Hawa jamaa wa Iringa chini ya Producer Ambha walitisha sana

Studio zilikuwa zinatengeneza pesa kwa matangazo.
 
Yaki namuheshimu sana, enzi anakuja Tosa kwa mdogo wake kwenye graduu na aliwahi kuimba shoo moja nakumbuka.

Oya,
 
ya leo kali kunguru kanyea ugali masela wana njaa kali wakatoa macho utafkiri wamepoteza nauli na ukicheka t utakua umewauzi..unajifanya unasoma unasoma unasoma chekea primary sec ujawai kupata vema...
 
Mkuu, sio kwamba hao kina P Funk na MJ walimsagia kunguni Mikka kuhusiana na working permits nk ndio ikamlazimu kuondoka hapa nchini? Maana huyu si alikuwa ni mwajiriwa wa FM studio za Felician Muta? Means alikuwa na aina ya ujira hivi..
hii ndo sababu ambayo wat wengi hawataki kuiongea..mika ndo best to ever do it hapa bongo..
jamaa waliona threat yake na kuondoka hapa bongo ni figisu tu
 
Wanaonekana ni makatili sana kwa mbwa wa watu mitaani....!
 
Amba alitengeneza ngoma nyingi na ngoma nyingine ni maneno nawafunza ya Temba, ila hasa wengi tulimfahamu kupitia ngoma za Yaki na Roho Saba
Yeah! Beat kali sana,Temba mwenyewe alikuwa na hasira sana kipindi hicho,aliandika verse kali sana mule
 
πŸ˜‚πŸ˜‚
Tonight ya Yaki niliisahau kabisa. Hebu weka namba yako hapa nikutumie hata vocha, Umenikumbusha mbali mno.​
πŸ˜‚πŸ˜‚ mie sikuwahi kujua kama huo wimbo upo Duniani, nimefungua huu uzi nipo Club, imebidi nitoke nje kuusikiliza huu wimbo, nilikuwa naupenda sana aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…