIKISHA SANA MUNGU KTK HII CHANGAMOTO YAKO AKUPE HEKIMA KABLA HUJAFANYA MAAMUZI SAHIHI.

KILA LA HERI KAKA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Barikiwa mtumishi Wa Mungu nimekuelewa ila mpaka sasa sijajua cha kufanya
 
Hapo subiri tu kukwambia kuwa hataweza kuendelea kuishi na kafiri.
Muda sio mwingi atakupa 2 options, wewe ubadili dini na uswali au kila mtu ashike 50 zake.
Trust me, Mimi ni mwanasaikolojia wa mahusiano
Pole
 
Labda kwa kuanza tu niwasalim wote na nawaomba muwe miongoni mwa mtakaookoa nafsi yangu iliyojaa MAUMIVU YASIYO NA KIFANI

NILIANZA KUISHI NA MKE WANGU HUYU 2008 KABLA YA NDOA NA TUKABAHATIKA KUPATA WATOTO WAWILI NA MWAKA 2018 JANUARY TUKAAMUA KUBARIKI NDOA

NA KILICHOKUWA KINACHELEWESHA NDOA ILIKUWA DINI TOFAUTI MIMI NI MKRISTO YEYE NI MWISLAM ILA MWISHO ALIAMUA KUBADILI DINI MWANZONI MWA MWAKA 2009 NA TUKAWA TUNAHUDHURIA IBADA PAMOJA NA WANETU MPAKA January HII NA TUPO MKOA MMOJA LAKINI WILAYA TOFAUTI

POINT YA USHAURI HII HAPA NAOHITAJI KWENU WAUNGWANA
LEO USIKU HUU KANIAMBIA ANARUDIA IMANI YAKE KWA KINA NA ANAHUDHURIA IBADA NA MAADILI YOTE YA IMANI YAKE (Islamic) NA HAKUNA WA KUMRUDISHA NYUMA TENA

ILA PIA ANAKIRI KURUDI KWENYE IMANI YAKE HANA MAANA KWAMBA HANIPENDI ANANIPENDA NA ATAENDELEA KUNIHESHIMU KAMA MUME WAKE NA PIA HATAACHANA NA MIMI LABDA MIMI NITAKAPOAMUA KUMUACHA

NA PIA NAENDELEA KUNIAMBIA AMESHAOMBA TOBA KWA MWENYEZI MUNGU AMSAMEHE MADHAMBI YAKE YOTE ALIYOTENDA KWA KIPINDI CHOTE ALICHIMCHANGANA NABII ISSA NA MUNGU

HAKUCHOKA WALA KUISHIA HAPO ALIENDELEA KUNIAMBIA NIMSAMEHE KWA MAAMUZI HAYO NA MAISHA YAENDELEA KAMA KAWAIDA NA PIA ALIFANYA NDOA KUWEZA KUTURIDHISHA MIMI NA NDUGU ZANGU

JAPO ANASEMA JAMBO HILO ANAAMINI HALIWEZI VUNJA UHUSIANO WETU NA HATA AKIBAKI KATIKA IMANI HII ATAENDELEA KUPRETEND AMBAVYO YEYE HATAKI KUPRITEND NA NILIOGOPA KUKUAMBIA MDA ILA LEO NIMEAMUA KUKUAMBIA TU

NA HAYA YOTE YANATOKEA BAADA YA KUMPELEKA KWENYE SHULE KURISIT MTIHANI WAKE WA KIDATO 4 KATIKA SHULE ZA KISLAM

SASA NAOMBA MNISHAURI NIFANYE NINI KWA KUWA NAONA KAMA MOYO UNATOBOKA SIJAPATA USINGIZI TOKA NILIVYOJARIBU KULALA SAA 2 YA LEO

PILI KIIMANI IKOJE TENA HII NDOA BAADA YA MWENZANGU KUAMUA HIVYO

Je kuna umuhimu wa kuendelea na mipango ya maisha ya pamoja mfano tulikuwa tumenunua viwanja vitatu na kimoja nimeandika jina langu viwili majina ya watoto na pia kiwanja kimojawapo tumeshaanza ujenzi na nilipanga kumalizia nyumba yetu mwezi Wa nne je kuna umuhimu wa kufanya hivyo ??

NB SIKUWEZA KUAMINI YALIYOTOKEA KWA KUWA YEYE ALIBADILI NA KUWA MKISTO BILA KUSHAWISHIWA NA MTU YEYOTE NA KWA KWELI TULIPENDANA NA NAWAPENDA SANA YEYE NA WANANGU

MBONA HIYO NI SAWA, ULIFIKIRI ALIBADILIKA? WEWE ULIOA MUISLAM
 
Ndugu, ukiacha uishi nae ndani wakati yeye muislam ww mkristo kunamambo yatakuja kwenye iyo family yako hadi utajuta kuzaliwa/kuoa.
Maana milango itakua wazi kupitia yeye.
anatakiwa kuchagua either kukutii au kuendelea na imani yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thank God umeona hili. Utakuta mtu kajikariria Qur'an kichwani na kuvaa maturubai juu ya kichwa huku kapaka hina ndevu zake kujifananisha na mwarab na hata kiswahili anaongea kwa kujifanya yeye ni mwarab, cha kushangaza hajuwi chochote kuhusu historia ya hiyo dini, yeye kakariri tu.
dini zote ni uongo mtupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anarudia mapepo. Ukitaka umkomoe, kila siku sali, piga pambio, ktk Jina la Yesu Kristu kila siku, asubuhi mchana na usiku, lazima atakukimbia kwa sababu mapepo ya hiyo dini yanamfahamu Yesu Kristu, ila inabidi uwe msafi, no pombe, no mchepuko, otherwise utakufa maana mapepo yanajua usafi wa mhusika
Asantee boss
 
Back
Top Bottom