Hawa ndio members wenye mchango mkubwa hapa JF mwaka 2024

πŸ™„πŸ™„πŸ™„ Mbona mimi mzee wa CCM NI MAπŸ’©πŸ’©πŸ’© sipo πŸ™„πŸ™„πŸ™„
 
Sema mi nna uafadhali kidogo.,.... maumivu unayoyapitia ww Kwa Simba ....ni makali mno[emoji23][emoji23]
Usiusemee moyo dogo...kwanza Simba mbona raha tuu maumivu gani sasa unayoyasemea wewe...mpira ndivyo ulivyo au unataka tuwe kileleni wote..hebu niache kwanza uendelee na utafiti wako....utopolo wa head..
By the way asante kwa kunikumbuka na ku ni love...😊😊😊😊😊😊
 
Tulikubaliana utanipa mdg ako.,...

So lazima nkukumbuke always [emoji23]
 
Unatukana state
Kwani mpumbavu kuitwa mpumbavu ni tusi kama ni hivyo basi hata huyo mungu wenu mnaye muamini utukana siku zote... trump alisema africa ni shit hole ...nyerere alisema kuna wanasiasa malaya malaya kina saa mia moja
Mwingine kasema watanzania ni mambwa tu mnambwekea ...sasa kipi ni kipi .....Mungu wa wakristo kasema ni mpumbavu yeye asemaye hakuna mungu.πŸ™„πŸ™„πŸ™„
 
Aaaww Ahsante sana enzo1988 πŸ₯° Barikiwa sana. Sorry kwa hili swali, wewe ni me or ke?
Pokea pia maua yako, huna baya.
 
[emoji125][emoji125]
 
Hawa madogo wa uto siku litim lao likikata upepo watahama humu🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…