Hawa jamaa wa Iringa chini ya Producer Ambha walitisha sana

Hawa jamaa wa Iringa chini ya Producer Ambha walitisha sana

Nyimbo nyingi zenye auto-tune zilikuwa kali sana, Mfano ile ya P-Funk haya yote ni maisha na Roho Saban nakupenda HipHop​
Acha kabisa ile ngoma yangu pendwa. Nashukuru ferouz alileta maringo maana ndiye ilikuwa aimbe chorus ikabidi majani akae mwenyewe na nadhani alifanya kitu bora kuliko ambavyo angefanya ferouz.
Kuna na ile ngoma ya wachuja nafaka, ya leo kali ile sehemu ya bridge na intro pale inasema. Ya leo kali ya leo kaliii
 
Acha kabisa ile ngoma yangu pendwa. Nashukuru ferouz alileta maringo maana ndiye ilikuwa aimbe chorus ikabidi majani akae mwenyewe na nadhani alifanya kitu bora kuliko ambavyo angefanya ferouz.
Kuna na ile ngoma ya wachuja nafaka, ya leo kali ile sehemu ya bridge na intro pale inasema. Ya leo kali ya leo kaliii
Hivi ilibidi aimbe Ferouz, aheri hakuimba. Halafu kuna ngoma moja ya Pasu kwa Pasu (PKP) waliimba na mtu ana kisauti kidogo hivi, naitafuta sanaaa.​
 
Walikuwa na binti fulani alikuwa ana sauti nzuri kwenye show yao, alikuwa kama dj fetty wao.
Aisee muda unakimbia kipindi hicho nasoma nsumba mwanza A level miaka ya 2007-2009 now naelekea uzee
Kalikuwa kanapenda kucheka sana kale kamanzi. Ila Kiss sijui walikwama wapi, hakuna Media hapa TZ walikuwa wanagusa ule moto​
 
Back
Top Bottom