Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23] yaani leo wangekomaHunizidi mimi kweli maombi yanazidi laana..
Hahahahahaha wameomba sana hawa uto leo
Na tungekoma kweli, Mungu alikuwa upande wetu kusema tu ukweli.[emoji23][emoji23] yaani leo wangekoma
Wewe ni mwalimuMimi sio mwalimu mkuu tafadhari nitake radhi, siwezi kuwa sehem ya laana
Sio Behaviourist?
Mkwepu Jr. Hana khiana kwenye kutoa likeUmemsahau mkwepu jr
Ni wote mkuu. Huyu nilimsahau!Sio Behaviourist?
Ni Melki the StorytellerFalsafa ya michepuko hujawahi izingatia najua ukisema michepuko unamuongelea nani
Huyo siye unamjua DeepPond ?
Umesahau johnthebaptist na jukwaa lake la siasaKwenye siasa kuna johnthebaddest na Lucas mwashambwa hawa ni watetezi nguli wa ccm usiiseme ni ccm vibaya watakuja lkn upande wa pili kuna OKW BOBAN SUNZU, Sky Eclat, Salary Slip dah na mwingine sijui nani jina lake la dawa hivi sijui encr... linashinda hao na chadema chupi na tako wao ndo wazee wa kumponda magu na sukuma gang kwenye sports aisee Labani og humwambii kuhusu yanga
Yupo anapita kimya kimyaHilo genge linaongozwa na Rikiboy, zero IQ, mzabzab,
Ingawaje Rikiboy siku hizi ATI amekua mkubwa simuoni oni kwenye hizo mishe,😀
Karibu sanaNimetoka jela wakuu😄
Noma sana mrangi town zote anazinyakaMrangi- Mzee wa Mastory ya town..chocho zote anazijua
Bujubuji-na Mbeya yake
😁😁😁aisee
- JF ni mfano hai wa Jamii ya Mitandaoni (Online Community).
- Kila jukwaa lina vinara wake na wanajuana, wanajulikana.
- Gharama ya bando, na sheria ndio inatishia ustawi wa jamii hiyo.
Mwamba umekariri ID za watu wa humu!! Wewe ni noma.
Huyo mtu anajiita rakims ni mshirikina wa kutupa, anakwambia tamka maneno fulan bila kukwambia maana yake mwisho wa siku vibwengo na majini machafu yanakuwa yako.
Nani kati ya hao kaku nunulia vocher