dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
wajinga pekee, ndiyo wanaooaNdoa sio lazima Ivo yani,maana mambo yanazidi kuwa mengi: mwanamke alipweashahara,mara ndoa ikivunjika mwanamke apewe nusu ya Mali yote iliyochumwa atakama hakushiriki kutafuta ila tu kwakuwa uliishi nae kinyumba,mara mke ni msaidizi WA mwanaume lakini hapohapo apewe mshahara,mara mke Naye harusiwe akafanye kazi huko maofisini n.k
.NDOA sio lazima bhana huitaki achana nayo waachie wanao iweza, makelele tu Kila siku ya Hawa wanaharakati uchurwa
Hivi kwenye suala la ndoa ni nani anamhitaji mwenzake zaidi?Kuna mtu kaandika huko:
"Moja ya ukatili ambao Wanawake wanafanyiwa ni kufanyishwa kazi majumbani bila kulipwa, kiuhalisia mwanamke anapofanya kazi za nyumbani lazima alipwe, kwasababu hujamuoa awe house girl wako.
Yule ni mke wako ambaye umemuoa kwa malengo maalumu na siyo ya kufanya kazi za nyumbani"
Sisi kama wanaharakati tupo kwenye mchakato kuhakikisha ule muda ambao mwanamke anautumia kufanya kazi za nyumbani uwe na manufaa kwake, alipwe na mume wake"- Shamira Mshangama, Mwanaharakati.
JE HII NI HAKI?
Mshangama....atakuwa comorian huyu. Jamaa yangu lkn siungi mkono hoja yake"Moja ya ukatili ambao wanawake wanafanyiwa ni kufanyishwa kazi majumbani bila kulipwa, kiuhalisia mwanamke anapofanya kazi za nyumbani lazima alipwe, kwasababu hujamuoa awe house girl wako, yule ni mke wako ambaye umemuoa kwa malengo maalumu na siyo ya kufanya kazi za nyumbani."
"Sisi kama wanaharakati tupo kwenye mchakato kuhakikisha ule muda ambao mwanamke anautumia kufanya kazi za nyumbani uwe na manufaa kwake, alipwe na mume wake."- Shamira Mshangama, Mwanaharakati.
Wamefikia stage mbaya sana aloo.
[emoji174][emoji23][emoji23]View attachment 2713479
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hili nalo neno...huku mtandaoni ukibeba kila jambo itakula kwako wewe peke yakoUnaeza kuta kenyewe huko kwake ni katiifu balaa.
Magoti mengi mixa heshima debe.
Lakn akija huku mtandaoni anajifanya supawumani.
Wanawake kaeni chonjo, kikiumana kwenye ndoa zenu mkabaki mnatangatanga hawa wasenzi wanaowashauri hata DM hawatajibu na bloku mtakula
"hapo zamani, hapo zamani" [emoji445]Hapo zamani mambo hayakuwa hivi ila kuiga western culture imefanya yawe hivi. Ukitaka ku prove hilo angalia role za wenzi ambao wapo kwenye ndoa kongwe mtaani kwako.
ilibaki kidogo yale mambo yaanze kushikiwa bango kama haya ya haki sawa ila naona yamekutana na resistance ya maana.
Hatuna house girl,shughuli za mwanamke atafanya yeye na za mwanaume nitafanya mimi...Wengi hamjaelewa hapo kuna hali kadhaa zinatokea.
Mwanamke aliyeolewa akiwa hana kazi kabisa ,huyu kufanya kazi hata yeye ataona ni sawa kwa vile hawezi kukaa tu bila ya kazi utakuta anajishughulisha wengine kufua kila baada ya siku kadhaa ,mara kupika,kufagia uwanja yaani binafsi ni asili ya binadamu kujishughulisha ili mwili ukae sawa.
Tuje fungu la utandawazi hawa wale wanaofanya kazi kwa wale walioa watumishi ,mke anatoka nyumba saa 2 asubuhi anarudi jioni hapo nyumbani nan atapika ,atafagia asubuhi na mchana? huoni hapa kiuhalisia unatafuta mfanyakazi ili umlipe kwa shughuli hizo ambazo angefanya mke....Sasa mnakataa maneno hayo wakati ndo yale yale tu kawaida.
Tupo karne ya 21 wewe unatuletea mawazo ya karne ya 1.... eti majukumu ya Mwanamke ni nyumbani na kuwajibika kwa mumewe pekee,Tangu kuumbwa kwa ulimwengu kazi ya mwanamke ni KUZAA na KULEA TU. Majukumu sahihi ya mwanamke ni nyumbani na kuwajibika kwa mumewe PEKEE. hayo majukumu mengine mnayojivisha ndio chanzo cha migogoro na shida nyingi za kifamilia duniani na ndio matokeo ya familia za ovyo na vizazi vya ajabu ajabu.
