To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
AmiinAsante sana love😘😘😘😘.
Ww pia hongera kwa kua dada mzuri kwangu😘😘😘❤️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmiinAsante sana love😘😘😘😘.
Ww pia hongera kwa kua dada mzuri kwangu😘😘😘❤️
Hata mimi nimeanza kusoma humu JF toka nipo secondary ila nilikua nasoma tu thread bila kujiunga ila nawafahamu wachache sana. Me huwa nasoma uzi na mara chache kuangalia aliyeuleta huo uzi[emoji23][emoji23][emoji23]
JF nimeanza kuipitia nikiwa Kidato cha tatu Huko miaka ya 2010 hivyo ninauzoefu nayo Kwa kuwasoma Watu humu.
Kuanzia miaka ya 2015 Vijana WA matusi walianza Rasmi
Ligi kama Ligi😀
Hata mimi nimeanza kusoma humu JF toka nipo secondary ila nilikua nasoma tu thread bila kujiunga ila nawafahamu wachache sana. Me huwa nasoma uzi na mara chache kuangalia aliyeuleta huo uzi
Kuna mwamba mmoja yeye falsafa yake ilikua ni kugonga likes tu.
Yeye hana haja ya kujua umeandika nini ukicomenti tu LIKE yake unayo
Tupo pamoja na wawakilishi wetuWamama wa Ligi mmeshawasili au mmetuma Wawakilishi?
Mkuu nimekupata vizuri 💪dr namugari, Nyonzo bin mvule, kwisha & King Kong III hawa majembe ni moto wakuotea mbali mara nyingi naona hawafungamani na upande wowote mawazo yao ni very positive sometimes...
Kwelidronedrake
Mwamba anatisha sana na Falsafa yake inayowasaidia vijana wasipate Gonorrhea na Syphils mbupu zikakatika pamoja na kuwa safi kiuchumi..
Ushaijua hiyo falsafa?..Let me know
gily kataa ndoa
unampata nini ameweka mdoli wenye pua ndefu kama mxungu[emoji3][emoji3]
Mimi kwenye Hiyo list ume lost mkuu labda johnthebaddest mwingineKwenye siasa kuna johnthebaddest na Lucas mwashambwa hawa ni watetezi nguli wa ccm usiiseme ni ccm vibaya watakuja lkn upande wa pili kuna OKW BOBAN SUNZU, Sky Eclat, Salary Slip dah na mwingine sijui nani jina lake la dawa hivi sijui encr... linashinda hao na chadema chupi na tako wao ndo wazee wa kumponda magu na sukuma gang kwenye sports aisee Labani og humwambii kuhusu yanga
Huyo ni mkwepu jrKuna mwamba mmoja yeye falsafa yake ilikua ni kugonga likes tu.
Yeye hana haja ya kujua umeandika nini ukicomenti tu LIKE yake unayo
Mkuu nilikosea hapo nilimaanisha johnthebaptist yaani yohana mbatizaji ikaja hiyo ya kwako ngoja nifanye editing kwenye hiyo commentMimi kwenye Hiyo list ume lost mkuu labda johnthebaddest mwingine
Sawa kiongozi tuko pamojMkuu nilikosea hapo nilimaanisha johnthebaptist yaani yohana mbatizaji ikaja hiyo ya kwako ngoja nifanye editing kwenye hiyo comment