Hawa ndio Wana JF wenye Ligi na wenye falsafa zao humu ndani

Hawa ndio Wana JF wenye Ligi na wenye falsafa zao humu ndani

Erthyrocyte....

Huyu dada a.k.a Atupele...kwake Mbowe ndio kiongozi bora baada ya baba wa taifa hayati Nyerere....

Kwake CHADEMA ndicho chama bora duniani.....

Anaamini kuwa CHADEMA ndio inayopaswa kuongoza DOLA LETU MILELE [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
DeepPond mtetezi wa michepuko

cocastic huyu dada yangu mtetezi wa mapenz ya jinsia moja

BIL lugano huyu n mtaalam wa kuhamasisha utajir na kuukataa umasikini kwao kajunjumele mbeya

mzabzab huyu yeye n mtaalamu wa mapenz kila mada inayohusu mapenz yupo na anaweza kutongoza bila aibu akigundua I'd n ya kike

MosDef huyu n mkuu wa jukwaa la michezo la Liverpool uchambuz ulioshiba na wenye tija
Cocastic ni mwanaume choko
..sanuka. Sio mwanamke yule. Utakuja chota shoga ulipeleke nyumbani ukijua ni demu kumbe mwanaume mwenzako
 
14. Bujibuji
Huyu mwamba yeye falsafa zake ni mrengo wa Kati, uzamani yupo, Usasa yupo. Kutokana na umri wake Ligi haziwezi na hashirikigi Kwa kuhofia kuvunjiwa heshima na watoto wa siku hizi waliovurugwa.
Majibu yake hayatofautiani Sana na Mshana Jr
True
 
Moja kwa moja
Lucas mwashambwa,huyu kila akileta habari utasikia waTanzania watetemeshwa na kishindo cha samia.

GENTAMYCINE, huyu ni moja ya member maarufu hapa JF anajulikana kwa michango yake mingi hususani kuhusu simba sc Tanzania,huwa pia anatoa ushauri kwa watu,taasisi,serikali etc Dkt. Gwajima D anamjua vizuri kwenye suala hili.

Pascal Mayalla, huyu anaheshimika na wengi hapa JF kutokana na mada zake fikirishi kwenye siasa,uchumi,tasnia ya habari etc.

dronedrake na Liverpool VPN, hawa ukileta mada yoyote ya kuoa utawaona wana-slogan yao kataa ndoa.

raraa reree, huyu huwa anatembeza likes kwenye kila post.

ChoiceVariable, huyu huwa anaponda kazi zote alizofanya JPM na kumsifia Samia mwanzo mwisho. Nimpenda maendelo pia.

cold water,huyu ni mpika chai hapa JF( story zozote za uongo uongo za mahusiano)..
Mshana Jr,mambo ya uganga,mizimu etc utayakuta hapa..
DR HAYA LAND,huyu amejikita kwenye kutoa ushauri hususani wa maisha..
Clegy,huyu anaipenda Tz....to be continued
 
Back
Top Bottom