Kool the gang
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 497
- 1,465
Kulikuwa na msela anaitwa Deception way back alikuwa na falsafa yake ya kuwa ukimwi ni kitu ambacho hakipo na threads nyingi za ukimwi Jamaa ilikuwa ni lazima achangie. Sijui jamaa alienda wapi ?Taja wengine wenye Ligi zao humu yaani ukizungumzia Jambo Fulani lazima aje kulitetea au kuliponda Kwa nguvu zote na mtakesha humu, ikiwezekana wapo tayari kupigwa Ban lakini sio kushindwa vita.
Bado hujaediti vizuri. Popoma KUUNgoja nihariri, nilimaanisha popoma
ni wenzetu poa sana ila ndio kama ulivyoandika madish yao yatategemea yamegeukia wapiHao Watu ukiwataja uwe umejipanga wao uwataje vizuri au vibaya wao watakujibu kulingana na dish Lao lilipogeukia
dr namugari, Nyonzo bin mvule, kwisha & King Kong III hawa majembe ni moto wakuotea mbali mara nyingi naona hawafungamani na upande wowote mawazo yao ni very positive sometimes...
Pamoja mkuu!Thanks Mkuu Brian.
😘😘😘😘!Unique Flower ,Lovelovie To yeye,Joannah Antonnia Nakadori .
mzabzab mpwayungu village Hawa kwangu wapo poa
Ni mmoja huyo ila anakuja kwa ID tofauti tofautiNamba 9 unamaanisha GENTAMYCIME au GENTAMYCINE?