Hawa ndio Wana JF wenye Ligi na wenye falsafa zao humu ndani

Hawa ndio Wana JF wenye Ligi na wenye falsafa zao humu ndani

Mwamba umekariri ID za watu wa humu!! Wewe ni noma.

Huyo mtu anajiita rakims ni mshirikina wa kutupa, anakwambia tamka maneno fulan bila kukwambia maana yake mwisho wa siku vibwengo na majini machafu yanakuwa yako.

😂😂😂
JF nimeanza kuipitia nikiwa Kidato cha tatu Huko miaka ya 2010 hivyo ninauzoefu nayo Kwa kuwasoma Watu humu.
Kuanzia miaka ya 2015 Vijana WA matusi walianza Rasmi
 
Back
Top Bottom