Hawa jamaa ni wanazi wa Ali Kiba?

Acha zako ww kama ww hupendi basi wengi wamependa kama vipi kunywa maji bhana Siku ukiona wanamuongelea alikiba badili channel au zima TV yako maana umenunua mwenyewe hulazimishwi kuangalia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha zako ww kama ww hupendi basi wengi wamependa kama vipi kunywa maji bhana Siku ukiona wanamuongelea alikiba badili channel au zima TV yako maana umenunua mwenyewe hulazimishwi kuangalia

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha! Huku tulipofika kubaya,yani watu wanafikia hatua hadi ya kutaka washindani wao wabaniwe promo na kupewa moyo,ila wapewe wao tu.
 
Tatizo unausikilza kwenye headphones za kichina! Hahahahaha
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huu mchezo hauhitaji hasiraa
Seduce meeee!!!haijawahi kumuacha mtu salama
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wavumilie tuuu, na hivyo nyimbo za King hazichujagi!! Wachuke viti wakae.
 
Hivi na siku ile diamond alivyopewa mualiko na kina bebikabae asubuhi,na rais mpendwa akapiga simu na kuzungumza nao,hakukuwa na mambo mengi ya kuzungumzia yanayogusa maslahi ya nchi?
Rais alimpongeza kwa sababu Mondi anapeperusha bendera ya nchi ,hakupiga simu na kuanza kusifia wimbo flani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo mengi yaliyokuwa yanafusa maudhui ya kipindi,suala la kusifia wimbo halikuendana na maudhui ya kipindi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanajitekenya na kucheka wenyewe! [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hahahahaha! Tatizo wanawivu uliopitiliza.sasa naanza kuamini na lile swala la kuzimiwa mic Mombasa,yaweza kuwa kweli.maana kiba alivyokuwa analalamika sikuamini hata kidgo kuwa yawezekana kweli.kumbe hii team mond ina husda sana,wanataka kila kitu wawe wao tu.
 
Waugue pole tu, seduce me ndio ishashika hivyo! Labda wazime mitandao na redio zote sasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…