Hawa Feminist walipofikia ni pabaya sasa

Wanawake watakaosikiliza ushauri huu na kuufanyia kazi tutakutana nao kwenye vilabu vya piwa huku chupi zikiwa zinaanguka zenyewe kwa kushindwa kubana viunoni.

Huyu mwehu hatopingwa na wanaume ila atalaaniwa na wanawake wenzake😁😁
 
Yaani wewe kuzaa unaona kama ni mateso?

Utakuwa una shida mahala.

Wake zetu wakizaa ni full furaha tunawachinjia hadi Mbuzi wewe unaona Kero?
 
Wanawake watakaosikiliza ushauri huu na kuufanyia kazi tutakutana nao kwenye vilabu vya piwa huku chupi zikiwa zinaanguka zenyewe kwa kushindwa kubana viunoni.

Huyu mwehu hatopingwa na wanaume ila atalaaniwa na wanawake wenzake😁😁
Alikuwa kalewa. Hawa waliokosa malezi kwa Wazazi wao ni shida.
 
Hapo kwenye bold, mwanaume anahusika vipi? Yeye ndie aliyeamua mwanamke abebe mimba tena kwa mahangaiko?
 
Jw huyo ameolewa?,na kama ameolewa analipwa na mumewe?,na usikute kuna wanawake wanaamini anachosema
 
Elon Musk atawaletea robot ndume ili shida hizi zipungue kabisa!!
 
Hapo kwenye bold, mwanaume anahusika vipi? Yeye ndie aliyeamua mwanamke abebe mimba tena kwa mahangaiko?
Ni mume wangu he hatohitaji mtoto mkuu,sawa ni nature me zile shida ninazopata kukupatia uzao wako huwez kuwa na moyo wa huruma zaidi ya dharau....tuwafikirie na wazazi wetu kabla hatujawadharau wanawake wote duniani
 
Hivi si kuna ile teknolojia ya ku-trans gender, si wanawake wafanyie tu ili wawe wanaume, ingawaje itakuwa wanaume fake, na labda ndio maana hawaichangamkii baada ya kutambua hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…