Mungu hakuwa mjinga kwenye ugawaji wa majukumu kwa mwanamke na mwanaume.
Nature haidanganyi wala haina mabadiliko ya karne.Tupo karne ya 21 wewe unatuletea mawazo ya karne ya 1.... eti majukumu ya Mwanamke ni nyumbani na kuwajibika kwa mumewe pekee,
Amka usingizini, Dunia imedevelop.
Hivi housegirl mbona unamlipa mshahara na anakula kwako, analala kwako, halipi kodi na akiugua unamhudumia, sembuse mke ambaye anakupa na papuchi ya bure kila siku?Nikishamlipa mshahara kwa kazi anayofanya, napendekeza yafuatayo:-
1. Asiwe na haki ya umiliki wa Mali zangu,
2. Alipie kodi ya pango anapoishi
3. Ajihudumie mavazi na huduma za Afya.
4. Mimi nitahudumia watoto tu
Inapaswa tutambue ndani ya hii Dunia Kuna wanawake ambao ni kama gazeti kazi yako ni kulisoma tuu hrf wajinga ndio wanafungia chapati!Haha imagine icho kipele ndo mkeo haki unakufa ndani ya wiki.
Well said ππππ.Nani achanganyikiwe...labda kama ubongo wa mtu anaejisikia kuchanganyikiwa ni empty set. Hivi hili ni jambo la kudebate kweli? Ukute huyo Shamira hafanyi haya anayoyasema katika jamii. Wanaune wakipinga mahari, wanawake tunasema ni mila na tamaduni za kiAfrica, saivi tunazikataa tena mila zetu. I guess she is chasing clout au ndo donors wa organization yake wamempa hizi terms kwamba awe feminist wa mchongo..it actually doesnt suit her ππ.
Haya mambo ya gender nyee..gender nyaa yanatuharibu kwa speed ya 5G. Mbaya zaidi kuna gen Z wakikutana na such content, wanaicopy na kwenda kuipaste kwenye familia zao zijazo. Misingi ya kiAfrica iheshimiwe maana inapass on value kubwa sana kwetu. Binti asomeshwe sawa. Lakini hata akipata kazi, ajue primary purpose yake hapa duniani ni kulea familia na kurithisha mema kwa kizazi chake.
Sipendelei kushindana na wanaume kufanya kazi mpaka saa mbili usiku ndo nitoke kazini, ili nisecure promotion..mwisho wa siku watoto ninaowapambania wanakuja kunifurahisha..show show..afu nakimbilia kwa Mwamposa kubeba mafuta ili mapepo yawatoke..hata shetani atasema dada nikome..umeyachuma mwenyewe. Family (incase umepata hii nafasi) inatakiwa ibebe 70% of your time, Career 30%. Naona hii ni balance moja nzuri, unless otherwise.. alijisemeaga The Boss, unaishia kuwa corporate slut..raha iko wapi kwenye ubatili huu??
Wataounga mkono wengi wa wanawake ni wavivu lkn kama umezoea kufanya kazi za ndani kama hobby unaona kawaida tu. Kwanza mwanamke ukifanya yote hayo unalipwa thawabu and to me that credit is more valuable than kulipwa pesaNani achanganyikiwe...labda kama ubongo wa mtu anaejisikia kuchanganyikiwa ni empty set. Hivi hili ni jambo la kudebate kweli? Ukute huyo Shamira hafanyi haya anayoyasema katika jamii. Wanaune wakipinga mahari, wanawake tunasema ni mila na tamaduni za kiAfrica, saivi tunazikataa tena mila zetu. I guess she is chasing clout au ndo donors wa organization yake wamempa hizi terms kwamba awe feminist wa mchongo..it actually doesnt suit her ππ.
Haya mambo ya gender nyee..gender nyaa yanatuharibu kwa speed ya 5G. Mbaya zaidi kuna gen Z wakikutana na such content, wanaicopy na kwenda kuipaste kwenye familia zao zijazo. Misingi ya kiAfrica iheshimiwe maana inapass on value kubwa sana kwetu. Binti asomeshwe sawa. Lakini hata akipata kazi, ajue primary purpose yake hapa duniani ni kulea familia na kurithisha mema kwa kizazi chake.
Sipendelei kushindana na wanaume kufanya kazi mpaka saa mbili usiku ndo nitoke kazini, ili nisecure promotion..mwisho wa siku watoto ninaowapambania wanakuja kunifurahisha..show show..afu nakimbilia kwa Mwamposa kubeba mafuta ili mapepo yawatoke..hata shetani atasema dada nikome..umeyachuma mwenyewe. Family (incase umepata hii nafasi) inatakiwa ibebe 70% of your time, Career 30%. Naona hii ni balance moja nzuri, unless otherwise.. alijisemeaga The Boss, unaishia kuwa corporate slut..raha iko wapi kwenye ubatili huu??